Hahahahaha! Natazama TBC mwenyewe niko hoi. Yaani mpaka mtangazaji mwenyewe akawa anaogopa kumwachia aongee mara amkatishe kuzungimza na ameona ni noma ile mbaya. Masikini mkurugenzi wa TAKUKURU, hana hamu. Kesi 18 Tanzania nzima? Yaani wagombea uraisi walikuwa zaidi ya 3, wabunge nafasi zaidi ya mia tatu na wagombea zidisha mara 3, nafasi za madiwani elfu moja piga mara 3 na unatuambia mumefanikiwa kufungua kesi 18? Basi Tanzania tumeshinda vita vya rushwa atiii? Mmh! Inatia shaka.
Kwani kesi huwa zinafunguliwa vipi............?