Tundu Lissu ni shujaa

Tundu Lissu ni shujaa

budagala

Member
Joined
Jun 11, 2015
Posts
93
Reaction score
181
NImekuwa najitahidi sana kufuatilia dhamira ya ndani ya Tundu Lissu na nimekuja kugundua inawezekana hana nia ovu na taifa hili.

Inawezekana ana mapungufu yake mengi mathalani kutumia lugha za uchochezi au tonne mbaya anapokuwa anazungumza au inawezekana(sina uhakika) anatumiwa na mataifa ya ulaya kwa ajenda zao,lakin jamaa sio mbinafsi kabisa.Mimi siyo CHADEMA lakin nilifuatilia sana mchakato wa uchaguzi ndani ya CHADEMA na jinsi kulivyotaka kufanyika figisu jamaa asigombee.Vipaumbele vyake alivyokuwa anavieleza,vilikuwa na hoja na mashiko makubwa.

Kipindi hicho ktk kampuni moja yenye umiliki wa hisa za kifamilia,kuna kiongozi alikuwa anafanya yale yale aliyokuwa anayafanya Mbowe,ikiwemo kutaka kukalia kiti hicho yeye pekee yake na asitoe nafasi kabisa kwa watu wengine.Mimi nikawa nasema,ukishindwa kutengeneza viongozi wachanga na kutoamini kuwa mwingine anaweza kufanya majukumu yako vizuri au pengine hata kukuzidi,basi wewe unapoteza sifa ya leadership na mentorship.Kipindi hicho yulikuwa na mjadala mkali sana kuhusu uongozi wa milele na kutotengeneza successors.

Misimamo ya Tundu Lisu kupiga vita rushwa waziwazi,ni credit tosha inayofanya jamaa nimkubali.Anavyoongea kuhusu rushwa,unamuona kabisa anamaanisha.Kwa maslahi ya taifa hili,system inayolitakia mema taifa hili,ingetumia maarifa ya Tundu Lissu vizuri kutusaidia kutoka hapa tulipo.Jamaa anajua sana lakin tatizo lake anaghafirika upesi sana na yupo too emotional.

Nimekuwa namuona anavyopiga makelele mahakamani akiwa anaingia,naona kabisa hana utulivu kiasi flani.Lakin je,kuna kiongozi gani duniani asiye na mapungufu?Chunguza vizuri kwa wanaoishi karibu na marais na utajua kuwa hata wao pia wana mapungufu yao.Tundu Lissu angeachwa afanye siasa za kulisaidia taifa hili.Kwa wenye taarifa za ki intelijensia(ambao pengine wengine hatuzijui) basi watuambie sasa Tundu Lisu ana ajenda gani ya siri zaidi ya kutaka mifumo imara na kutetea wengine.Juzi nimeona amewatetea hadi wafungwa gerezani.Hajiangalii yeye tu ndiyo maana hajataka hata kulazimisha agombee urais mwaka huu.

Awe mpole tu asitunishiane misuli na walioshika mpini.Aweshawishi tu wampokee ili waungane tulijenge taifa letu.Nchi ni yetu wote.

Tupeane nafasi ya kulijenga taifa letu na tusitoe mianya ya mabeberu kujipenyeza katika huu mgogoro na kuisambaratisha nchi yetu
 
NImekuwa najitahidi sana kufuatilia dhamira ya ndani ya Tundu Lissu na nimekuja kugundua inawezekana hana nia ovu na taifa hili.

Inawezekana ana mapungufu yake mengi mathalani kutumia lugha za uchochezi au tonne mbaya anapokuwa anazungumza au inawezekana(sina uhakika) anatumiwa na mataifa ya ulaya kwa ajenda zao,lakin jamaa sio mbinafsi kabisa.Mimi siyo CHADEMA lakin nilifuatilia sana mchakato wa uchaguzi ndani ya CHADEMA na jinsi kulivyotaka kufanyika figisu jamaa asigombee.Vipaumbele vyake alivyokuwa anavieleza,vilikuwa na hoja na mashiko makubwa.

Kipindi hicho ktk kampuni moja yenye umiliki wa hisa za kifamilia,kuna kiongozi alikuwa anafanya yale yale aliyokuwa anayafanya Mbowe,ikiwemo kutaka kukalia kiti hicho yeye pekee yake na asitoe nafasi kabisa kwa watu wengine.Mimi nikawa nasema,ukishindwa kutengeneza viongozi wachanga na kutoamini kuwa mwingine anaweza kufanya majukumu yako vizuri au pengine hata kukuzidi,basi wewe unapoteza sifa ya leadership na mentorship.Kipindi hicho yulikuwa na mjadala mkali sana kuhusu uongozi wa milele na kutotengeneza successors.

Misimamo ya Tundu Lisu kupiga vita rushwa waziwazi,ni credit tosha inayofanya jamaa nimkubali.Anavyoongea kuhusu rushwa,unamuona kabisa anamaanisha.Kwa maslahi ya taifa hili,system inayolitakia mema taifa hili,ingetumia maarifa ya Tundu Lissu vizuri kutusaidia kutoka hapa tulipo.Jamaa anajua sana lakin tatizo lake anaghafirika upesi sana na yupo too emotional.

Nimekuwa namuona anavyopiga makelele mahakamani akiwa anaingia,naona kabisa hana utulivu kiasi flani.Lakin je,kuna kiongozi gani duniani asiye na mapungufu?Chunguza vizuri kwa wanaoishi karibu na marais na utajua kuwa hata wao pia wana mapungufu yao.Tundu Lissu angeachwa afanye siasa za kulisaidia taifa hili.Kwa wenye taarifa za ki intelijensia(ambao pengine wengine hatuzijui) basi watuambie sasa Tundu Lisu ana ajenda gani ya siri zaidi ya kutaka mifumo imara na kutetea wengine.Juzi nimeona amewatetea hadi wafungwa gerezani.Hajiangalii yeye tu ndiyo maana hajataka hata kulazimisha agombee urais mwaka huu.

Awe mpole tu asitunishiane misuli na walioshika mpini.Aweshawishi tu wampokee ili waungane tulijenge taifa letu.Nchi ni yetu wote.

Tupeane nafasi ya kulijenga taifa letu na tusitoe mianya ya mabeberu kujipenyeza katika huu mgogoro na kuisambaratisha nchi yetu
Mkuu Buda, budagala , wewe ni baraka!, nimekusoma, nimeguswa na natamani Lissu mwenyewe akusome huku akikutafakari.
Ubarikiwe Sana.
P
 
Cde budagala it's obvious known kuwa ana kitu anachotamani kitokee kwa taifa letu.
* Shida ni kuwa reforms nyingi anazopenda ktk utekelezaji wake zitawagusa baadhi na kuziba mirija yao;

* Ipo siku wananchi wengi zaidi watamwelewa na kumsaidia kusukuma agenda ya reforms hizo.
MK
 
NImekuwa najitahidi sana kufuatilia dhamira ya ndani ya Tundu Lissu na nimekuja kugundua inawezekana hana nia ovu na taifa hili.

Inawezekana ana mapungufu yake mengi mathalani kutumia lugha za uchochezi au tonne mbaya anapokuwa anazungumza au inawezekana(sina uhakika) anatumiwa na mataifa ya ulaya kwa ajenda zao,lakin jamaa sio mbinafsi kabisa.Mimi siyo CHADEMA lakin nilifuatilia sana mchakato wa uchaguzi ndani ya CHADEMA na jinsi kulivyotaka kufanyika figisu jamaa asigombee.Vipaumbele vyake alivyokuwa anavieleza,vilikuwa na hoja na mashiko makubwa.

Kipindi hicho ktk kampuni moja yenye umiliki wa hisa za kifamilia,kuna kiongozi alikuwa anafanya yale yale aliyokuwa anayafanya Mbowe,ikiwemo kutaka kukalia kiti hicho yeye pekee yake na asitoe nafasi kabisa kwa watu wengine.Mimi nikawa nasema,ukishindwa kutengeneza viongozi wachanga na kutoamini kuwa mwingine anaweza kufanya majukumu yako vizuri au pengine hata kukuzidi,basi wewe unapoteza sifa ya leadership na mentorship.Kipindi hicho yulikuwa na mjadala mkali sana kuhusu uongozi wa milele na kutotengeneza successors.

Misimamo ya Tundu Lisu kupiga vita rushwa waziwazi,ni credit tosha inayofanya jamaa nimkubali.Anavyoongea kuhusu rushwa,unamuona kabisa anamaanisha.Kwa maslahi ya taifa hili,system inayolitakia mema taifa hili,ingetumia maarifa ya Tundu Lissu vizuri kutusaidia kutoka hapa tulipo.Jamaa anajua sana lakin tatizo lake anaghafirika upesi sana na yupo too emotional.

Nimekuwa namuona anavyopiga makelele mahakamani akiwa anaingia,naona kabisa hana utulivu kiasi flani.Lakin je,kuna kiongozi gani duniani asiye na mapungufu?Chunguza vizuri kwa wanaoishi karibu na marais na utajua kuwa hata wao pia wana mapungufu yao.Tundu Lissu angeachwa afanye siasa za kulisaidia taifa hili.Kwa wenye taarifa za ki intelijensia(ambao pengine wengine hatuzijui) basi watuambie sasa Tundu Lisu ana ajenda gani ya siri zaidi ya kutaka mifumo imara na kutetea wengine.Juzi nimeona amewatetea hadi wafungwa gerezani.Hajiangalii yeye tu ndiyo maana hajataka hata kulazimisha agombee urais mwaka huu.

Awe mpole tu asitunishiane misuli na walioshika mpini.Aweshawishi tu wampokee ili waungane tulijenge taifa letu.Nchi ni yetu wote.

Tupeane nafasi ya kulijenga taifa letu na tusitoe mianya ya mabeberu kujipenyeza katika huu mgogoro na kuisambaratisha nchi yetu

kule kuchangamka mahakamani ni kuzuri, kuonesha yuko timamu kuliongoza Taifa, kuonesha furaha kukutana na ndugu zake (waTanganyika wazalendo) pia ni ujumbe mzuri kwa watesi.

MUNGU NI MWEMA SANA!
 
Mkuu Buda, @budagula , wewe ni baraka!, nimekusoma, nimeguswa na natamani Lissu mwenyewe akusome huku akikutafakari.
Ubarikiwe Sana.
P
Asante sana kaka Paskali.Nimefarijika sana kupata comment yako.A voice within.Mimi pia ni mtu ninayependelea sana aina ya uandishi na uchambuzi wako
 
NImekuwa najitahidi sana kufuatilia dhamira ya ndani ya Tundu Lissu na nimekuja kugundua inawezekana hana nia ovu na taifa hili.

Inawezekana ana mapungufu yake mengi mathalani kutumia lugha za uchochezi au tonne mbaya anapokuwa anazungumza au inawezekana(sina uhakika) anatumiwa na mataifa ya ulaya kwa ajenda zao,lakin jamaa sio mbinafsi kabisa.Mimi siyo CHADEMA lakin nilifuatilia sana mchakato wa uchaguzi ndani ya CHADEMA na jinsi kulivyotaka kufanyika figisu jamaa asigombee.Vipaumbele vyake alivyokuwa anavieleza,vilikuwa na hoja na mashiko makubwa.

Kipindi hicho ktk kampuni moja yenye umiliki wa hisa za kifamilia,kuna kiongozi alikuwa anafanya yale yale aliyokuwa anayafanya Mbowe,ikiwemo kutaka kukalia kiti hicho yeye pekee yake na asitoe nafasi kabisa kwa watu wengine.Mimi nikawa nasema,ukishindwa kutengeneza viongozi wachanga na kutoamini kuwa mwingine anaweza kufanya majukumu yako vizuri au pengine hata kukuzidi,basi wewe unapoteza sifa ya leadership na mentorship.Kipindi hicho yulikuwa na mjadala mkali sana kuhusu uongozi wa milele na kutotengeneza successors.

Misimamo ya Tundu Lisu kupiga vita rushwa waziwazi,ni credit tosha inayofanya jamaa nimkubali.Anavyoongea kuhusu rushwa,unamuona kabisa anamaanisha.Kwa maslahi ya taifa hili,system inayolitakia mema taifa hili,ingetumia maarifa ya Tundu Lissu vizuri kutusaidia kutoka hapa tulipo.Jamaa anajua sana lakin tatizo lake anaghafirika upesi sana na yupo too emotional.

Nimekuwa namuona anavyopiga makelele mahakamani akiwa anaingia,naona kabisa hana utulivu kiasi flani.Lakin je,kuna kiongozi gani duniani asiye na mapungufu?Chunguza vizuri kwa wanaoishi karibu na marais na utajua kuwa hata wao pia wana mapungufu yao.Tundu Lissu angeachwa afanye siasa za kulisaidia taifa hili.Kwa wenye taarifa za ki intelijensia(ambao pengine wengine hatuzijui) basi watuambie sasa Tundu Lisu ana ajenda gani ya siri zaidi ya kutaka mifumo imara na kutetea wengine.Juzi nimeona amewatetea hadi wafungwa gerezani.Hajiangalii yeye tu ndiyo maana hajataka hata kulazimisha agombee urais mwaka huu.

Awe mpole tu asitunishiane misuli na walioshika mpini.Aweshawishi tu wampokee ili waungane tulijenge taifa letu.Nchi ni yetu wote.

Tupeane nafasi ya kulijenga taifa letu na tusitoe mianya ya mabeberu kujipenyeza katika huu mgogoro na kuisambaratisha nchi yetu
20250816_202504.jpg
 
Back
Top Bottom