ngomeu
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 326
- 169
Why bendera za chama zishushwe kwani hiyo si ziara ya kiserikali?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Watazitupa tu watakapochoka kukamata watz wenzao bila ya kosa.Habari iliotufikia hivi punde ni kwamba bendera za CHADEMA wilayani Tunduma zimeshushwa na jeshi la polisi ili kupisha ziara ya Waziri Mkuu. Amri hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe bendera zote zishushwe mpaka Waziri Mkuu amalize ziara yake.
Chanzo: Katibu wa wilaya CHADEMA.
My take:
Hivi demokrarasia ya vyama vingi imeshafutwa maana nawaona wabunge wa CCM, Humphrey polepole na Hamidu Shaka wakiendelea kufanya mikutano yao ya siasa katika jimbo lao la Tanzania wakipinga dhana ya malaika ya hapa kazi.
POLISI ni kwaajili ya kutulinda Raia na wanyewe wameshachukua kadi za CCM sasa hivi wanafanya kazi za chama.
Sasa kama Mwenyekiti wa chama anatukana wananchi , unadhani hawa akina polepole wana ubavu wa kisimama jukwaani ?Si wanasema CHADEMA haipendwi na wananchi sasa woga wa nini? Yaani wanaogopa hadi Bendera?
Na kutunga uongoserikali hii inaongoza kuvunja katiba.
Kwani siku hizi bendera zinazuia utendaji wa sisi chama watawalaHabari iliotufikia hivi punde ni kwamba bendera za CHADEMA wilayani Tunduma zimeshushwa na jeshi la polisi ili kupisha ziara ya Waziri Mkuu. Amri hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe bendera zote zishushwe mpaka Waziri Mkuu amalize ziara yake.
Chanzo: Katibu wa wilaya CHADEMA.
My take:
Hivi demokrarasia ya vyama vingi imeshafutwa maana nawaona wabunge wa CCM, Humphrey polepole na Hamidu Shaka wakiendelea kufanya mikutano yao ya siasa katika jimbo lao la Tanzania wakipinga dhana ya malaika ya hapa kazi.
POLISI ni kwaajili ya kutulinda Raia na wanyewe wameshachukua kadi za CCM sasa hivi wanafanya kazi za chama.
Vyama vingi haviwezi kufutwa, na vyama vingi haimaanishi chadema , vyama vingi ni pamoja na ccm. Hapo vipi.?Habari iliotufikia hivi punde ni kwamba bendera za CHADEMA wilayani Tunduma zimeshushwa na jeshi la polisi ili kupisha ziara ya Waziri Mkuu. Amri hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe bendera zote zishushwe mpaka Waziri Mkuu amalize ziara yake.
Chanzo: Katibu wa wilaya CHADEMA.
My take:
Hivi demokrarasia ya vyama vingi imeshafutwa maana nawaona wabunge wa CCM, Humphrey polepole na Hamidu Shaka wakiendelea kufanya mikutano yao ya siasa katika jimbo lao la Tanzania wakipinga dhana ya malaika ya hapa kazi.
POLISI ni kwaajili ya kutulinda Raia na wanyewe wameshachukua kadi za CCM sasa hivi wanafanya kazi za chama.