OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,655
- 105,947
Hizi hoja tumekuwa tukisema sana,Magufuli hajawahi kuzijibu. Lissu kabutua
Kwa hiyo kulimbikiza miradi kijiji kwenu sio hoja,huo ni ubinafsi. Kuna business plan gani iliwahi kushauri kujenga ndege kijiji kwao,mbuga je?seedfarm,
Tundu lisu halijeelew na hatopata urais anatakiwa awe na hoja utatusaidia vip kuondokana na umaskin na changamoto zenu lakin inakua kama amepaniki na ana chuki ns uadui wa personal na magu maana analalama tu kila siku magu hiv magu vilee ukisema hajafanya kitu si sahihi hutakiw kua muongo kwamfano nidhamu kazin na matumiz mazur ya pesa za uma sasa kila kitu unapinga pinga tu kama punguani
Kwani ni Waziri wa Ujenzi au Rais? Amejenga kwa kufuata vipaumbele vya Watanzania ama anatafuta sifa kwa kodi zetu?Hata roma haikujengwa kwa siku moja kwa aliyoyafanya kwa kipindi cha muhula wake wa kwanza si haba amejitahidi
Nidham gani kazini. Mfanyakazi mmoja alisikika na kusema nafanya hii kazi kukusaidia tu.seedfarm,
Tundu lisu halijeelew na hatopata urais anatakiwa awe na hoja utatusaidia vip kuondokana na umaskin na changamoto zenu lakin inakua kama amepaniki na ana chuki ns uadui wa personal na magu maana analalama tu kila siku magu hiv magu vilee ukisema hajafanya kitu si sahihi hutakiw kua muongo kwamfano nidhamu kazin na matumiz mazur ya pesa za uma sasa kila kitu unapinga pinga tu kama punguani
Anaona wananchi waliochoka vibaya, anaona vifo, majeruhi wa risasi, anaona wahanga wa kutekwa, anaona mahabusu wakusingizowa kesi hewa,haoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni?
akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Uwanja unaojengwa ni wa Msalato tu na huo hauna shida maana ni makao makuu hivyo siyo maajabu.Unataka sote tuwaze upimbi uwazao wewe?! Songwe,nyerere,kia,mwanza,mtwara,msalato,dodoma mjini kote viwanja vinajengwa/kutanuliwa je kote nikijijini kwake huko?
We unaishi hapa kwa favor ya bashite tutakurudisha kwenu rwandaAti huyu.. anataka kuongoza nchi hii!!!.. mipasho mipasho ipo kwa damu yake. Yeye anataka kuongoza.. ili akae Ikulu.. kupiga mipasho kwa Mh. Magufuli.. anaonyesha ana wivu sana na mafanikio ya Magufuli.. wivu mubaya sana.. nyie munao mushangilia humu.. ni basi tu hamuwezi badili gia angani.. humu ila rohoni kura kwa Magufuli.. tumewazoea.. 2010.. 2015.. 😃😃😃 si mukubali kwamba anawatia aibu.. nyie wafuasi wapenda maisha ya mukato.. aliyoziba Rais wenu mpendwa JPM.. yaani hana hata sera.. akiwongea ni upupwu tu anashusha.. BTW akimaliza mazoezi tarehe 27 Okitoba 2020.. atakwenda shangilia kumaliza ndoto ya kupiga michapo.. tumbo tu mbele.. tamaa ya kupenda kutawaliwa na mabeberu.
Magufuli 2020💯
Mwambieni apunguze u-negativity!! Hajawahi kufanya la maana nje ya mahakama. Angerudi kwenye sheria alipobobea vizuri ajenge nchi hizi siasa anazopiga nikupoteza muda huku akizungukwa na wahuni wachache wanaojitajirisha kupitia upinzani feki.Anaona wananchi waliochoka vibaya, anaona vifo, majeruhi wa risasi, anaona wahanga wa kutekwa, anaona mahabusu wakusingizowa kesi hewa,
Ndege zinazeeka na hivyo zitahitaji vipuri ambavyo ni bei sana (pengine hujui: vipuri vya ndege vina expire date.)hasara imepatikana ya shilingi ngapi?? Biashara ikianza lazima faida ipatikane mwanzoni? Kujaribu ni ujinga,kwakuwa zipo kampuni kubwa sisi hatupaswi kuwa na yetu? Jifikirishe zaidi
Magu kaumiza nchi na wananchi hafai kuendeleaMwambieni apunguze u-negativity!! Hajawahi kufanya la maana nje ya mahakama. Angerudi kwenye sheria alipobobea vizuri ajenge nchi hizi siasa anazopiga nikupoteza muda huku akizungukwa na wahuni wachache wanaojitajirisha kupitia upinzani feki
Acha chato nayo ikuwe kiongozi jasiri alitoka pale, Pakinoga Sana hamia name familia maana hiinchi yeti unaruhusa y'all kuishi popote upapendapo blaza..Uwanja unaojengwa ni wa Msalato tu na huo hauna shida maana ni makao makuu hivyo siyo maajabu.
Hivyo viwanja vingine ulivyovitaja vilijengwa kimkakati. Ila jua kuwa nchi yetu bado ni ya kipato cha chini hivyo kutumia fedha za umma kunahitaji umakini mkubwa sana. Alichofanya Magufuli kwenda Chato kujenga uwanja ambao hauna maana ni matumizi mabaya ya fedha za umma! Ni ufisadi mkubwa kuliko fisadi zingine zilizowahi kufanyika. Ni wizi mbaya sana! Na ndiyo maana ni dikteta. Anatumia udikteta kufanya anayofanya.
anaona watumishi wakiachwa yatima, anaona vijana wakikosa ajira, anaona vyeo vikitolewa kikanda na kujuana,Anaona wananchi waliochoka vibaya, anaona vifo, majeruhi wa risasi, anaona wahanga wa kutekwa, anaona mahabusu wakusingizowa kesi hewa,
anaona watumishi wakiachwa yatima, anaona vijana wakikosa ajira, anaona vyeo vikitolewa kikanda na kujuana,Anaona wananchi waliochoka vibaya, anaona vifo, majeruhi wa risasi, anaona wahanga wa kutekwa, anaona mahabusu wakusingizowa kesi hewa,
Mbona hata hiyo jana tayari ameanza kutieleza atatufanyia Ni kutokujua huo umaskini wa kuletwa?ameeleza jinsi atakavyo waondolea wakulima na wafugaji tozo za hovyo na michangomichango inayomkandamiza mkulima na mfugaji pamoja na mambo Kama sotakabadhi ghalani.seedfarm,
Tundu lisu halijeelew na hatopata urais anatakiwa awe na hoja utatusaidia vip kuondokana na umaskin na changamoto zenu lakin inakua kama amepaniki na ana chuki ns uadui wa personal na magu maana analalama tu kila siku magu hiv magu vilee ukisema hajafanya kitu si sahihi hutakiw kua muongo kwamfano nidhamu kazin na matumiz mazur ya pesa za uma sasa kila kitu unapinga pinga tu kama punguani
Fatilia viongozi wa mageuzi kina Mohammad rajah Al mahtoom, Putin, J. zemin nk. Hakunaga maendeleo bila kuumia, Kama mwanaume ulitahiriwa Kama mwanamke Alizaa basi hujua hilo!! Chamuhimu malengo ya JPM ni Tanzania yamaendeleo tena yakasiMagu kaumiza nchi na wananchi hafai kuendelea
Lissu asisahau Standard gauge rail way, barabara za mwendo kasi Moro to dar, Daraja la busisi, Kuhamishia ikulu dodoma, Zahanati kadha wa kadha kwenye kata, Ujenzi wa meli Mwanza south, Msimamizi wa migodi yote Tanzania Barrick anatoa asilimia 50 kwa taifa, Masoko ya dhahabu ktk maeneo yenye madini, Kwa leo naishia hapo chondechonde mkumbushe hayo Tundu Antipasi Lissu.Tundu Lissu akihutubia mamia ya wafuasi wa Chadema na wananchi wasio na itikadi ya chama chochote mkoani Dodoma ametoa hoja kali ambazo CCM hawana uwezo wa kuzijibu zaidi ya kupanic na kukimbilia kwenye vyombo vya habari viwahurumie wasirushe mikutano ya Tundu Lissu.
Mosi, amezungumza kuwa jipya na la ajabu kwenye utawala huu ni Rais kujenga uwanja mkubwa Chato wakati marais waliopita hawakufanya maajabu haya, amesisitiza Tundu Lissu.
Pili, ni kitendo cha Rais kupeleka mbuga Chato. Hili ni ajabu kuu ambalo halijawahi kufanyika amesisitiza Tundu Lissu.
Tatu, Lissu amesisitiza kuwa watu wamedhalilishwa, hasa viongozi wa serikali na akina Mama kwa kauli chafu zinazotolewa.
Lissu amesisitiza hii nchi sio kila mtu ni mjinga na unaweza kuwadanganya kirahisi. Kuna watu werevu na wanakwenda kuwaambia wananchi kwa miaka mitano madudu yaliyofanyika.
Je, haya maajabu ni kweli yamefanyika huko Chato?
Je,wakazi wa Lindi, Dodoma, Mbeya, Ruvuma, Arusha, Mtwara, Kilimanjaro mnafahamu maajabu haya ya huko Chato?
Kwa hoja hizi ambazo hata mimi sikuzijua kwa miaka mitano, sasa nimeamshwa usingizini.
Hoja haipigwi rungu, bali hujibiwa kwa hoja. Hii ni kauli ya Dkt Jakaya Kikwete
CCM oyeee oyeeee oyeeee, jibuni hoja hizo!