Wewe na mwenzako huyo nadhani mna matatizo kichwani. Hata kama mkataba umesainiwa kuruhusu mchanga kusafirishwa, na hata kama vyombo vyetu vimekagua, so what ... independent investigators nao wameleta ripoti tofauti. Kwa hiyo unataka tuachie wizi huu na mali iliyoibwa iende. Maamuzi lazima tuyachukue kuanzia sasa ili wajue watanzania hatutaki upuuzi. Mwambie mwenzako Lissu aende kumshauri kwanza watuhumiwa wa ufisadi waondoke chadema. Aache kudandia gari kwa mbeleTumeibiwa ndio lakini ndivyo mikataba ilivyosainiwa.Kwamba mchanga usafirishwe nje kwa ajili ya processing. Mwenye jukumu la kuthibitisha ndani ya mchanga kuna nini ilikuwa ni vyombo vyetu vya kiuchunguzi lakini hawakufanya hivyo.Hivyo wao hawana kesi ya wizi kwa mujibu wa mikataba iliyopo.
Hivyo ushauri wa Lissu ni muhimu kisheria ili kufikia malengo yetu kama taifa, yaani kuivunja mikataba hii ya kitapeli.Hongera Lissu kwani pia umezingatia busara inayosema" haraka haraka haina baraka"