Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,949
- 74,431
Hoja ya kipumbavu 100%. Kwa nini anaapa kuilinda na kuifuata katiba kama haina maana?Kiongozi hawi bora kwa kufuata katiba na sheria, hivyo zilikuwepo na vitakuwepo tu. Uongozi ni maono.
Hoja ya kipumbavu 100%. Kwa nini anaapa kuilinda na kuifuata katiba kama haina maana?Kiongozi hawi bora kwa kufuata katiba na sheria, hivyo zilikuwepo na vitakuwepo tu. Uongozi ni maono.
Kampe amuongoze atakavyo mkeo, nchi lazima katiba ifuatwe.Magufuli aongoze hadi achoke mwenyewe
Wakwako ni zaidi maana watadanganywa mpaka na vichaa.Upeo wako ni mdogo sana; sijui watoto wako watajifunza nini kutoka kwako!!
Bado unaamini ktk viapo mkuu!Kiongozi anaapa kufuata katiba na sheria, kuilinda na kuitetea. Haapi kuwa na maono.
Nchi siyo mali...ni mahali tu.Kwani nchi ni mali ya mwenye maono
Sasa kama kiongozi hataapa' tutamuukumu vipi? Tutafahamu vipi ameenda kinyume kama atafuata maono bila katiba na kiapo? Kila anachofanya atasema ni maono yake.Bado unaamini ktk viapo mkuu!
Unatishia kujamba wakati una harisha futa mavi dogoAliyekuwa mbunge wa Singida na mwanasiasa mwenye maneno mengi Tundu Lisu ambae Kwa sasa anauguza majeraha huko Belgium
Kutokana na shambulizi la risasi juu ya kile kilichotajwa kuwa ni watu wasiojulikana.
Tundu Lisu amekuwa mtu wa kukosoa tu kila juhudi zinazofanywa serikali hii na kujipendekeza kwa mabeberu
Mimi naona ni muda mwafaka wa yeye kutupisha kwenye upande wa siasa za Tanzania,
Mimi sijihusishi na siasa za upande wowote ni mzalendo lakin Kwa kasi ya bwana mkubwa huyu mwenye macho haambiwi tazama
Hii ni kampeni huru atupishe huyu mtu aa watu wa aina hii zama zimebadirika
#TanzaniaHuru
#Magufulimpaka2050
#Mtukufumagufuri
#Twenzetu
#Tanzaniabilarushwainawezekana
#Tulikuwawapi
A Country is not a companyAliyekuwa mbunge wa Singida na mwanasiasa mwenye maneno mengi Tundu Lisu ambae Kwa sasa anauguza majeraha huko Belgium
Kutokana na shambulizi la risasi juu ya kile kilichotajwa kuwa ni watu wasiojulikana.
Tundu Lisu amekuwa mtu wa kukosoa tu kila juhudi zinazofanywa serikali hii na kujipendekeza kwa mabeberu
Mimi naona ni muda mwafaka wa yeye kutupisha kwenye upande wa siasa za Tanzania,
Mimi sijihusishi na siasa za upande wowote ni mzalendo lakin Kwa kasi ya bwana mkubwa huyu mwenye macho haambiwi tazama
Hii ni kampeni huru atupishe huyu mtu aa watu wa aina hii zama zimebadirika
#TanzaniaHuru
#Magufulimpaka2050
#Mtukufumagufuri
#Twenzetu
#Tanzaniabilarushwainawezekana
#Tulikuwawapi
Lisu inasemekana hatarudi Tanzania baada ya kupata mme ulaya
GAYISHLisu inasemekana hatarudi Tanzania baada ya kupata mme ulaya
Bwana Meya na Mtukufu Maya, how does it sound?"Mtukufu Rais"
Hii salutation utakua unaugeni nayo au dini zinakuvuruga kichwanii..
Je Lord Mayor..nayo itakuvuruga..?!?
Aliyekuwa mbunge wa Singida na mwanasiasa mwenye maneno mengi Tundu Lisu ambae Kwa sasa anauguza majeraha huko Belgium
Kutokana na shambulizi la risasi juu ya kile kilichotajwa kuwa ni watu wasiojulikana.
Tundu Lisu amekuwa mtu wa kukosoa tu kila juhudi zinazofanywa serikali hii na kujipendekeza kwa mabeberu
Mimi naona ni muda mwafaka wa yeye kutupisha kwenye upande wa siasa za Tanzania,
Mimi sijihusishi na siasa za upande wowote ni mzalendo lakin Kwa kasi ya bwana mkubwa huyu mwenye macho haambiwi tazama
Hii ni kampeni huru atupishe huyu mtu aa watu wa aina hii zama zimebadirika
#TanzaniaHuru
#Magufulimpaka2050
#Mtukufumagufuri
#Twenzetu
#Tanzaniabilarushwainawezekana
#Tulikuwawapi
Aliyekuwa mbunge wa Singida na mwanasiasa mwenye maneno mengi Tundu Lisu ambae Kwa sasa anauguza majeraha huko Belgium
Kutokana na shambulizi la risasi juu ya kile kilichotajwa kuwa ni watu wasiojulikana.
Tundu Lisu amekuwa mtu wa kukosoa tu kila juhudi zinazofanywa serikali hii na kujipendekeza kwa mabeberu
Mimi naona ni muda mwafaka wa yeye kutupisha kwenye upande wa siasa za Tanzania,
Mimi sijihusishi na siasa za upande wowote ni mzalendo lakin Kwa kasi ya bwana mkubwa huyu mwenye macho haambiwi tazama
Hii ni kampeni huru atupishe huyu mtu aa watu wa aina hii zama zimebadirika
#TanzaniaHuru
#Magufulimpaka2050
#Mtukufumagufuri
#Twenzetu
#Tanzaniabilarushwainawezekana
#Tulikuwawapi
Hakika mkuu ni lazima katiba iheshimiweTaifa lina Katiba na Sheria - Kiongozi bora ni yule anayeheshimu utawala wa Sheria. Tukutane Mahakamani 23rd.