JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,017
Nimesikiliza mahojiano kati ya wana diaspora wa Marekani na Tundu Lissu.
Kuna diaspora mmoja akam challenge Tundu Lissu kuhusu kuwatetea Mashekhe wa Uamsho ambao wamekaa rumande miaka kadhaa sasa.
Tundu Lissu akamjibu kuwa amekuwa akiwatetea Mashekhe hao na kama muuliza swali haamini basi akajiridhishe kwa kumuona Shekhe Faridi aliyeko magereza Segerea.
Kisa hiki kinanirudisha kwa safari ya Shekhe Ponda kwenda Nairobi kumjulia hali Tundu Lissu.
Inawezekana Shekhe Ponda na Tundu Lissu wamejuana kupitia suala la Mashekhe wa Uamsho.
Cc Pohamba
Kuna diaspora mmoja akam challenge Tundu Lissu kuhusu kuwatetea Mashekhe wa Uamsho ambao wamekaa rumande miaka kadhaa sasa.
Tundu Lissu akamjibu kuwa amekuwa akiwatetea Mashekhe hao na kama muuliza swali haamini basi akajiridhishe kwa kumuona Shekhe Faridi aliyeko magereza Segerea.
Kisa hiki kinanirudisha kwa safari ya Shekhe Ponda kwenda Nairobi kumjulia hali Tundu Lissu.
Inawezekana Shekhe Ponda na Tundu Lissu wamejuana kupitia suala la Mashekhe wa Uamsho.
Cc Pohamba