Ongea kuhusu pesa
Senior Member
- Nov 20, 2018
- 112
- 80
Mbona na sisi tumerudi nyumbani Baada ya TTCL kutuhakikishia kuwa Pamenoga
You touched my feelings. Watanzania watu wa ajabu sana, labda ndiyo Mungu alijua uzwazwa wetu ndiyo maana akatuweka katika sehemu hii ya dunia. Inawezekana IQ ya Mtanzania ndiyo ya chini kuliko Waafrika wote.Hakuna Jambo limefanya niwachukie watz Kama ishu ya lisu ishu ya lisu imenifanya niwachukie Sana wenye mamlaka na praise power wait yani msemakweli na mtetea haki ya kidemokrasia mnamtwanga risasi mnampokonya ubunge halafu mnafurahia na kumkejeli ushetani ulioje?
Ingekuwa hivyo asingepigwa na majambazi mpaka kulala kitandani miaka miwili.Maneno ya Tundu Lissu siku zote yanaonekana kuwa mepesi lakini kwa watu wenye uelewa watatambua kuwa Tundu Lissu hajawai kukosea katika comments zake. Huwa anaongea huku akifahamu fika impacts za kile anachokisema. Sasa usipokuwa makini unaweza kumwelewa kiwepesi wepesi tu wakati yeye akimaanisha matokeo makubwa mbeleni.
MUNGU AKUBARIKI TUNDU ANTIPAS LISSU
Akihojiwa na Sauti ya Amerika kutoka Marekani, mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na mbunge wa Zamani wa Singida Mashariki amesema hawezi kurudi tena Tanzania kwani wasiojulikana bado hawajapatikana.
Pia amesema ametishwa na mwandishi Cyprian Musiba kwenye mitandao.
Nilichopenda leo hajaongea kwa kufoka foka na mikwara km tulivyozoea labda ameanza kubadilika kimtazamo
Simkubali JPM Ila simuelewagi kabisa tundu lisu.anakelele zisizokua n.a. msingi
Nani kakuaminisha kuwa Tundu ni msemakweli? Huyo ni vuvuzela hata ukoo wake wanamjua hivyo!
Kama Lissu alimtukana Magufuli kuwa ni mjinga, basi angefunguliwa mashtaka na siyo kupigwa risasi!!!mfano alipomtukana Raisi JPM kuwa ni mjinga kwa kukamata makontena na kumtishia JPM kuwa atashitakiwa miga alikuwa ana point gani iliyohitaji kumwelewa?
Uumini
Katika mawaziri anaoambatana nao sijawahi kumuona Mahiga!!!Ndio mnajipa moyo kwa uongo wa kujitungia harudi Tanzania, huku mkijipa moyo eti soon atajiunga CCM aunge juhudi za yule bwana mkubwa alieanza #2020Campaign za uchaguzi mwaka huu 2019 (tena akiambatana na jopo la mawaziri wote).
Insecurity hio.
Akihojiwa na Sauti ya Amerika kutoka Marekani, mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na mbunge wa Zamani wa Singida Mashariki amesema hawezi kurudi tena Tanzania kwani wasiojulikana bado hawajapatikana.
Pia amesema ametishwa na mwandishi Cyprian Musiba kwenye mitandao.
Nilichopenda leo hajaongea kwa kufoka foka na mikwara km tulivyozoea labda ameanza kubadilika kimtazamo
Akihojiwa na Sauti ya Amerika kutoka Marekani, mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na mbunge wa Zamani wa Singida Mashariki amesema hawezi kurudi tena Tanzania kwani wasiojulikana bado hawajapatikana.
Pia amesema ametishwa na mwandishi Cyprian Musiba kwenye mitandao.
Nilichopenda leo hajaongea kwa kufoka foka na mikwara km tulivyozoea labda ameanza kubadilika kimtazamo
Siku nyingi tuliandika humu chadema wakajitia kutuzodoa.Huyo harudi Hana hamu na tanzaniaTL anatafuta political asylum Belgium
Kama Lissu alimtukana Magufuli kuwa ni mjinga, basi angefunguliwa mashtaka na siyo kupigwa risasi!!!
Ila kwa post yako nawe una unga mkono kuwa Tundu Lissu alipigwa risasi baada ya kumtukana Rais. Asante kwa ushahidi
Musiba ni argent wa chadema?Viona mbali tulishajua mapema wewe utangaze kugombea nafasi ya uenyekiti chadema!
Akihojiwa na Sauti ya Amerika kutoka Marekani, mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na mbunge wa Zamani wa Singida Mashariki amesema hawezi kurudi tena Tanzania kwani wasiojulikana bado hawajapatikana.
Pia amesema ametishwa na mwandishi Cyprian Musiba kwenye mitandao.
Nilichopenda leo hajaongea kwa kufoka foka na mikwara km tulivyozoea labda ameanza kubadilika kimtazamo