Tundu Lissu umeamini Jeshi la Polisi lisipoingiliwa linafanya kazi

Lissu kila mara amekuwa akilia suala lake la kushambuliwa limetupwa na hakuna yeyoto aliyekamatwa wala kuhojiwa na jeshi letu la polisi,
Lakini tangu mfanyabiashara Mo alipopotea jeshi la polisi limeonyesha umakini na weledi mkubwa wa kufanya shughuli zake,japo mtu amerudi lakini inaonekana ni baada ya ile press na watekaji kuona mambo yao yamewekwa hadharani na muda wowote watatiwa mkunjani,
Lissu ni muda wako kuliamini jeshi la polisi na uje na huyo dereva wako mfanyiwe mahojiano utoe ushirikiano mzuri tu,natumaini kipindi kile nissan nyeupe zilikamatwa lakini zoezi la utambuzi lilishindikana baada ya dereva amabaye angekuwa ni msaada mkubwa mkamuingiza kwenye siasa,

Natumaini kama Lissu utarudi leo na kuwapa polisi ushirikiano wasiojulikana watajulikana!

Wewe unaongea ujinga. Huyo dereva anaweza kuhojiwa hata kwa njia ya video call. Kwa ujinga unaouongea nakuvisha shanga ya kiunoni 😉
 
Taarifa zao zimeripotiwa twitter na instergram sio polisi!
Na hii ndio shida ya nchi yetu.... Lissu alipopost video ya kampeni akiwa Dimani zanzibar mlipoiona tu mlimkamata kwa uchochezi ila mtandao huo huo akilalamika kuwa anafuatiliwa mnajibu kwa kejeli kuwa "aliripoti insta sio polisi".... Sasa sielewi kivp za uchochezi huwa akiweka insta mnazifanyia kazi kwa kumkamata ila akiweka taarifa ya kutishiwa maisha mnasema "aje kuripoti polisi sio mitandaoni"

Huoni kuna double standards hapo
 
Na hii ndio shida ya nchi yetu.... Lissu alipopost video ya kampeni akiwa Dimani zanzibar mlipoiona tu mlimkamata kwa uchochezi ila mtandao huo huo akilalamika kuwa anafuatiliwa mnajibu kwa kejeli kuwa "aliripoti insta sio polisi".... Sasa sielewi kivp za uchochezi huwa akiweka insta mnazifanyia kazi kwa kumkamata ila akiweka taarifa ya kutishiwa maisha mnasema "aje kuripoti polisi sio mitandaoni"

Huoni kuna double standards hapo
Rahisi tu kwenda kuripoti polisi kuna ugumu gani kwa wakili msomi!
 
Lissu kila mara amekuwa akilia suala lake la kushambuliwa limetupwa na hakuna yeyoto aliyekamatwa wala kuhojiwa na jeshi letu la polisi,
Lakini tangu mfanyabiashara Mo alipopotea jeshi la polisi limeonyesha umakini na weledi mkubwa wa kufanya shughuli zake,japo mtu amerudi lakini inaonekana ni baada ya ile press na watekaji kuona mambo yao yamewekwa hadharani na muda wowote watatiwa mkunjani,
Lissu ni muda wako kuliamini jeshi la polisi na uje na huyo dereva wako mfanyiwe mahojiano utoe ushirikiano mzuri tu,natumaini kipindi kile nissan nyeupe zilikamatwa lakini zoezi la utambuzi lilishindikana baada ya dereva amabaye angekuwa ni msaada mkubwa mkamuingiza kwenye siasa,

Natumaini kama Lissu utarudi leo na kuwapa polisi ushirikiano wasiojulikana watajulikana!
binafsi naamini we jamaa una akili ndogo sana . kuna wakati huwa namini unaweza ukawa.sio bnadamu... ipo hivi ... polisi ndio waliokuwa wanamshkilia mo wala hakutekwa. hakuna cctv zinazotoa picha kama ile. kawambie polisi haitoshi tu kuwa mrefu inatosha kuwa na akili pia
 
binafsi naamini we jamaa una akili ndogo sana . kuna wakati huwa namini unaweza ukawa.sio bnadamu... ipo hivi ... polisi ndio waliokuwa wanamshkilia mo wala hakutekwa. hakuna cctv zinazotoa picha kama ile. kawambie polisi haitoshi tu kuwa mrefu inatosha kuwa na akili pia
Mwisho wa siku kapatikana kwa picha ile ile!
 
Lissu kila mara amekuwa akilia suala lake la kushambuliwa limetupwa na hakuna yeyoto aliyekamatwa wala kuhojiwa na jeshi letu la polisi,
Lakini tangu mfanyabiashara Mo alipopotea jeshi la polisi limeonyesha umakini na weledi mkubwa wa kufanya shughuli zake,japo mtu amerudi lakini inaonekana ni baada ya ile press na watekaji kuona mambo yao yamewekwa hadharani na muda wowote watatiwa mkunjani,
Lissu ni muda wako kuliamini jeshi la polisi na uje na huyo dereva wako mfanyiwe mahojiano utoe ushirikiano mzuri tu,natumaini kipindi kile nissan nyeupe zilikamatwa lakini zoezi la utambuzi lilishindikana baada ya dereva amabaye angekuwa ni msaada mkubwa mkamuingiza kwenye siasa,

Natumaini kama Lissu utarudi leo na kuwapa polisi ushirikiano wasiojulikana watajulikana!
kupatikana MO sawa,je watekaji(wahalifu)wamepatikana?bado polisi wana kazi ya kuwakamata hao wahalifu
 
Hivi kwa nini mtu akitofautiana tu na police wetu anakuwa CHADEMA? CCM haturuhusiwi kutofautiana na polisi?
Polis wanafanya siasa waziwazi ,ndo maana kila siku utasikia chadema wamefanya vurugu.,mgombea wa chadema kupigiwa mapanga kata ya arusha mjini %ccm walihusika .polis hawakuchukua hatua zozte .
 
Nimeangalia ile movie anamtambulisha mo ,

Kuna kitu nimegundua , mo alvyokuwa anaongea inaonekana Kuna inshu, pia sirro naye alionesha Kuna kitu
 
Sawa
Lissu kila mara amekuwa akilia suala lake la kushambuliwa limetupwa na hakuna yeyoto aliyekamatwa wala kuhojiwa na jeshi letu la polisi.

Lakini tangu mfanyabiashara Mo alipopotea jeshi la polisi limeonyesha umakini na weledi mkubwa wa kufanya shughuli zake,japo mtu amerudi lakini inaonekana ni baada ya ile press na watekaji kuona mambo yao yamewekwa hadharani na muda wowote watatiwa mkunjani.

Lissu ni muda wako kuliamini jeshi la polisi na uje na huyo dereva wako mfanyiwe mahojiano utoe ushirikiano mzuri tu,natumaini kipindi kile nissan nyeupe zilikamatwa lakini zoezi la utambuzi lilishindikana baada ya dereva amabaye angekuwa ni msaada mkubwa mkamuingiza kwenye siasa.

Natumaini kama Lissu utarudi leo na kuwapa polisi ushirikiano wasiojulikana watajulikana!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom