Halafu amebeba begi limejaa noti! Sijawahi ona wala kusikia Rais wa nchi anatembea na mabulingutu ya noti na kuanza kuzigawa katika mikutano ya hadhara!Yaani hapo kutembea na jopo la mawaziri ni udhaifu mkubwa sana mkuu!! Inaonyesha hatoshi kbs, anaamua kujishikisha na mawaziri
Upande wake tumesikia na dereva wake vipi kurudi au nae anahitaji ulinziAkihojiwa na Sauti ya Amerika kutoka Marekani, mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na mbunge wa Zamani wa Singida Mashariki amesema hawezi kurudi tena Tanzania kwani wasiojulikana bado hawajapatikana.
Pia amesema ametishwa na mwandishi Cyprian Musiba kwenye mitandao.
Nilichopenda leo hajaongea kwa kufoka foka na mikwara km tulivyozoea labda ameanza kubadilika kimtazamo
sababu aliyotoa ni ya hovyo na haina mashiko. Viongozi wake watawezaje kumhakikishia usalama wake wakati sio vyombo vya ulinzi na usalamaHakuna mtu mwingine yeyote atakayehoji uamzi huo. Huo ni uamzi unaomhusu Tundu Lissu mwenyewe, familia yake na ushauri toka kwa ndugu na marafiki wa karibu zaidi naye wanaojali zaidi maslahi yake binafsi na mipango ya maisha yake atakavyo yawe.
Sidhani kwamba kuna mtu anaweza kuhoji uamzi wa namna hiyo.
Kwa sababu anajua kuwa sio Magufuli na serikali yake ndiyo walio taka kummaliza.Akihojiwa na Sauti ya Amerika kutoka Marekani, mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na mbunge wa Zamani wa Singida Mashariki amesema hawezi kurudi tena Tanzania kwani wasiojulikana bado hawajapatikana.
Pia amesema ametishwa na mwandishi Cyprian Musiba kwenye mitandao.
Nilichopenda leo hajaongea kwa kufoka foka na mikwara km tulivyozoea labda ameanza kubadilika kimtazamo
Hakuna Jambo limefanya niwachukie watz Kama ishu ya lisu ishu ya lisu imenifanya niwachukie Sana wenye mamlaka na praise power team yao yani msemakweli na mtetea haki ya kidemokrasia mnamtwanga risasi mnampokonya ubunge halafu mnafurahia na kumkejeli ushetani ulioje?
Vipi posho na marupurupu ya ubunge bado anadai?Naunga mkono uamuzi was Lissu. Huo ni uamuzi busara. Kama ni kurudi afanye hivyo mwaka 2026 jiwe likitoka.
Alijaribu kubip akaona hata ujio wake tu hawapendezwi nao.Nani amhakikishie?
Chama chake au vyombo vya ulinzi asivyokuwa na imani navyo?
Zile kauli za "Narudi nyumbani kupambana" naona zimeisha,sasa anaongea uhalisia.
Kwa usaliti wake Mungu hawezi mbariki.Maneno ya Tundu Lissu siku zote yanaonekana kuwa mepesi lakini kwa watu wenye uelewa watatambua kuwa Tundu Lissu hajawai kukosea katika comments zake. Huwa anaongea huku akifahamu fika impacts za kile anachokisema. Sasa usipokuwa makini unaweza kumwelewa kiwepesi wepesi tu wakati yeye akimaanisha matokeo makubwa mbeleni.
MUNGU AKUBARIKI TUNDU ANTIPAS LISSU
Sio mbaya pia.Labda tayari wameshamnunua.... CCM sio wa mchezo mchezo...
Sisi milion 55 kwa msaliti mmoja? Are you crazzzzzzzy?Ndio ilimpasa kifo? Ila ipo siku mtalipa amini haya mamneno
Apasuke zu.TL anatafuta political asylum Belgium
Nikiwaza alivyomharibia maisha lowasa namie naogopa hivyohivyo, yaani alimwita mwizi mchana kweupe Tena hadharani kumbe uongo tu,Mkuu mimi pia huwa nikiona jinsi baadhi ya watu wanavyofurahia unyama aliofanyiwa huyu jamaa huwa najikuta namuogopa sana mwanadamu.
Toa vithibitisho.Asirudi tu,ukizingatia wa kumhakikishia ulinzi ndo hao hao waliompiga risasi.
Yupo sahihi kupata uhakika wa usalama wake other wise waliokuwa nyuma ya ule mpango wa kwanza kabla ya kumvua ubunge na kumnyima gharama za matibabu wawe wamepatikana.
Awamu hii ya tumepoteza tunu ya utu iliyoachwa na baba wa taifa na umoja wetu umepotea tayari.
Waumini wa dhehebu tawala wamekuwa wakiwaona wale madhehebu mengine sio kitu (sijamaanisha dini nieleweke kidogo)
mengi yanafanyika kujifurahisha mitandaoni na ndio reflection ya maisha yetu tuliyojitengenezea kwa awamu hii ya uongoz ya sasa.
Tuna kazi kubwa sana ya kuirudisha tz kwenye misingi ya kidemokrasia na utu iliyoachwa na hayati baba wa taifa pamoja na walimfuatia licha ya wao nao kuwa na mapungufu yao.
Umoja na nani? Na Lissu? Yeye si ndiye aliyetukana sisi.Awamu hii ya tumepoteza tunu ya utu iliyoachwa na baba wa taifa na umoja wetu umepotea tayari.
Huyu jamaa ni kigeugeu kagundua kwamba wale aliodhani watamsapoti mmoja mmoja anaanza kujikataa.Hakuna Jambo limefanya niwachukie watz Kama ishu ya lisu ishu ya lisu imenifanya niwachukie Sana wenye mamlaka na praise power team yao yani msemakweli na mtetea haki ya kidemokrasia mnamtwanga risasi mnampokonya ubunge halafu mnafurahia na kumkejeli ushetani ulioje?