Shindu Namwaka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 4,911
- 3,080
Kuna Msanii Mchekeshaji Aliwai Kuimba Nyimbo Moja Inaitwa Maajabu Ndiyo Haya Mkuu Umeyaandika Hapa.Tanzania kuikopesha china mabilion ya dola
Kuna Msanii Mchekeshaji Aliwai Kuimba Nyimbo Moja Inaitwa Maajabu Ndiyo Haya Mkuu Umeyaandika Hapa.Tanzania kuikopesha china mabilion ya dola
Misuse ya freedom of speech itawagharimu hadi ukichaa utaondoka kichwaniFreedom of speech your guaranteed but freedom after speech, God knows
DuuhTRA yavuka lengo,yakusanya Trilioni 150 kwa mwezi.
Tanzania imekubali kuijengea japan flyover mbili
Ajabu sana ndugu yangu.. Inafika pahala mtu unastaajabu tu!Jamaa alinikera pale alipozipiga mkwara TV kurusha habari za migogoro ya wakulima na wafugaji, halafu yeye ni rais wa wanyonge...Rais wa wanyonge hataki matatizo ya wanyonge yapewe airtime!!
gold = horsesIf wishes were gold beggars would ride