balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,437
- 12,563
mbona wanajiongeza majipu tuu tunawaonea huruma anaamwigaa yule wa Bulaya daah nchi ikitaawaliwa na mshamba na maskini wa kutupwa ndio tabu zake hizi yaani anakumbuka alivyokuwa analiwa na funza basi anamalizia hasira kwa wananchiMbunge wa Tunduma(CHADEMA), Frank Mwakajoka akamatwa na Polisi kwa amri ya Mkuu wa Wilaya
Hapo awali ilidaiwa kuwa mbunge huyo alisikika kutoa kauli za kuwadhihaki viongozi wa serikali walioteuliwa akiwemo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao tumeshawazoea,kukaa jela ni sifa ya ukamanda kwenye chama chao unaonekana kweli wewe kiongoziSongwe RPC Mathias Nyange confirms arrest of Mbozi MP, Frank Mwakajoka but fails to state why he has been arrested. Source The Citizen
Wanaona ndiyo viwanda vitajengwa kwa wingi labdaMafanikio makubwa ya awamu hii ni kukamata wapinzani.
CCM ni mazwazwa haswa.Wanaona ndiyo viwanda vitajengwa kwa wingi labda
Ova
ufeHao tumeshawazoea,kukaa jela ni sifa ya ukamanda kwenye chama chao unaonekana kweli wewe kiongozi