Tundu Lissu: Tanzania yawa miongoni mwa nchi za G20, viwanda vyashamitiri ktk uongozi wa JPM

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Screenshot_2017-03-27-09-51-33.png
Screenshot_2017-03-27-09-50-42.png
 
NAOMBA UFAFANUZI:-

JE, NI "VIWANDA"

AU

"VI-WONDER"?????


AMBAVYO TANZANIA TUNAONGOZA?????​
 
Jamaa alinikera pale alipozipiga mkwara TV kurusha habari za migogoro ya wakulima na wafugaji, halafu yeye ni rais wa wanyonge...Rais wa wanyonge hataki matatizo ya wanyonge yapewe airtime!!
Anajiita rais wa wanyonge lakini yeye ndiye kashikilia kamba ya kuwanyonga wanyonge kama askari magereza wa segerea.
 
Sasa mnashangaa nini wakati yule jamaa wa un alipokuja alikuja kuomba pesa za kusaidia wakimbizi Kenya na Uganda na mahiga aliahidi kumpa msaada wa dola 10milions
 
Tanzania now is the richest economy in the world and will soon give aid to the US and the European Union worthy twenty trillion dollars..


If wishes were gold beggars would ride
 
Kwa sasa Twitter inaongoza kwa uchochezi Tanzania!

Nashauri mkulu aifunge tu

[HASHTAG]#ReportUnderMagufuliEra[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom