Tundu Lissu: Sitarudi tena Tanzania hadi nihakikishiwe Usalama wangu

Uanaharakati ni kujiweka rehani nafsi & uhai wako....arudi tu. Tena raundi hii jamaa atakuwa radhi hata kuilipua terminal 3 kama Lissu akiwemo ndani ili mradi roho yake isuuzike
 
For foreign audience
- - -
Don't bank on Politician so easily!! The politician is so easy to default. The Lissu is a case study of today.
====
Kwa wasomaji wa ndani
- - -
Useweke ela yako ya kisiasa kwa mwanasiasa kirahisi, chunguza kwanza!!! Mwanasiasa ni rahisi sana "kufilisika kisiasa"!!! Lissu ni mfano maridhawa wa leo.
 
Maneno ya Tundu Lissu siku zote yanaonekana kuwa mepesi lakini kwa watu wenye uelewa watatambua kuwa Tundu Lissu hajawai kukosea katika comments zake. Huwa anaongea huku akifahamu fika impacts za kile anachokisema. Sasa usipokuwa makini unaweza kumwelewa kiwepesi wepesi tu wakati yeye akimaanisha matokeo makubwa mbeleni.

MUNGU AKUBARIKI TUNDU ANTIPAS LISSU
Usimuamshe aliyelala
 
Akihojiwa na Sauti ya Amerika kutoka Marekani, mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na mbunge wa Zamani wa Singida Mashariki amesema hawezi kurudi tena Tanzania kwani wasiojulikana bado hawajapatikana.

Pia amesema ametishwa na mwandishi Cyprian Musiba kwenye mitandao.

Nilichopenda leo hajaongea kwa kufoka foka na mikwara km tulivyozoea labda ameanza kubadilika kimtazamo


Uhai wa mtu ni kitu muhimu sana.

Anaweza akarudi na hao watu wakamuua, kuupata uhai wake tena haiwezekani.

Watu bado wapo kwenye hiyo wanayoiita" VITA YA KIUCHUMI."
 
Ha ha ha aliwadanganya atakuja September ,kwahiyo alitaka kula fedha za ubunge kwa ubunge hewa ,Bora Ndugai kaliona hilo kamfyekelea mbali
 
Tujiulize, Lissu anaisaidia nini Tanzania au hata jimbo lake? Yeye arudi Tanzania au asirudi tupo vile vile.....hatumtaki abakie huko huko analelewa na bwana wake wa kizungu.
 
Kwa nini Tume ya uchaguzi isiratibu wapiga kura serikali za mitaa kwa kuboresha daftari la wapiga kura ili hali tunakwenda kwenye uchaguzi mkuu mwaka ujao 2020?

Kwanini vitambulisho vya wapiga kura vilivyopo visitumike ikiwa ni pamoja na kuandikisha wapiga kura waliofikisha umri wa kupiga kura?

Kuanza kuandikisha wapiga kura wa serikali za mitaa pekee siyo matumizi mabovu fedha za umma na muda?

Kwamba baada ya kuandikisha wapiga kura serikali za mitaa, Tume ya uchaguzi nayo itaanza kuboresha daftari la wapiga kura na kuandikisha waliofikisha umri wa kupiga kura?

AU KUNA AGENDA YA KUPIGA HELA MARA MBILI KWA KAZI MOJA?

NB:- KAMA SI MAHALI PAKE, MOD, FUNGUA IWE ARTICLE KAMILI.
 
Heri busara ikatangulia kuliko upumbavu was kutofikiri
Hapa amewaza vema sana
 
Akihojiwa na Sauti ya Amerika kutoka Marekani, mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na mbunge wa Zamani wa Singida Mashariki amesema hawezi kurudi tena Tanzania kwani wasiojulikana bado hawajapatikana.

Pia amesema ametishwa na mwandishi Cyprian Musiba kwenye mitandao.

Nilichopenda leo hajaongea kwa kufoka foka na mikwara km tulivyozoea labda ameanza kubadilika kimtazamo

Kwa sasa anatumika na mabeberu kama condom
Rudi home bro nchi inakuhitaji njoo tujenge nchi
 
Kimaitaifa kutamka kwake si vizuri kwa ustawi wa taifa itaonyesha nchi yetu usalama hakuna na ni hatari Sana Kwa afya ya utalii nchini inapaswa serikali itoe mapendekezo juu ya usalama wake ili koundoa hiyo dhana kimaitaifa. Mnaeweza kuona hakuna athari kwa macho ya kawaida ya kisiasa lakini kiuchumi huko baadae mtaona athari za hii kauli ya huyu jamaa
 
Ndio mnajipa moyo kwa uongo wa kujitungia harudi Tanzania, huku mkijipa moyo eti soon atajiunga CCM aunge juhudi za yule bwana mkubwa alieanza #2020Campaign za uchaguzi mwaka huu 2019 (tena akiambatana na jopo la mawaziri wote).

Insecurity hio.

Yaani hapo kutembea na jopo la mawaziri ni udhaifu mkubwa sana mkuu!! Inaonyesha hatoshi kbs, anaamua kujishikisha na mawaziri
 
Kama amekua hatarudi kwann amekuwa anadai kulipwa posho na mishahara Yale ya ubunge pia kwann kafungua kesi ya kunyang'anywa ubunge kauli zake Ni Kama kumpa Kiki ndugai kuwa aliona mbali kuwa watu wa Jimbo lake hawana mwakilishi
 
Hakuna Jambo limefanya niwachukie watz Kama ishu ya lisu ishu ya lisu imenifanya niwachukie Sana wenye mamlaka na praise power team yao yani msemakweli na mtetea haki ya kidemokrasia mnamtwanga risasi mnampokonya ubunge halafu mnafurahia na kumkejeli ushetani ulioje?
Mkuu mimi pia huwa nikiona jinsi baadhi ya watu wanavyofurahia unyama aliofanyiwa huyu jamaa huwa najikuta namuogopa sana mwanadamu.
 
Hakuna mtu mwingine yeyote atakayehoji uamzi huo. Huo ni uamzi unaomhusu Tundu Lissu mwenyewe, familia yake na ushauri toka kwa ndugu na marafiki wa karibu zaidi naye wanaojali zaidi maslahi yake binafsi na mipango ya maisha yake atakavyo yawe.

Sidhani kwamba kuna mtu anaweza kuhoji uamzi wa namna hiyo.
Naunga mkono uamuzi was Lissu. Huo ni uamuzi busara. Kama ni kurudi afanye hivyo mwaka 2026 jiwe likitoka.
 
Back
Top Bottom