Tundu Lissu: Wanaosema turudi kwenye mfumo wa chama kimoja hawajui walisemalo, Mungu awasamehe bure

Francis12

JF-Expert Member
Sep 30, 2016
7,533
22,276
Anaandika Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu

Nilikwenda kushuhudia siku anatoa maelezo polisi. Walikuwa wanadai Juve ndiye aliyeandika ujumbe juu ya mpango wa kumuua Mh. Lema lakini hawakuwa na ushahidi wowote zaidi ya kwamba alikuwa member wa grupu mojawapo lililopokea ujumbe huo.

Wanajua hawana grounds za kumkamata wala kumshtaki kortini. Sasa wanamtesa tu kwa sababu ni mwanachama wa CHADEMA. Hivi ndivyo ulivyo utawala wa kidikteta wa JPM. Huyu anayejenga uwanja wa ndege mkubwa kwao bila haya yoyote sawa na Mobutu Sese Seko.

Huyu aliyeweka taa za barabarani katika Kijiji cha Chato wakati hazipo katika miji yote jirani kama Geita, Kahama, Bukoba, Kigoma, n.k. Huyu anayejenga ofisi ya TRA yenye ghorofa mbili kijijini kwake Chato wakati Kijiji hicho hakina mapato yoyote ya maana ukilinganisha na mji jirani wa Katoro.

Huyu aliyejenga jengo kubwa la MSD Kijiji cha Chato wakati Makao Makuu ya Mkoa hakuna duka la MSD. Huyu aliyemwajiri mpwa wake Dotto James kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali ili watumie pesa za Serikali wanavyotaka bila kufungwa na taratibu za fedha za umma.

Ndio maana anakamata na kutesa wapinzani. Ndio maana hataki mikutano ya kisiasa ya vyama vya siasa. Ndio maana anataka kuua mfumo wa vyama vingi vya siasa nchini. Wale wanaosema turudi kwenye mfumo wa chama kimoja hawajui walisemalo na Mungu awasamehe bure.
 
Wanajua hawana grounds za kumkamata wala kumshtaki kortini. Sasa wanamtesa tu kwa sababu ni mwanachama wa CHADEMA. Hivi ndivyo ulivyo utawala wa kidikteta wa JPM. Huyu anayejenga uwanja wa ndege mkubwa kwao bila haya yoyote sawa na Mobutu Sese Seko.
 
Hii style ya kumtongoza mwanamke kwa kumkandia mume wake huwa haina ushawishi.

CHADEMA badilikeni mfanye siasa safi. Waambieni wananchi wakiwachagua mtawafanyia nini.

Nyie kila siku Rais kafanya hivi mara kafanya vile. Propaganda na siasa za chuki hazitawasaidia. Wananchi wa siku hizi wana akili.
 
Hii style ya kumtongoza mwanamke kwa kumkandia mume waki huwa haina ushawishi.

CHADEMA badilikeni mfanye siasa safi. Waambieni wananchi wakiwachagua mtawafanyia nini.

Nyie kila siku Rais kafanya hivi mara kafanya vile. Propaganda na siasa za chuki hazitawasaidia. Wananchi wa siku hizi wana akili.
Hivi wewe unajua maana ya chama pinzani au una type tu nyuma ya keyboard
 
Hii style ya kumtongoza mwanamke kwa kumkandia mume waki huwa haina ushawishi.

CHADEMA badilikeni mfanye siasa safi. Waambieni wananchi wakiwachagua mtawafanyia nini.

Nyie kila siku Rais kafanya hivi mara kafanya vile. Propaganda na siasa za chuki hazitawasaidia. Wananchi wa siku hizi wana akili.



Kuna mmoja alisema huwa mnajibu hoja kwa hoja, embu tujibie hizo tuhuma
 
Hii style ya kumtongoza mwanamke kwa kumkandia mume waki huwa haina ushawishi.

CHADEMA badilikeni mfanye siasa safi. Waambieni wananchi wakiwachagua mtawafanyia nini.

Nyie kila siku Rais kafanya hivi mara kafanya vile. Propaganda na siasa za chuki hazitawasaidia. Wananchi wa siku hizi wana akili.
Wewe hujitambui kabisa kazi ya vyama vya upinzani nini? tuanzie hapo
 
Hii style ya kumtongoza mwanamke kwa kumkandia mume waki huwa haina ushawishi.

CHADEMA badilikeni mfanye siasa safi. Waambieni wananchi wakiwachagua mtawafanyia nini.

Nyie kila siku Rais kafanya hivi mara kafanya vile. Propaganda na siasa za chuki hazitawasaidia. Wananchi wa siku hizi wana akili.
washauri ndugu zako waache kutesa watu
 
Kwa hoja kama hizi bado naona upinzani wanajidharilisha. Hivi hizo taa za barabarani kama zingefungwa ngalenaro angelalamika au kisa ni kwa sababu kule ni kwao. Kwaiyo Rais akifanya kitu mkoa aliotoka ni hatia?kwani watu wa chato Rais wao ni nani? Na mbona hakutoa takwimu za mikoa mingine kimejengwa nini au ndo anataka kutuaminisha kuwa Mkuu kajenga chato tu?
Tunataka wapinzani mfanye mambo ya maana yatakayotuliea hamasa ya kubadilisha utawala na sio kuleta hoja zisizo na mashiko. Kwa namna hii mnazidi kuwachanganya hata na wale walioakuwa tayari kuwaunga mkono.
 
Hii style ya kumtongoza mwanamke kwa kumkandia mume waki huwa haina ushawishi.

CHADEMA badilikeni mfanye siasa safi. Waambieni wananchi wakiwachagua mtawafanyia nini.

Nyie kila siku Rais kafanya hivi mara kafanya vile. Propaganda na siasa za chuki hazitawasaidia. Wananchi wa siku hizi wana akili.
Duh hivi hizi in akili za MTU mzima kweli mungu akusamehe na aokoe wanao wasukekuwa na mawazo kama haya shame
 
Hii style ya kumtongoza mwanamke kwa kumkandia mume wake huwa haina ushawishi.

CHADEMA badilikeni mfanye siasa safi. Waambieni wananchi wakiwachagua mtawafanyia nini.

Nyie kila siku Rais kafanya hivi mara kafanya vile. Propaganda na siasa za chuki hazitawasaidia. Wananchi wa siku hizi wana akili.
Mwenye siasa za chuki na anayejenga na kuipalilia chuki ni huyo mtukufu wako.

Upinzani wamemkosea nini au wao si watanzania?

Kama vipi basi waambieni mpinzani yoyote hapa ni mkimbizi wahame nchi
 
Kwa hoja kama hizi bado naona upinzani wanajidharilisha. Hivi hizo taa za barabarani kama zingefungwa ngalenaro angelalamika au kisa ni kwa sababu kule ni kwao. Kwaiyo Rais akifanya kitu mkoa aliotoka ni hatia?kwani watu wa chato Rais wao ni nani? Na mbona hakutoa takwimu za mikoa mingine kimejengwa nini au ndo anataka kutuaminisha kuwa Mkuu kajenga chato tu?
Tunataka wapinzani mfanye mambo ya maana yatakayotuliea hamasa ya kubadilisha utawala na sio kuleta hoja zisizo na mashiko. Kwa namna hii mnazidi kuwachanganya hata na wale walioakuwa tayari kuwaunga mkono.
Suala siyo kujengwa Ngalenaro,bali ni kujenga Chato ambapo gari hupita kila baada ya dakika 30.
Ndio maana zinaitwa "Traffic Lights" maana yake zinatumika kuongoza "Traffic jam" barabarani;Sasa hiyo "interval" ya dakika 30 inaleta msongamano gani wa kuhitaji taa?

Unapojenga uwanja wenye runway ya 3km ktk eneo ambapo zaidi ya wewe kiongozi hakuna wengine wenye uhakika wa kupanda ndege,lazima watu wahoji.Hii ndio maana halisi ya "Political Pluralism"...To question and weigh out how the natural resources and wealth are slightly equaly distributed within a nation.

Unaenda kujenga kijijini kwako uwanja wa mabilioni ambao ni kama "White Elephant projects" unaacha viwanja vinavyoingiza pato kwa taifa vikidoda.Ukubali kuwa Utalii kwa maana ya Northern Circuit Tourism ni pamoja na Mkoa wa Manyara.Uwanja wa ndege wa Manyara wakati wa high season kwa siku unapokea ndege ndogo za abiria 13 hadi 18 karibu 30.

Lakini sehemu ya kurukia na kutua ndege (Runway) imejaa vichuguu vya mchwa na mashimo.Unaweza usiweka lami ili kuacha uasili wa utalii,lakini ukakarabati kwa kuweka moram(?) iliyoshindiliwa vyema na hivyo kuwa uhakika wa watalii kufika Lake Manyara,Tarangire nk...Haya yote kwanini watu wasione wewe ni wa ajabu kidogo?

Hazina kwenye kibubu cha Taifa umeweka mtu wako wa familia,halafu hadharani unapiga mkwara kuwa utawatumbua wote wanaopeana vyeo kiundugu!!Ebooo!!Wewe unapata wapi moral authority ya kukemea "undugunization" wakati wewe unautekeleza?

Unajua ni kampuni ya nani inajenga uwanja wa Chato?Unajua kuwa kampuni iliyojenga Ikulu ndogo ya Chato ni ya nani?Unajua DC wa Kisarawe ni nani kwa mkuu wa kaya na yule binti DAS wa wilaya moja ya Singida aliyeteuliwa kimyakimya?Kama haya ndio unayapigia kelele hadharani kwanini wewe unayafanya sirini?
 
hivyo hivyo anatutosha kwa sababu hafanyi unafiki anatekeleza...kuliko nyie mnamkataa mtu kwa maneno mengi ni fisadi afu leo mnakuja kutuambia kuwa sio fisadi mwenye ushahidi aende mahakamani.....kwa hiyo mnatudanganya hatuwaamini...bora hata yye anakumbuka kwao na sehemu nyingine.......wengine hata majimbon kwenu hamna makazi
 
wapinzani wabadilike siasa za chuki zimepitwa na wakati, mm sioni kama raisi kujenga uwanja chato ni kosa kwasababu huko nako ni tanzania nako wanahaki ya kuw na miundo mbinu mizuri ukizingatia geita ni mkoa mpya.
 
Back
Top Bottom