LESIRIAMU
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 8,728
- 13,966
Kuna mahali mna kosea.. Nimesoma enzi za Mwalimu JK na kumaliza kipindi cha Mwinyi chuo. Kwa taarifa yenu nyie vijana, tulikuwa tuna tumia dawati moja watu wawili. Na tuna kula shule. Mwalimu wakati huo hakuwahi kuchimba madini. Tulisomwshwa na kahawa, katani, pamba na korosho. Utalii haukuwepo, madini hayakuchimbwa na wazazi wetu hawaku lipishwa ada zetu. Vyuoni na sekondari tukisafirishwa na serikali. Kwa kitu walivho kiita warrant.Kosa kingine kwa Tundu lissu
Lissu hatakiwi kumshambulia Magufuli
Lissu anatakiwa atuambie atafanya Nini,kukomaa na Magufuli ni sawa na kuzidi kujipunguzia kura tu
Hivi kujenga hospital kubwa 69 sio maajabu
Kukarabati shule za sekondari ambazo haziguswa toka mkoloni si maajabu
Chadema mjipange sana na lissu wenu mtajikuta mmeishiwa maneno baada ya wiki moja tu toka kuanza kampeni
Vyuoni tulipewa hadi sabuni za kufua na kuogea. Juu ya hayo tulipewa na allowances kila mwezi.
Leo kuna madini, kuna watalii mnajidai kuna ndege ambapo hata mimi nilipanda ndege wakati wa Mwalimu tena kwa warrant bado watoto hawana madawati, wanakaachini, hakuna madarasa wanakaa chinibya miti. Vyuo hamuwapi pesa japo ni mikopo. Bado mnawanyanyasa nayo. Hakuna ajira. Na mnawakebehi wasitegemee ajira wakati nyie mnapeana ajira kichama.. Hebu tuache ushabiki wa kujaza matumbo ya famila.. Tuwaze kukitumikia Taifa la Tanzania. Mahali JPM amekosea mwambieni alikosea, huo ndio uzalendo.. Sio kumpamba uongo..