JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Je CDM hakuna ukikwaji wa maadili katika teuzi mbalimbali? Mi naona katika suala la uteuzi vyama vyote nchi vinatatizo hilo. Hata vitapo shika dola vitafanya hayohayo. Hebu leteni hoja za kimaendeleo acheni siasa majitaka.
..cdm wakikiuka maadili tunapaswa kuwakemea.
..suala hili halitakiwi liwe la ccm vs cdm.
..tunatakiwa tukemee ukiukwaji wa maadili popote ktk jamii yetu.
..maadili na maendeleo ni sawa na chanda na pete. Tusitegemee kupiga hatua za maendeleo ikiwa viongozi wetu hawana maadili.