Madaraka yamekuwa matamu mpaka watu wamesahau kwamba wataondoka kama walivyokuja, wamesahau mafundisho ya madrasa na vipaimara ili wakue wakiijua dini, wamuogope na kumheshimu Mola kwa kutenda haki.
Walllah siku inakuja watanuka mbele ya dunia kabla hawajafa, wapambe wao watawakimbia na kujitenga nao, mioyo yao itaungua kwa uchungu wakitafuta muda WA kutubu na hawataupata.