Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,759
- 12,175
Halafu amebeba begi limejaa noti! Sijawahi ona wala kusikia Rais wa nchi anatembea na mabulingutu ya noti na kuanza kuzigawa katika mikutano ya hadhara!Yaani hapo kutembea na jopo la mawaziri ni udhaifu mkubwa sana mkuu!! Inaonyesha hatoshi kbs, anaamua kujishikisha na mawaziri