Tundu Lissu: MwanaSheria wa Kiwango cha Juu Kisheria na Kifalsafa

Tundu Lissu: MwanaSheria wa Kiwango cha Juu Kisheria na Kifalsafa

Prof_Adventure_guide

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2023
Posts
519
Reaction score
1,463
Nawakumbusha tu kuwa huyu Tundu Lissu ni legal intellect ya kiwango cha juu! anayechanganya constitutional reasoning, evidence doctrines, na human-rights jurisprudence kwa ustadi wa kipekee. Uelewa wake wa ICCPR, African Charter, na Katiba ya Tanzania humuwezesha ku-dismantle kesi hata zilizo “fabricated.” Ni master wa legal strategy, mwenye analytical depth ambayo ni rare katika legal practice ya Afrika Mashariki. Kisheria, ni vigumu sana kumshinda.

Sasa endeleeni na mchezo wenu hivyo hivyo!
 
Agreed. One thousand percent.

Japo sijawahi kuona popote duniani wakili anajiwakikisha mwenyewe.

Hata Johnny Cockran alihitaji jopo la watu kumi kumtetea O J Simpson.

Sasa Lissu peke yake anajiamini kuliko mawakili kumi wa O J Simpson.
  1. Johnnie Cochran
  2. Robert Shapiro
  3. F. Lee Bailey
  4. Robert Kardashian
  5. Alan Dershowitz
  6. Barry Scheck
  7. Peter Neufeld
  8. Gerald Uelmen
  9. Carl E. Douglas
  10. Shawn Chapman
 
Agreed. One thousand percent.

Japo sijawahi kuona popote duniani wakili anajiwakikisha mwenyewe.

Hata Johnny Cockran alihitaji jopo la watu kumi kumtetea O J Simpson.

Sasa Lissu peke yake anajiamini kuliko mawakili kumi wa O J Simpson.
  1. Johnnie Cochran
  2. Robert Shapiro
  3. F. Lee Bailey
  4. Robert Kardashian
  5. Alan Dershowitz
  6. Barry Scheck
  7. Peter Neufeld
  8. Gerald Uelmen
  9. Carl E. Douglas
  10. Shawn Chapman
Lissu alikuwa na mawakili wengi zaidi kuliko hao wa kesi ya OJ, ila aliamua ajitetee mwenyewe.
 
Agreed. One thousand percent.

Japo sijawahi kuona popote duniani wakili anajiwakikisha mwenyewe.

Hata Johnny Cockran alihitaji jopo la watu kumi kumtetea O J Simpson.

Sasa Lissu peke yake anajiamini kuliko mawakili kumi wa O J Simpson.
  1. Johnnie Cochran
  2. Robert Shapiro
  3. F. Lee Bailey
  4. Robert Kardashian
  5. Alan Dershowitz
  6. Barry Scheck
  7. Peter Neufeld
  8. Gerald Uelmen
  9. Carl E. Douglas
  10. Shawn Chapman
Kwa maoni yangu, Mh Lissu ni mtu ambae hana uchoyo kwa kwa kile alichonacho ndani mwake (Taaluma). Angalia kwenye utetezi wake, hawapigi chenga upande wa mashitaka bali anawapa elimu ya namna ya kufungua/kuandaa kesi/mashitaka. Kwa maana nyingine hajiwajilishi mwenyewe kwa sababu anataka ushindi kwenye kesi ile bali anahitaji kutoa elimu ya sheria kwa wengine na hata umma kwa ujumla. Tizama hata Majaji hawawezi kutoa uamuzi pale pale, lazima wajipe muda wa kutosha kwenda kufanya marejeo.

Kwakuwa Mh Lissu anapenda kuzungumza na yeye kanyimwa fursa hiyo kwenye majukwaa ya siasa basi ameona atumie vema chemba ile ya Mahakama kuwafikia Walengwa. Na kwenye hilo ni wazi kafanikiwa mno.
 
Nawakumbusha tu kuwa huyu Tundu Lissu ni legal intellect ya kiwango cha juu! anayechanganya constitutional reasoning, evidence doctrines, na human-rights jurisprudence kwa ustadi wa kipekee. Uelewa wake wa ICCPR, African Charter, na Katiba ya Tanzania humuwezesha ku-dismantle kesi hata zilizo “fabricated.” Ni master wa legal strategy, mwenye analytical depth ambayo ni rare katika legal practice ya Afrika Mashariki. Kisheria, ni vigumu sana kumshinda.

Sasa endeleeni na mchezo wenu hivyo hivyo!
TL ni mbarikiwa na mbeba maono aliesalia hapa Tanzania, Tanzania itapiga hatua kubwa sana atakapochukua nchi.
 
Magufuli aliona njia ya kifo ndiyo suluhisho Kwa lissu lkn bado ilishibdikana...
Samia aliona njia ya kumtuliza ni kuweka ndani pamoja na wafungwa wanaosubiri kunyongwa lkn bado mwenyewe lissu anatabasamu usoni.

Jana Kwa mara ya Kwanza MH Heche amepelekwa Tarime kufunguliwa jalada badala ya hapa DAR hii imetokana na lissu kulalamika mahakamani baada ya yeye mwenyewe kufunguliwa jalada hapa DAR badala ya kule mbinga,.

Nina uhakika baada ya hii kesi ya lissu kuisha kutafanyika marekebisho makubwa Sana ya Sheria za kimahakama
 
Sikuwahi kumzingatia Tls kipindi kile

Vile anajiamini kisekula kwenye kuikosoa serikali wakati muonekano wake wa kidalali

Ila Baada ya ile bruto he was born again now I feel him

Mbali na mashavu yake ya ki dalali anaelewaka ana kitu anadai na chapekee

Ila nachelea asiwe mbuzi wa kafara na watu wakamtumia kusawazisha laana zao

Ila kwasasa yupo vizuri sana sana
 
Back
Top Bottom