Tundu Lissu: Viongozi wa Bunge la Marekani kuanzisha "hearing" on human rights situation in Tanzania

"Serikali" ingetafuta truthful discussion na Ndg. Lissu sababu hakuna faida yeyote tukianza pata vikwazo kipindi ambacho misingi mipya ya kiuchumi ikijengwa.
 
"Serikali" ingetafuta truthful discussion na Ndg. Lissu sababu hakuna faida yeyote tukianza pata vikwazo kipindi ambacho misingi mipya ya kiuchumi ikijengwa.
Sidhani kama vikwazo vinatolewa kwa urahisi hivyo.

Vikwazo vinatolewa tu kama tutagusa maslahi ya nchi zao (Ulaya na Marekani).
 
Kiswahili Kiranga maana yake ni kimeo hongera Kiranga

Unajuaje hapo ni Kiswahili na si Kirundi wala Kijapani?

Bado hujaonesha ujinga wangu, unalazimisha hoja na kuonesha ujinga wako katika hilo.

You are an idiot and a troll.
 
Hapo ndipo Chadema na Mheshimiwa Lissu wanapokosea. Kutegemea kupata kuungwa mkono na watanzania kwa kwenda kushtaki Amerika na Ulaya haijakaa vizuri. Mtanzania wa kawaida analiona hili kama usaliti kwa mataifa yale yale yenye sera kandamizi hasa kiuchumi. Hivi mnafikiri Amerika na Ulaya wanataka Tanzania/Afrika iache utegemezi kwao? Stop being naive. Better yet stop running to 'massa' everytime to try and undermine our country. Tanzania chini ya Rais Magufuli inasonga na itaendelea kusonga mbele. Kwenye mapungufu tukosoe ila kwa staha na u-endelevu sio matusi, kashfa, kejeli na hujuma. Hakuna serikali duniani inachekea uhaini under the guise of freedom.
 
Hii ni kauli alioitoa Tundu Lissu wakati akihojiwa huko Marekani na kituo kimoja cha Radio ambapo amesema hearing hiyo itaanza hivi karibuni na kwamba atakutana na baadhi ya viongozi hao kesho.
Kama JPM angeruhusu wanasiasa wa upinzani waikosea serikali bila kutishwa kwa mambo mazuri anayofanya kimaendeleo angepata matokeo chanya zaidi kwenye agenda zake!
 
Back
Top Bottom