PRODA LTD
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,005
- 1,333
Unasoma unachokiandika unaweka taa za barabarani sehemu ambazo hakuna msongamano wa magari?Wewe ndio huna habari wewe, hizo kazi alizifanya akiwa mbunge, haya tuambia values za kuongoza watu jimboni kwako ni zipi? Wewe ukiwa mbunge wa kinond
Neno langu la leo, watu wengi sana wana hofu kuhusu mwisho, wanachukua muda mrefu sana, wanapata mawazo wakifikiria mwisho wa siku itakuwaje? mwisho wangu ukoje? nitapona kweli huu ugonjwa, nitamaliza kweli hii shule, nitakaa kweli kwenye hichi cheo, nitajenga kweli hii nyumba, nitaolewa kweli na huyu bwana, nitalipa kweli haya madeni, nitafika salama kweli? ni kawaida kuwa na hofu, lakini kuna vitu vilivyo ndani ya uwezo wako na vingine viko nje ya uwezo wako, fanya kilicho ndani ya uwezo wako vilivyo nje ya uwezo wako mwachie Mungu, huwezi kujua mwisho wako, badala ya kuishi mbeleni, ishi na ulichonacho sasa, ufurahie maisha yako
Nakutakia asubuhi njema
oni taa za barabarani ukaweke Tandahimba?