Nyie si mnasemaga tanzania sio masikini, umasikini umemalizwa na CCMseedfarm,
Tundu lisu halijeelew na hatopata urais anatakiwa awe na hoja utatusaidia vip kuondokana na umaskin na changamoto zenu lakin inakua kama amepaniki na ana chuki ns uadui wa personal na magu maana analalama tu kila siku magu hiv magu vilee ukisema hajafanya kitu si sahihi hutakiw kua muongo kwamfano nidhamu kazin na matumiz mazur ya pesa za uma sasa kila kitu unapinga pinga tu kama punguani
Hata roma haikujengwa kwa siku moja kwa aliyoyafanya kwa kipindi cha muhula wake wa kwanza si haba amejitahidiKuna nini huko, kwa hiyo hayo ndio maendeleo ya Tanzania nzima au?
Vituo vya afya nchi nzima haoni, bwawa la umeme Rufiji haoni, daraja kule kigongo na Busisi ziwa Victoria haoni, umeme kila kijiji mpaka milimani kule kwa sambaa haoni.haoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni??
akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Ni mlopokaji tu hana haiba ya uraisi bora angetulia zake tu huko huko kwa mabeberu ndo kuna mfaha hatuache tujenge Tanzania yetuseedfarm,
Tundu lisu halijeelew na hatopata urais anatakiwa awe na hoja utatusaidia vip kuondokana na umaskin na changamoto zenu lakin inakua kama amepaniki na ana chuki ns uadui wa personal na magu maana analalama tu kila siku magu hiv magu vilee ukisema hajafanya kitu si sahihi hutakiw kua muongo kwamfano nidhamu kazin na matumiz mazur ya pesa za uma sasa kila kitu unapinga pinga tu kama punguani
Umesagau kwamba hata magu anachuki dhidi ya upinzani. Jibu hoja zake tukuelewe. Afu tulia hapo ndio anawasha moto. Kuhusu nini chakuwafanyia subirini msimu wa kampeniseedfarm,
Tundu lisu halijeelew na hatopata urais anatakiwa awe na hoja utatusaidia vip kuondokana na umaskin na changamoto zenu lakin inakua kama amepaniki na ana chuki ns uadui wa personal na magu maana analalama tu kila siku magu hiv magu vilee ukisema hajafanya kitu si sahihi hutakiw kua muongo kwamfano nidhamu kazin na matumiz mazur ya pesa za uma sasa kila kitu unapinga pinga tu kama punguani
Sasa Kama sisi ni maskini, na Magu ameshindwa kuondoa huyo Umaskini kwanini asiondoke tu? Bora umekri Nchi ni maskini. Usilete habari za uchumi wa Kati hapa jukwaani maisha yako yote.seedfarm,
Tundu lisu halijeelew na hatopata urais anatakiwa awe na hoja utatusaidia vip kuondokana na umaskin na changamoto zenu lakin inakua kama amepaniki na ana chuki ns uadui wa personal na magu maana analalama tu kila siku magu hiv magu vilee ukisema hajafanya kitu si sahihi hutakiw kua muongo kwamfano nidhamu kazin na matumiz mazur ya pesa za uma sasa kila kitu unapinga pinga tu kama punguani
Unataka kutuambia Marais wote walio pita hawakuwahi kununua ndege? Wakati kuna walio nunua tukala majani?haoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni??
akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Ni kweli kabisa. Lissu anasema hayo ili wayajibu kwa hoja. Sasa wao wanaishia kumtusi. HawajielewiKama mpaka hapo hujagundua tatizo liko wapi basi wewe jitafakari tena. Kwanini Nyerere,Mwinyi,Mkapa na Kikwete hawakujilimbikizia mali za umma makwao? Kama Nyerere angetaka kufanya hivyo asingeshindwa lakini alijua bado sehemu nyingi za nchi yetu zina uhitaji muhimu kama maji safi, huduma za afya, barabara n.k.
Hayo anayoyasema Lissu sio mageni masikioni mwetu sanasana analenga kupata majibu kwa njia ya hoja kutoka kwa mhusika na sio vitisho.
Alichokifanya Mh. Rais ni kitendo kisichokuwa na mashiko kwa taifa akiwa kama mkuu wa nchi.
Hivi mwenye mipasho zaidi si Jiwe?Mtu anadhubutu kusema vyama vya Upinzani ndiyo vimeiba madini ya Nchi Kama vile viliwahi kuwa madarakani.Kuna mipasho zaidi ya hiyAti huyu.. anataka kuongoza nchi hii!!!.. mipasho mipasho ipo kwa damu yake. Yeye anataka kuongoza.. ili akae Ikulu.. kupiga mipasho kwa Mh. Magufuli.. anaonyesha ana wivu sana na mafanikio ya Magufuli.. wivu mubaya sana.. nyie munao mushangilia humu.. ni basi tu hamuwezi badili gia angani.. humu ila rohoni kura kwa Magufuli.. tumewazoea.. 2010.. 2015.. si mukubali kwamba anawatia aibu.. nyie wafuasi wapenda maisha ya mukato.. aliyoziba Rais wenu mpendwa JPM.. yaani hana hata sera.. akiwongea ni upupwu tu anashusha.. BTW akimaliza mazoezi tarehe 27 Okitoba 2020.. atakwenda shangilia kumaliza ndoto ya kupiga michapo.. tumbo tu mbele.. tamaa ya kupenda kutawaliwa na mabeberu.
Magufuli 2020
Muda wa kuwaambia atafanya nini bado. Yule anajua political psychology, lazima aseme madhaifu yake tujue. Nanyi ni jukumu lenu kumtetea magufuri kwakujibu hoja za lissu. Mfano kasema magufuri kajenga uwanja aa ndege kijijini kwske na kaweka hifadhi ya sanyama. Nyue njooni mjibu hizi hoja.Kosa kingine kwa Tundu lissu
Lissu hatakiwi kumshambulia Magufuli
Lissu anatakiwa atuambie atafanya Nini,kukomaa na Magufuli ni sawa na kuzidi kujipunguzia kura tu
Hivi kujenga hospital kubwa 69 sio maajabu
Kukarabati shule za sekondari ambazo haziguswa toka mkoloni si maajabu
Chadema mjipange sana na lissu wenu mtajikuta mmeishiwa maneno baada ya wiki moja tu toka kuanza kampeni
Kweli we kilaza, kwani hukuwahi kuona barabara, reli na ndege kabla ya Magufuli. Hivyo siyo vipya, kitu kipya Ni kuqnzishwa kwa mbuga ya wanyama Chato. Hahahahhahaoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni??
akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
haoni reli? haoni madini? haioni dodoma? haoni ndege? haoni vituo vya afya? haoni meli? haoni elimu bite, haioni ubungo? haoni majizi kushughulikiwa? haoni makusanyo yakodi kuongezeka? haoni ccm safi? Nk. Nk. Haoni??
akatafute shughuli nyingine ya kufanya, akaombe hko ulaya ama ajiajiri mahali
Kwahiyo magu ni mtoa hoja kuliko lissu?Ni mlopokaji tu hana haiba ya uraisi bora angetulia zake tu huko huko kwa mabeberu ndo kuna mfaha hatuache tujenge Tanzania yetu
Wanakwambia Tumenunua ndege kwa ajili ya kuitangaza TZ na si kwa Kupata faida alisikika Ole Thadei Mushi kupitia ile Nembo yake inavyopiga masafa nchi mbali mbali basi inatangaza jina la TZ.Tangu tumenunua mijindege kedekede tumepata faida kiasi gani na hasara kiasi gani? Je, yana tija?
Mabeberu ndo waliowafikisha hapo mlipo ... Wakiwafungia mtajinyea nyie. Au umesahau majuzi tu Bank ya dunia ilisamehe riba kwenye deni mkashangilia mpk mnataka kugalagala? Bank ya mabeberu ileAti huyu.. anataka kuongoza nchi hii!!!.. mipasho mipasho ipo kwa damu yake. Yeye anataka kuongoza.. ili akae Ikulu.. kupiga mipasho kwa Mh. Magufuli.. anaonyesha ana wivu sana na mafanikio ya Magufuli.. wivu mubaya sana.. nyie munao mushangilia humu.. ni basi tu hamuwezi badili gia angani.. humu ila rohoni kura kwa Magufuli.. tumewazoea.. 2010.. 2015.. si mukubali kwamba anawatia aibu.. nyie wafuasi wapenda maisha ya mukato.. aliyoziba Rais wenu mpendwa JPM.. yaani hana hata sera.. akiwongea ni upupwu tu anashusha.. BTW akimaliza mazoezi tarehe 27 Okitoba 2020.. atakwenda shangilia kumaliza ndoto ya kupiga michapo.. tumbo tu mbele.. tamaa ya kupenda kutawaliwa na mabeberu.
Magufuli 2020