Tundu Lissu: Sitarudi tena Tanzania hadi nihakikishiwe Usalama wangu

Yaani hapo kutembea na jopo la mawaziri ni udhaifu mkubwa sana mkuu!! Inaonyesha hatoshi kbs, anaamua kujishikisha na mawaziri
Halafu amebeba begi limejaa noti! Sijawahi ona wala kusikia Rais wa nchi anatembea na mabulingutu ya noti na kuanza kuzigawa katika mikutano ya hadhara!
 
Akihojiwa na Sauti ya Amerika kutoka Marekani, mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na mbunge wa Zamani wa Singida Mashariki amesema hawezi kurudi tena Tanzania kwani wasiojulikana bado hawajapatikana.

Pia amesema ametishwa na mwandishi Cyprian Musiba kwenye mitandao.

Nilichopenda leo hajaongea kwa kufoka foka na mikwara km tulivyozoea labda ameanza kubadilika kimtazamo

Upande wake tumesikia na dereva wake vipi kurudi au nae anahitaji ulinzi
 
Iko wazi tu, unapoanza kutafuta hifadhi katika nchi nyingine ni lazima uwe mpole tu!.
 
Hakuna mtu mwingine yeyote atakayehoji uamzi huo. Huo ni uamzi unaomhusu Tundu Lissu mwenyewe, familia yake na ushauri toka kwa ndugu na marafiki wa karibu zaidi naye wanaojali zaidi maslahi yake binafsi na mipango ya maisha yake atakavyo yawe.

Sidhani kwamba kuna mtu anaweza kuhoji uamzi wa namna hiyo.
sababu aliyotoa ni ya hovyo na haina mashiko. Viongozi wake watawezaje kumhakikishia usalama wake wakati sio vyombo vya ulinzi na usalama
 
Akihojiwa na Sauti ya Amerika kutoka Marekani, mwanasheria Mkuu wa CHADEMA na mbunge wa Zamani wa Singida Mashariki amesema hawezi kurudi tena Tanzania kwani wasiojulikana bado hawajapatikana.

Pia amesema ametishwa na mwandishi Cyprian Musiba kwenye mitandao.

Nilichopenda leo hajaongea kwa kufoka foka na mikwara km tulivyozoea labda ameanza kubadilika kimtazamo

Kwa sababu anajua kuwa sio Magufuli na serikali yake ndiyo walio taka kummaliza.

Inatakiwa amwombe radhi Mzee wa watu kwa kumsingizia alitaka kumwuua. Vinginevyo dhambi itamsuta kwa kila atakacho fanya.

Mbaya wake yuko naye kila anakonkwenda. Mwuulize vizuri dereva wake, nun uhakika atakuwa anjua mipango yote kama sio yeye ndiye aliye taka kumwuua. Vinginevyo atakuwa yeye.

Lissu kwa kuto jua kwake anadhani Serikali ni chama. Serikali ni Mhimili na pia ni taasisi. Anatakiwa atambue hilo.

Arudi tu asiogope. Aaje aisaidie Serikali yetu katika kujenga uchumi wetu.

Sisi wote ni watanzania na tunajivunia utanzania wetu.

Naipenda nchi yangu na nawapenda watanzania wenzangu. Tuko poa na tutaendelea kuwa poa.
 
Hakuna Jambo limefanya niwachukie watz Kama ishu ya lisu ishu ya lisu imenifanya niwachukie Sana wenye mamlaka na praise power team yao yani msemakweli na mtetea haki ya kidemokrasia mnamtwanga risasi mnampokonya ubunge halafu mnafurahia na kumkejeli ushetani ulioje?

Nafikiri uko kwenye meli nyingine. Mambo yamesha kuwa wazi. Nani ni mbaya wa Lissu.

Mwuulize kwa nini anataka kuungana na Zitto Kabwe?

Ubunge amevuliwa kwa dharau hake mwenyewe. Alitaka kujionyesha kuwa yeye ni super man. Kitu ambacho hakukitambua ni kuwa yeye ni takataka tu jalalani. He has nothing to deliver.
 
Nani amhakikishie?

Chama chake au vyombo vya ulinzi asivyokuwa na imani navyo?

Zile kauli za "Narudi nyumbani kupambana" naona zimeisha,sasa anaongea uhalisia.
Alijaribu kubip akaona hata ujio wake tu hawapendezwi nao.
 
Maneno ya Tundu Lissu siku zote yanaonekana kuwa mepesi lakini kwa watu wenye uelewa watatambua kuwa Tundu Lissu hajawai kukosea katika comments zake. Huwa anaongea huku akifahamu fika impacts za kile anachokisema. Sasa usipokuwa makini unaweza kumwelewa kiwepesi wepesi tu wakati yeye akimaanisha matokeo makubwa mbeleni.

MUNGU AKUBARIKI TUNDU ANTIPAS LISSU
Kwa usaliti wake Mungu hawezi mbariki.

Ana isaliti nchi ya Nyerere na Karume na wazee wa Kale ambao wamepigania Uhuru, Umoja na Amani ya hii nchi?

Hawezi barikiwa bila kwanza kutambua na kuomba Radhi kwa Magu na mizimwi ya yetu.
 
Mkuu mimi pia huwa nikiona jinsi baadhi ya watu wanavyofurahia unyama aliofanyiwa huyu jamaa huwa najikuta namuogopa sana mwanadamu.
Nikiwaza alivyomharibia maisha lowasa namie naogopa hivyohivyo, yaani alimwita mwizi mchana kweupe Tena hadharani kumbe uongo tu,

Alitudanganya nchi in njaa kumbe uongo sumry anamahindi yakulisha nchi hi miaka mitatu,

Katudanganya acacia inamilokiwa sijui na kgb tutashitakiwa miga, alijimwambafy kwelikweli kumbe hamna kitu
 
Yupo sahihi kupata uhakika wa usalama wake other wise waliokuwa nyuma ya ule mpango wa kwanza kabla ya kumvua ubunge na kumnyima gharama za matibabu wawe wamepatikana.

Awamu hii ya tumepoteza tunu ya utu iliyoachwa na baba wa taifa na umoja wetu umepotea tayari.

Waumini wa dhehebu tawala wamekuwa wakiwaona wale madhehebu mengine sio kitu (sijamaanisha dini nieleweke kidogo)
mengi yanafanyika kujifurahisha mitandaoni na ndio reflection ya maisha yetu tuliyojitengenezea kwa awamu hii ya uongoz ya sasa.
Tuna kazi kubwa sana ya kuirudisha tz kwenye misingi ya kidemokrasia na utu iliyoachwa na hayati baba wa taifa pamoja na walimfuatia licha ya wao nao kuwa na mapungufu yao.
Awamu hii ya tumepoteza tunu ya utu iliyoachwa na baba wa taifa na umoja wetu umepotea tayari.
Umoja na nani? Na Lissu? Yeye si ndiye aliyetukana sisi.

Alikubali kutumia na wazungu ili aokoe nafsi yake. Uroho wake wa madaraka umemwangamiza. Nina msikitikia sana!
 
Chifu kwani mwanzoni uliposema unarudi September 7 wasiojulikana walikua wamejulikana? Kabla ya wewe kusema utarudi hukujua kwamba Musiba kakutishia?

Mtu muongo Ni muongo tu, usituletee visingizio tunataka sababu, unajua tumekulea sanabna mauongo yako na sasa unaelekea pabaya.
 
Hakuna Jambo limefanya niwachukie watz Kama ishu ya lisu ishu ya lisu imenifanya niwachukie Sana wenye mamlaka na praise power team yao yani msemakweli na mtetea haki ya kidemokrasia mnamtwanga risasi mnampokonya ubunge halafu mnafurahia na kumkejeli ushetani ulioje?
Huyu jamaa ni kigeugeu kagundua kwamba wale aliodhani watamsapoti mmoja mmoja anaanza kujikataa.

Mwamba wa IPTL kanyosha mikono juu. Vita vimeisha unabaki msituni kufanya nini, ingia uraiani maisha mengine yaendelee.
 
I'm deeply saddened by the current existing worse situation in my country Tz.

Inasikitisha sana sana kupita kiasi kuona kuwa chuki ktk jamii ya Watz Ni kubwa sana KWA sasa kutokana na tofauti za itikadi za vyama vya siasa.Hali hii sijawahi kuishuhudia ktk nchi yangu niliyozaliwa. Chuki kubwa kabisa namna hii iliwahi kuwepo Nchini Rwanda na Burundi mnamo mwaka 1994 miezi michache kabisa kuelekea kwenye mauaji mabaya kabisa ya Kimbari ambayo yalizisambaratisha kabisa nchi hizo.It seems like the same situation is going to happen in Tz. Very sad.
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom