Mkuu ina hakika kama Masheikh wa Uamsho wamekuwa convicted? Sidhani. Utawala wa sheria unataka washitakiwe kama serikali inaona wana makosa na tuone kesi ikiendelea na ifike mwisho, wakikutwa na makosa wapatiwe adhabu kama hawakukutwa na makosa waachiwe.Lisu ni mtu hatari, he just wants to challenge the state either defending himself as an enemy of the government or defending the convicted enemy of the states, like hao sheikh wa uamsho, acacia etc.
Nyie shabikieni tu, hamjui watu na mipango yao. Mnarukishwa mkojo mkatue kwenye mavi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo Lisu kachemka watalii wazungu waliomwagiwa tindikali Zanzibar ,makanisa yalichomwa moto kipindi cha uamsho cha hao mashehe.Utalii ukaporomoka Zanzibar wazungu ndege zao zikawa na hofu kuu kutua Zanzibar . Serikali ikawadaka kuwasweka ndani hali ikawa shwari Zanzibar hadi leo.Kumetulia.Lisu anawatetea haya wee nakala ziwafikie makampuni yaletayo watalii Zanzibar yaliyoko Marekani na Ulaya.Lisu huyo mtetea adui zenu
Ana hasira kadhulumiwa korosho zake na serikali...THE BIG SHOW hajasikia mkuu
Lisu ni mtu hatari, he just wants to challenge the state either defending himself as an enemy of the government or defending the convicted enemy of the states, like hao sheikh wa uamsho, acacia etc.
Nyie shabikieni tu, hamjui watu na mipango yao. Mnarukishwa mkojo mkatue kwenye mavi.
Sent using Jamii Forums mobile app
jinga kubwa wewe hivi unajuwa wanashitakiwa kwa makosa gani au unaropoka tuu.Hapo Lisu kachemka watalii wazungu waliomwagiwa tindikali Zanzibar ,makanisa yalichomwa moto kipindi cha uamsho cha hao mashehe.Utalii ukaporomoka Zanzibar wazungu ndege zao zikawa na hofu kuu kutua Zanzibar . Serikali ikawadaka kuwasweka ndani hali ikawa shwari Zanzibar hadi leo.Kumetulia.Lisu anawatetea haya wee nakala ziwafikie makampuni yaletayo watalii Zanzibar yaliyoko Marekani na Ulaya.Lisu huyo mtetea adui zenu
Kiko wapi sasa ?Nimesikiliza mahojiano kati ya wana diaspora wa Marekani na Tundu Lissu.
Kuna diaspora mmoja akam challenge Tundu Lissu kuhusu kuwatetea Mashekhe wa Uamsho ambao wamekaa rumande miaka kadhaa sasa.
Tundu Lissu akamjibu kuwa amekuwa akiwatetea Mashekhe hao na kama muuliza swali haamini basi akajiridhishe kwa kumuona Shekhe Faridi aliyeko magereza Segerea.
Kisa hiki kinanirudisha kwa safari ya Shekhe Ponda kwenda Nairobi kumjulia hali Tundu Lissu.
Inawezekana Shekhe Ponda na Tundu Lissu wamejuana kupitia suala la Mashekhe wa Uamsho.
Cc Pohamba
Habari za saa hizi Comrade!Hapo Lisu kachemka watalii wazungu waliomwagiwa tindikali Zanzibar ,makanisa yalichomwa moto kipindi cha uamsho cha hao mashehe.Utalii ukaporomoka Zanzibar wazungu ndege zao zikawa na hofu kuu kutua Zanzibar . Serikali ikawadaka kuwasweka ndani hali ikawa shwari Zanzibar hadi leo.Kumetulia.Lisu anawatetea haya wee nakala ziwafikie makampuni yaletayo watalii Zanzibar yaliyoko Marekani na Ulaya.Lisu huyo mtetea adui zenu
Tundu Mungu ambariki sana. Zile risasi 40 zilizomkosa kwenye ubongo ilikuwa ni neema ya Mungu kutokana tangu awe mwanasheria amesaidia watu wengi sana maskini. Hawakuwa na cha kumlipa lakini aalimwombea Baraka kwa Mungu.Nimesikiliza mahojiano kati ya wana diaspora wa Marekani na Tundu Lissu.
Kuna diaspora mmoja akam challenge Tundu Lissu kuhusu kuwatetea Mashekhe wa Uamsho ambao wamekaa rumande miaka kadhaa sasa.
Tundu Lissu akamjibu kuwa amekuwa akiwatetea Mashekhe hao na kama muuliza swali haamini basi akajiridhishe kwa kumuona Shekhe Faridi aliyeko magereza Segerea.
Kisa hiki kinanirudisha kwa safari ya Shekhe Ponda kwenda Nairobi kumjulia hali Tundu Lissu.
Inawezekana Shekhe Ponda na Tundu Lissu wamejuana kupitia suala la Mashekhe wa Uamsho.
Cc Pohamba
Nimekaa vikao na Tundu Lissu amekuwa akiwatetea mashehe wa uamsho kwa nuda mrefu sana.Nimesikiliza mahojiano kati ya wana diaspora wa Marekani na Tundu Lissu.
Kuna diaspora mmoja akam challenge Tundu Lissu kuhusu kuwatetea Mashekhe wa Uamsho ambao wamekaa rumande miaka kadhaa sasa.
Tundu Lissu akamjibu kuwa amekuwa akiwatetea Mashekhe hao na kama muuliza swali haamini basi akajiridhishe kwa kumuona Shekhe Faridi aliyeko magereza Segerea.
Kisa hiki kinanirudisha kwa safari ya Shekhe Ponda kwenda Nairobi kumjulia hali Tundu Lissu.
Inawezekana Shekhe Ponda na Tundu Lissu wamejuana kupitia suala la Mashekhe wa Uamsho.
Cc Pohamba
Alihisi wanaunga mkono CUF wakati huo ilikuwa tishio
Hongera yakeAlihisi wanaunga mkono CUF wakati huo ilikuwa tishio
walikuwa wanazingua kwa kiasi chao lakinAlihisi wanaunga mkono CUF wakati huo ilikuwa tishio
Hiyo sababu hadi leo 8yrs imeshindwa kuthibitika
Unaweza kuhusisha vipi Uamsho na hayo matukio ya uhalifu yaliyotokea Unguja? Kama haya uliyoandika yana ukweli, mbona hakuna hukumu iliyowatia hatiani juu ya huo uhalifu wao? Kama unao ushahidi wa dhahiri tuwekee hapa.Hapo Lisu kachemka watalii wazungu waliomwagiwa tindikali Zanzibar ,makanisa yalichomwa moto kipindi cha uamsho cha hao mashehe.Utalii ukaporomoka Zanzibar wazungu ndege zao zikawa na hofu kuu kutua Zanzibar . Serikali ikawadaka kuwasweka ndani hali ikawa shwari Zanzibar hadi leo.Kumetulia.Lisu anawatetea haya wee nakala ziwafikie makampuni yaletayo watalii Zanzibar yaliyoko Marekani na Ulaya.Lisu huyo mtetea adui zenu
Ushahidi wanao lakini wameshindwa kupeleka kwa DPP kwa miaka 8🤣🤣Unaweza kuhusisha vipi Uamsho na hayo matukio ya uhalifu yaliyotokea Unguja? Kama haya uliyoandika yana ukweli, mbona hakuna hukumu iliyowatia hatiani juu ya huo uhalifu wao? Kama unao ushahidi wa dhahiri tuwekee hapa.
Vipi leo umechapisha nakala ngapi kuwasambazia makampuni ya watalii? au ndio kubadilisha gia angani?Hapo Lisu kachemka watalii wazungu waliomwagiwa tindikali Zanzibar ,makanisa yalichomwa moto kipindi cha uamsho cha hao mashehe.Utalii ukaporomoka Zanzibar wazungu ndege zao zikawa na hofu kuu kutua Zanzibar . Serikali ikawadaka kuwasweka ndani hali ikawa shwari Zanzibar hadi leo.Kumetulia.Lisu anawatetea haya wee nakala ziwafikie makampuni yaletayo watalii Zanzibar yaliyoko Marekani na Ulaya.Lisu huyo mtetea adui zenu
Hapo Lisu kachemka watalii wazungu waliomwagiwa tindikali Zanzibar ,makanisa yalichomwa moto kipindi cha uamsho cha hao mashehe.Utalii ukaporomoka Zanzibar wazungu ndege zao zikawa na hofu kuu kutua Zanzibar . Serikali ikawadaka kuwasweka ndani hali ikawa shwari Zanzibar hadi leo.Kumetulia.Lisu anawatetea haya wee nakala ziwafikie makampuni yaletayo watalii Zanzibar yaliyoko Marekani na Ulaya.Lisu huyo mtetea adui zenu