johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,428
- 142,662
Hahahaaa.......Una nini lakini we John?Enzi za Kikwete alipowaalika Viongozi Wakuu wa Chadema Ikulu baada ya mazungumzo Tundu Lisu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa wakati akina Mbowe wakigonga juice
Juzi pale Star tv kwenye Agenda na Mtozi huyu mh Tundu Lisu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa
Kuna watu Wanaishi kwa kanuni aisee πΌ
Hata Polepole alisema ndani ya CCM kuna wahuni wengi.....hali chakula hovyo hovyoEnzi za Kikwete alipowaalika Viongozi Wakuu wa Chadema Ikulu baada ya mazungumzo Tundu Lisu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa wakati akina Mbowe wakigonga juice
Juzi pale Star tv kwenye Agenda na Mtozi huyu mh Tundu Lisu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa
Kuna watu Wanaishi kwa kanuni aisee πΌ
Hiyo haisaidii.Enzi za Kikwete alipowaalika Viongozi Wakuu wa Chadema Ikulu baada ya mazungumzo Tundu Lisu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa wakati akina Mbowe wakigonga juice
Juzi pale Star tv kwenye Agenda na Mtozi huyu mh Tundu Lisu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa
Kuna watu Wanaishi kwa kanuni aisee πΌ
Hapo Chadema Mbowe, Lisu na Sugu nawakubali sana ππHahahaaa.......Una nini lakini we John?
Unaacha kufatilia wanakulipa huko ccm kila siku uko ma TL?
ππππ
Imeshamsaidia hadi sasa Ndio maana ilitumika AK πΌHiyo haisaidii.
Kwani wewe Jo umesahau kanuni ya kijaniπ€£Enzi za Kikwete alipowaalika Viongozi Wakuu wa Chadema Ikulu baada ya mazungumzo Tundu Lisu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa wakati akina Mbowe wakigonga juice
Juzi pale Star tv kwenye Agenda na Mtozi huyu mh Tundu Lisu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa
Kuna watu Wanaishi kwa kanuni aisee πΌ
Huyu Mzee naona kaacha kuchochea kuni mbichi..tulimwambia CCM haiwezi akatubishia.Hata Polepole alisema ndani ya CCM kuna wahuni wengi.....hali chakula hovyo hovyo
Hayo ni mambo ya kizamani wakati Benzi na Range haziruhusiwi kupaki Benki πΌIkulu huwezi kuruhusiwa kuongia na maji yako. Kama ni kemikali utakayoitumia kuleta.madhara nani anajua?
Hiyo ni sehemu ya maisha, kuwa na uhakika wa usalama wa unachokila na unachokinywa.Enzi za Kikwete alipowaalika Viongozi Wakuu wa Chadema Ikulu baada ya mazungumzo Tundu Lisu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa wakati akina Mbowe wakigonga juice
Juzi pale Star tv kwenye Agenda na Mtozi huyu mh Tundu Lisu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa
Kuna watu Wanaishi kwa kanuni aisee πΌ
Ni kweli najua sana kuhusu hili. Nilikuwa nakuchokoza tuππHapo Chadema Mbowe, Lisu na Sugu nawakubali sana ππ
Mbona hata wanafunzi wa shule za msingi wanayo ndani ya mabegi yao.Enzi za Kikwete alipowaalika Viongozi Wakuu wa CHADEMA Ikulu baada ya mazungumzo Tundu Lissu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa wakati akina Mbowe wakigonga juice.
Juzi pale Star TV kwenye Agenda na Mtozi huyu Mhe. Lissu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa
Kuna watu Wanaishi kwa kanuni aisee πΌ
Unajadili maji? Alafu utakuta umefika hadi chuo kikuu naukapata digirii!!!Enzi za Kikwete alipowaalika Viongozi Wakuu wa CHADEMA Ikulu baada ya mazungumzo Tundu Lissu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa wakati akina Mbowe wakigonga juice.
Juzi pale Star TV kwenye Agenda na Mtozi huyu Mhe. Lissu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa
Kuna watu Wanaishi kwa kanuni aisee πΌ