Tundu Lissu: Nimekuwa Mahabusu Siku 68 Mawakili wangu hawajaruhusiwa Kuniona na kuwasiliana na Mimi

Tundu Lissu: Nimekuwa Mahabusu Siku 68 Mawakili wangu hawajaruhusiwa Kuniona na kuwasiliana na Mimi

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
1,446
Reaction score
2,093
Mapema leo Juni 16, 2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amefikishwa Mahakama ya Kisutu Jijini Dar es Salaam kusikiliza kesi ya Uhaini na Kesi ya kuchapisha uongo Mtandaoni zinazomkabili ikiwa ni mara ya tatu kwa sasa kufika Mahakamani kusikiliza kesi yake

===
Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania CHADEMA, Tundu Lissu ameileza mahakama nchini Tanzania kuwa haki yake ya msingi ya kuwasiliana na kufanya mashauriano na mawakili wake imefinywa. Amesema amekuwa gerezani kwa siku 68 lakini mazingira kwa wakati wote yamekuwa magumu. Lissu anakabiliwa na kesi ya uhaini pamoja na kesi ya kuchapisha taarifa za uwongo mtandaoni
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu ambaye anakabiliwa na Kesi mbili kwenye Mahakama ya Kisutu, amesema kwamba kwa siku 68 ambazo amekuwa Gerezani amenyimwa haki ya kufanya mazungumzo ya faragha na Mawakili wake ambao wamekuwa wakienda kuonana naye.​

Ameongeza kuwa licha ya hivyo yeye pamoja na Mawakili wake hawapati nafasi ya kubadilishana nyaraka kwa ajili ya kushughulikia kesi zinazomkabili.

Lissu akiwa kizimbani amesema kwamba amekuwa akiongea na Mawakili kwenye simu akiwa kwenye eneo ambalo halimpi nafasi ya kufanya mazungumzo ya faragha, ambapo amesema kuwa kupitia mawasiliano ya simu au eneo chumba anachotumia kuwasiliana na Mawakili wake kunaweuwezekano kupokwa kwa haki ya faragha.

Amedai kuwa mazingira ya aina hiyo ni kinyume na Sheria na kuwa Mahakama ndiyo yenye mamlaka ya kuweka utaratibu tofauti kwa wa Mawakili kumuona mteja wao akiwa Gerezani

Kesi hiyo inaendelea...




 

Attachments

  • Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania CHADEMA, Tundu Lissu ameileza mahakama ...jpg
    Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania CHADEMA, Tundu Lissu ameileza mahakama ...jpg
    119.2 KB · Views: 21


Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu ambaye anakabiliwa na Kesi mbili kwenye Mahakama ya Kisutu, amesema kwamba kwa siku 68 ambazo amekuwa Gerezani amenyimwa haki ya kufanya mazungumzo ya faragha na Mawakili wake ambao wamekuwa wakienda kuonana naye.

Ameongeza kuwa licha ya hivyo yeye pamoja na Mawakili wake hawapati nafasi ya kubadilishana nyaraka kwa ajili ya kushughulikia kesi zinazomkabili.

Lissu akiwa kizimbani amesema kwamba amekuwa akiongea na Mawakili kwenye simu akiwa kwenye eneo ambalo halimpi nafasi ya kufanya mazungumzo ya faragha, ambapo amesema kuwa kupitia mawasiliano ya simu au eneo chumba anachotumia kuwasiliana na Mawakili wake kunaweuwezekano kupokwa kwa haki ya faragha.

Amedai kuwa mazingira ya aina hiyo ni kinyume na Sheria na kuwa Mahakama ndiyo yenye mamlaka ya kuweka utaratibu tofauti kwa wa Mawakili kumuona mteja wao akiwa Gerezani

Kesi hiyo inaendelea...
 
Yaani ningepata nafasi ya kumshauri Raisi sio Samia .Ni kuachana na hizi drama zimecgafua kiti cha uraisi.Hawa wanaume washauri waliomzunguka hawamshauri vyema .Kuna issue ya Gwaji na kanisa ,ningemshauri angetenganisha Kanisa na Gwaji akivichanganya anajitafutia laana tu .Viongozi wote watangulizi waliheshimu sehemu za ibada .Lingine ni utekaji ,naomba watumie akili kidogo.hao watekaji.na.sio.kufanya votu wanavyovifanya
Wana nguvu zote hiki kinachofanyika.ni utoto na ategemee pia in along run ndugu zao wakaribu watafikiwa na ni laana kwake.pia
Mama Samia umekimaliza kizazi chako.kwa.hii.laana Ona Nyerere watoto ,wajukuu na vitukuu wako.shaghalabaghala tu Mama Maria Kaachwa kushuhudia tu na Hana cha kufanya
Mangu asubiri wa kwake soon mtaanza kuona hizo laana .Ni hayo tu mimi ni mtu mdogo tu
 
Apunguze kulialia apambane si alisema kinuke haya kimenuka kwake, safari hii hamna kukimbilia Belgium
 
Mapema leo Juni 16, 2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amefikishwa Mahakama ya Kisutu Jijini Dar es Salaam kusikiliza kesi ya Uhaini na Kesi ya kuchapisha uongo Mtandaoni zinazomkabili ikiwa ni mara ya tatu kwa sasa kufika Mahakamani kusikiliza kesi yake

===
Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania CHADEMA, Tundu Lissu ameileza mahakama nchini Tanzania kuwa haki yake ya msingi ya kuwasiliana na kufanya mashauriano na mawakili wake imefinywa. Amesema amekuwa gerezani kwa siku 68 lakini mazingira kwa wakati wote yamekuwa magumu. Lissu anakabiliwa na kesi ya uhaini pamoja na kesi ya kuchapisha taarifa za uwongo mtandaoni

Source: DW Swahili

Na hizo zote ni mbu za Yule Jamaa
 
Yaani ningepata nafasi ya kumshauri Raisi sio Samia .Ni kuachana na hizi drama zimecgafua kiti cha uraisi.Hawa wanaume washauri waliomzunguka hawamshauri vyema .Kuna issue ya Gwaji na kanisa ,ningemshauri angetenganisha Kanisa na Gwaji akivichanganya anajitafutia laana tu .Viongozi wote watangulizi waliheshimu sehemu za ibada .Lingine ni utekaji ,naomba watumie akili kidogo.hao watekaji.na.sio.kufanya votu wanavyovifanya
Wana nguvu zote hiki kinachofanyika.ni utoto na ategemee pia in along run ndugu zao wakaribu watafikiwa na ni laana kwake.pia
Mama Samia umekimaliza kizazi chako.kwa.hii.laana Ona Nyerere watoto ,wajukuu na vitukuu wako.shaghalabaghala tu Mama Maria Kaachwa kushuhudia tu na Hana cha kufanya
Mangu asubiri wa kwake soon mtaanza kuona hizo laana .Ni hayo tu mimi ni mtu mdogo tu
Mkuu hizi issue tusiziangalie kwa juu juu ni mambo mazito sana.

"How economic hitmens works"
 
Yaani ningepata nafasi ya kumshauri Raisi sio Samia .Ni kuachana na hizi drama zimecgafua kiti cha uraisi.Hawa wanaume washauri waliomzunguka hawamshauri vyema .Kuna issue ya Gwaji na kanisa ,ningemshauri angetenganisha Kanisa na Gwaji akivichanganya anajitafutia laana tu .Viongozi wote watangulizi waliheshimu sehemu za ibada .Lingine ni utekaji ,naomba watumie akili kidogo.hao watekaji.na.sio.kufanya votu wanavyovifanya
Wana nguvu zote hiki kinachofanyika.ni utoto na ategemee pia in along run ndugu zao wakaribu watafikiwa na ni laana kwake.pia
Mama Samia umekimaliza kizazi chako.kwa.hii.laana Ona Nyerere watoto ,wajukuu na vitukuu wako.shaghalabaghala tu Mama Maria Kaachwa kushuhudia tu na Hana cha kufanya
Mangu asubiri wa kwake soon mtaanza kuona hizo laana .Ni hayo tu mimi ni mtu mdogo tu
Huyu bibi ni katili haswa
 
NI wazi kuwa nchi uko ktk hali ya govdysfunctional.

Kuna kila dalili kuwa mihimili yote kwasasa inapokea maelekezo toka kwa wenye umiliki na udhibiti wa nchi.

Yaani Deep State
 
Mapema leo Juni 16, 2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amefikishwa Mahakama ya Kisutu Jijini Dar es Salaam kusikiliza kesi ya Uhaini na Kesi ya kuchapisha uongo Mtandaoni zinazomkabili ikiwa ni mara ya tatu kwa sasa kufika Mahakamani kusikiliza kesi yake

===
Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania CHADEMA, Tundu Lissu ameileza mahakama nchini Tanzania kuwa haki yake ya msingi ya kuwasiliana na kufanya mashauriano na mawakili wake imefinywa. Amesema amekuwa gerezani kwa siku 68 lakini mazingira kwa wakati wote yamekuwa magumu. Lissu anakabiliwa na kesi ya uhaini pamoja na kesi ya kuchapisha taarifa za uwongo mtandaoni





ni muhimu sana mtuhumiwa akatuliza ball kwani hizo ndizo miongoni mwa athari za uropokaji unaokiuka sheria.

ustaarabu ni kitu muhimu sana 🐒
 

uropokaji ndio unamtesa muungwana korokoroni wewe ndio kwanza unauendekeza, shauri yako 🐒
 
Hwa wanafikiri kuwa ;
1. Tz ni yao milele na watatawala hadi kiama.
2. Hakuna watu wengine zaidi ya wao watakaotawala.
Siku zaja magereza, mahakama, mapolisi kutakuwa ndio "makazini" mwao, Mungu wa kisasi anatenda kazi hata muda huu.
 
Yule aliyesema anaachiwa July ndiyo imekuwa...
 
Back
Top Bottom