Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,210
- 42,072
Wanajamvi wasalaam,
Kwanza kabisa ni ukweli ulio wazi hadi sasa CCM wana mtaji wa wabunge 20 na kwa takwimu za jana hadi mwisho wa kutoa majibu ya Rufani nina uhakika CCM itapita bila kupingwa kwenye majimbo sio chini ya 50!
Rais Tundu Lissu amekuwa akipiga mikwara ya kuingiza watu barabarani kila leo lakini hatuoni vitendo na kila leo amekuwa akipiga mikwara kuwa ataingiza watu barabarani lakini hakuna mtu anayeingizwa barabarani bali ni ulaghai tu.
Hivi jamani Devotha Minja na wabunge wa CHADEMA walikosea kujaza fomu kwa sababu hawajui Kiingereza au Kiswahili?
Mh Rais Lissu, tunaomba uingize watu barabarani wabunge wako wengi hadi sasa wameliwa vichwa!
Wasalaam
Kwanza kabisa ni ukweli ulio wazi hadi sasa CCM wana mtaji wa wabunge 20 na kwa takwimu za jana hadi mwisho wa kutoa majibu ya Rufani nina uhakika CCM itapita bila kupingwa kwenye majimbo sio chini ya 50!
Rais Tundu Lissu amekuwa akipiga mikwara ya kuingiza watu barabarani kila leo lakini hatuoni vitendo na kila leo amekuwa akipiga mikwara kuwa ataingiza watu barabarani lakini hakuna mtu anayeingizwa barabarani bali ni ulaghai tu.
Hivi jamani Devotha Minja na wabunge wa CHADEMA walikosea kujaza fomu kwa sababu hawajui Kiingereza au Kiswahili?
Mh Rais Lissu, tunaomba uingize watu barabarani wabunge wako wengi hadi sasa wameliwa vichwa!
Wasalaam