Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,976
- 32,377
Tutaakikisha nchi haitatawalika tena.asiye na nauli apige mbizi...
Tutaakikisha nchi haitatawalika tena.asiye na nauli apige mbizi...
"Anayekataa gharama za Umeme akae gizani au akawashe kibatari"
Lissu is a loud mouthed un guided missile.Watanzania kunaogopa wabunge kupigana kwenye vikao vya bunge ni ushamba hayo alisema Mwanasheria mkuu wa Chadema wakati alipohojiwa na mtangazaji wa Star TV wakati alipowasili mjini Dodoma jana tayari kwa kikao cha bunge.
Wapigane tu kwa ajili yetu, mbona tumeona na mabunge ya wenzetu pia wanapigana????
"Usimuige tembo kunya mavi makubwa utapasuka msamba"Wapigane tu kwa ajili yetu, mbona tumeona na mabunge ya wenzetu pia wanapigana????
wabunge wenzenu wewe mbunge wa jimbo gani.
"Hapewi rungu mwendawazimu sokoni"mimi ninafikilia alikuwa anamaanisha ni washamba wa siasa za namna hiyo.yakwamba baadaye watanzania wataelewa kuwa kwanini watu walikuwa wanapigana bungeni.
Miss-quote mkuu!! Rejesha kumbukumbu zakomnyika aliposema haya maneno alikuwa anamaanisha nini.
Wananchi tunachukia mapigano bungeni.Sasa Mb. kama Wasira na Lukuvi bila kupiga ngumi unafikiri watakuelewa?
Wacha wazichape ili wajue wananchi tunaasira na hatutaki tena propaganda zao.
mnyika aliposema haya maneno alikuwa anamaanisha nini.
Akapimwe akili!Naungana na Prof Baregu kwamba huyu jamaa anatakiwa kudhibitiwa.
Chadema kila kiongozi anakula kwa urefu wa kamba yake. Tundu Lissu anakula kwa kusimamia kesi za Chadema hivyo pakiwa hakuna vurugu yeye hana soko.Naungana na Prof Baregu kwamba huyu jamaa anatakiwa kudhibitiwa.
Anaitwa Tundu sasa tutegemee nini?
mimi ninafikilia alikuwa anamaanisha ni washamba wa siasa za namna hiyo.yakwamba baadaye watanzania wataelewa kuwa kwanini watu walikuwa wanapigana bungeni.
Chadema kila kiongozi anakula kwa urefu wa kamba yake. Tundu Lissu anakula kwa kusimamia kesi za Chadema hivyo pakiwa hakuna vurugu yeye hana soko.