Tundu Lissu: Ninampinga Magufuli hadharani. Sio mnafiki na sijahongwa

Kuliko hata mkapaa
kwa hio tunahitimisha kwamba magufuli hausiki...ni hicho tu hao kina mkapa watajiju..kwa sababu yeye kawa raisi wanasahau watu wabovu kabisa na waliosapoti ujinga ndio wanawaongoza kwenye chama chao...bora kina mkapa tunaweza kuwasamehe kwa kumpitisha raisi wetu.....sio hao wengine na nawaambie huyo lowasa ameondoka ccm kwa sababu alikatwa..angepita asingekua upinzani leo....kwa hio basi nahitimisha kusema kua lowasa na team yake iliohamia huko sio wakombozi kwa taifa hili na hawatokaa wawe wakombozi daima..kina dk slaa waliokua wanasema vitu vya kweli watu wakamdharau
 
Kwahiyo kwa sab hakupinga asipinge for good? Mbona swali rahisi tu.
Mbona jibu unalo tena rahisi sana yani ukubali kwa mikono miwili halafu unakuja kupinga kirahisirahisi ilihali unajua Madudu ambayo yamefanyika yanaathiri vizazi na vizazi na gharama yake ni kubwa na unawadanganya watanzania kuwa una uchungu wakati nawe ni sehemu ya matatizo hayo..wanafiki siku zote huwa wapo pamoja
 
Bro umepaniki na nina wasiwasi na elimu yako
 
Punguza jazba broo, composure
 
Kwa akili yako maana ya mkataba mbovu unaelewaje? Na unipe madhara ya mkataba mbovu ili twende sawa
Labda unijuze wewe ni kipengele gani katika huu mkataba mbovu kinachowaruhusu ACACIA kutudanganya ni kiasi gani cha dhahabu kilichopo katika huu mchanga wanaosafirisha.
 
Labda unijuze wewe ni kipengele gani katika huu mkataba mbovu kinachowaruhusu ACACIA kutudanganya ni kiasi gani cha dhahabu kilichopo katika huu mchanga wanaosafirisha.
Kweli wewe fyatu umefika ugoto wa kufikiri unaulizwa swali nawe unauliza swali ambalo majibu yake ungeyapata ndani ya nini maana ya "mkataba mbovu" na siku za wikiendi jaribu kujisomea ni namna gani mikataba mizuri Inakuwa na tija kwa taifa wala janjajanja hakuna mfano mzuri Botswana na tulisaini hiyo mikataba miaka inayofanana..
 
Kama nyie ndio wasomi wa upinzani mliobobea basi mwenyezi Mungu atunusuru mtakaposhika dola.

What a waste.
 
Lissu tangu lini ulikuwa mzalendo! Uzalendo wa kutetea fisadi lowasa, au uchumia tumbo upi anausema zaidi ya huu wa kupewa kitu kidogo kumsafisha mtu aliye mchafua kwa miaka 10. Lissuu wadanganye vipofu wa vabichaa

Yakhe,
Unajaribu kupinga ili kujifurahisha kwa muda tu! But the truth shall stand forever! Anachosema Tundu Lissu ni UKWELI MCHUNGU NA UTAENDELEA KUBAKIA HIVO until otherwise!!
Ripoti ya Kamati ya Mchanga wa Magufuli ni USANII uliopambwa na kukolezwa ili kumubeba Magufuli kisiasa!!!
Just try to think a little bit.Kwanza hii kamati haikuwa Transparent iliamua kujifungia na kukurupuka kama kichaa. Pili Kamati hii ilipashwa kuwashirikisha ACACIA na TMAA ili kuja na uchunguzi shirikishi kwa kutumia mashine za ACACIA ambazo wamekuwa wakizitumia miaka yote na baadaye kutumia za Tume ya Mchanga kama zipo!
Lakini yote 2 hayakufanyika na hapo ndipo shida inakoanzia na kizungu mkuti kinapoanzia!
Tayari ACACIA wameomba Tume Huru kurudia UCHUNGUZI HUO na kama CCM wataridhia basi wajue Magufuli na Serikali yake wamekwenda na maji!!!!!
 
......
. ....Salute
 
.....
.....watu mna Kumbukumbu
 
Kweli wewe ni JK . . ,

Umesema vizuri sanaaa . .
 
Kwa nini wewe uiamini tume iliyopima yenyewe bila wawakilishi wa Acacia kushirikishwa.Just imagune,kama wangekuja na vipimo vile vile vya Acacia vya mwanzo,je mngewaamini?Si ngeanza kusema nao wamehongwa na Acacia?..Je hakuna uwezekano kwamba Tume imeleta yale majibu ili kuwa please wa TZ na rais?..
Ni kwa nini acacia hawakushirikishwa kama sababu ilikuwa ni kupata ukweli?,just think freely..
Ilishindikana nini kukaa na Acacia na kuunda indeprndent Committee ihusike na upimaji ili kuridhisha party zote..Yaani haiwezekani ukawaondoa Acacia kwenye hili zoezi sababu wao ni party of tha contract na chochote kitachotokea kitawaathiri moja kwa moja.
 
Lopo lopo, mbunge sijui lini kawajali wananchi wake.
Rais wa nini sijui, wakili anayejiita msomi. Sijawahi kumwelewa huyu mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…