Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Ninawakumbusha watanzania waishio nje ya Tanzania hususani Amerika na Ulaya ya kwamba kwa sasa serikali imeweza kugharamia elimu kwa watoto wetu kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne bure.
Pia shule hizo za serikali zimeweza kutoa wanafunzi bora katika mitihani wamechomoza katika shule hizo.
Kama ni matibabu yasiyopatikana nchi Sawa asaidiwe Ila suala la elimu watoto wanaweza kusoma katika shule hizi za kawaida na wakawa bora.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninawakumbusha watanzania waishio nje ya Tanzania hususani Amerika na Ulaya ya kwamba kwa sasa serikali imeweza kugharamia elimu kwa watoto wetu kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha nne bure.
Pia shule hizo za serikali zimeweza kutoa wanafunzi bora katika mitihani wamechomoza katika shule hizo.
Kama ni matibabu yasiyopatikana nchi Sawa asaidiwe Ila suala la elimu watoto wanaweza kusoma katika shule hizi za kawaida na wakawa bora.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app