Tundu Lissu, Mtema ndani ya UDOM

Tundu Lissu, Mtema ndani ya UDOM

Kesho nitawawekea picha za mkutano huu...
Wewe weka tu hiyo si ndio kazi yako pamoja na maandamano kila kukicha wewe kiguu na njia, katiba mpya inakuja kaa ukijua hakuna tena viti maalam mnakula tu pesa za walipa kodi wa Tanzania
 
Ccm watachonga sana chadema na harakati za ukombozi kwa kwenda mbele. Wao wakiponda maandamano hata kwa kuwatumia akina mrema sisi tunasonga mbele mwendo mdundo.
 
Wewe weka tu hiyo si ndio kazi yako pamoja na maandamano kila kukicha wewe kiguu na njia, katiba mpya inakuja kaa ukijua hakuna tena viti maalam mnakula tu pesa za walipa kodi wa Tanzania

Hata mimi napinga Viti Maalum.Huna habari niligombea Kilombero mkafanya ubazazi wenu.Picha nitaweka,kwenye maandamano nitakwenda,kwenye mikutano nitakwenda na Bungeni nitashiriki.Hakuna Kulala Mpaka kieleweke...
 
Wewe weka tu hiyo si ndio kazi yako pamoja na maandamano kila kukicha wewe kiguu na njia, katiba mpya inakuja kaa ukijua hakuna tena viti maalam mnakula tu pesa za walipa kodi wa Tanzania
Hujui unachokisema wewe mvivu wa kufikiri kaa kimya. kwanza nyie magamba hamtaki katiba mpya. Nguvu ya umma ndo inawalazimisha tu.
 
Mbunge wetu Regia,ebu tupe picha,achana na hao wanaokupinga.
 
Ccm watachonga sana chadema na harakati za ukombozi kwa kwenda mbele. Wao wakiponda maandamano hata kwa kuwatumia akina mrema sisi tunasonga mbele mwendo mdundo.
Unaleta Kitchen Party, kwenye mambo ya msingi
 
Wewe weka tu hiyo si ndio kazi yako pamoja na maandamano kila kukicha wewe kiguu na njia, katiba mpya inakuja kaa ukijua hakuna tena viti maalam mnakula tu pesa za walipa kodi wa Tanzania
Acha kuwa nafikra mgando,siku zenu zinahesabika,hamtaiba tena kodi za wananchi wa Tanzania,baba zenu wamejawa na dhuruma ya wizi,hukumu ya MUNGU,ipo juu yenu na vizazi vyenu nyie mafisadi CCM.
 
Hata mimi napinga Viti Maalum.Huna habari niligombea Kilombero mkafanya ubazazi wenu.Picha nitaweka,kwenye maandamano nitakwenda,kwenye mikutano nitakwenda na Bungeni nitashiriki.Hakuna Kulala Mpaka kieleweke...
Kwanza maandamano yasiokuwa na tija kwa taifa! Arusha mmewaingiza wananchi barabarani wamepigwa risasi wamepoteza maisha yao wengine wamepata vilema vya maisha, eti mnadai haki, leo kikowapi? Mmefunga ndoa na CCM, wamewaoa wamewapa CDM unaibu meya mpokezane na TLP, kumbe hamna lolote uchu wa madaraka tu, na ile CD ya Lema ya mauaji ya Arusha mlisema mtapelekea OCAMPO ICC, imeishia wapi?
 
Speaker heshima mbele. Naona masilahi ya kisiasa nayo yako mbele kwako? Wewe wakati unasoma ulikuwa uletewa vituko vya kisiasa kama hivi?

Tatizo lenu mababu ni kutaka kila kitu kiwe kama mlivokua enzi zenu,..
sijui mnadhani mlikua sahihi sana au mlikua mmelala enzi hizo?

Mkuu we ichukue tu,ndicho kizazi cha sasa mtoto wa miaka 10 yuko miaka 15 mbele
kwa matendo
 
changanya elimu na siasa unatoka sifuri kichwani.

chadema waacheni vijana wasome shule. ni uchuro wanafunzi kuwa wanachama wa vyama vya siasa.

chuoni mahali pa kusoma siasa za dunia ukomunist ujamaa ubepari bourgeoisie class struggle sio umagamba au umagwanda.

Political science inafundishwa kwa ajili ya nini?
 
changanya elimu na siasa unatoka sifuri kichwani.chadema waacheni vijana wasome shule. ni uchuro wanafunzi kuwa wanachama wa vyama vya siasa.chuoni mahali pa kusoma siasa za dunia ukomunist ujamaa ubepari bourgeoisie class struggle sio umagamba au umagwanda.
Ngeleja hajachanganya elim na siasa lkn angalia alivo kichwani, ni hasi kabisa! Yaan bellow sifuri.
 
changanya elimu na siasa unatoka sifuri kichwani.

chadema waacheni vijana wasome shule. ni uchuro wanafunzi kuwa wanachama wa vyama vya siasa.

chuoni mahali pa kusoma siasa za dunia ukomunist ujamaa ubepari bourgeoisie class struggle sio umagamba au umagwanda.

Ukimsikia mtu anasema 'usichanganye siasa ni hili, usichanganye siasa na lile' basi ujue moja - kafilisika mbinu za mapambo na hivyo inabidi ajisiti ri nyuma ya pazia la 'kutochanganya. Siasa inaathiri elimu, siasa inagusa income, siasa inamuua hatma ya huduma za jamii zikiwemo maji na afya. Kwa kifupi siasa is life. Sasa utatenganishaje siasa?
 
changanya elimu na siasa unatoka sifuri kichwani.

chadema waacheni vijana wasome shule. ni uchuro wanafunzi kuwa wanachama wa vyama vya siasa.

chuoni mahali pa kusoma siasa za dunia ukomunist ujamaa ubepari bourgeoisie class struggle sio umagamba au umagwanda.

Chadema leo walikuwa unasema , lakini juzi walikuwa huko MACCM mbona hukulia lia na kusema wawache wasome ? Masikini wewe na akili zako tupu mh pole sana .Unaona upande mmoja .Chadema wanamalizia baada ya CCM kuingia huko huko .
 
Kaka ni kweli Kabisa ila asante sana kwa mambo haya na pia Mungu awasaidie kwa kila kitu
 
Hata mimi napinga Viti Maalum.Huna habari niligombea Kilombero mkafanya ubazazi wenu.Picha nitaweka,kwenye maandamano nitakwenda,kwenye mikutano nitakwenda na Bungeni nitashiriki.Hakuna Kulala Mpaka kieleweke...
Nakuunga mkono Regy huyo Jamaa wa Magamba aliyechakachua Matokeo pa1 nakuchakachua kashindwa kuwapigania watu wa Kilombero binafsi simfahamu hata jina,Watu tunaona unavyowapigania Watu wako wa Kilombero nakumbuka issue ya Kodi ya Mazao Kule Kilombero ulivyo watetea,Mchango wako Bungeni unasomeka vyema,Kuna siku nilitaka kukupa Big up juu ya Maudhirio yako Bungeni wabunge wengi niwatoro unaangalia unaona viti viko empty ila kwenye kiti chako sijawahi kukumiss hata siku moja So Big up kwa kazi nzuri hawa Magamba wasikukatishe tamaa wenye macho tunaona na impact zake tutaziona soon.
 
Rudi nyumbani tusaidiane kuwatoa,USIJITENGE NASI!

Quadrat ndugu yangu usawa wenyewe wa kulenga kwa manati halafu nilivyo na hasira naweza kuandamana pekee yangu mpaka Ikulu nikaishia mikononi mwa wanainteragency chachu imeanza sisi tutachangia kwa mawazo.
 
changanya elimu na siasa unatoka sifuri kichwani.chadema waacheni vijana wasome shule. ni uchuro wanafunzi kuwa wanachama wa vyama vya siasa.chuoni mahali pa kusoma siasa za dunia ukomunist ujamaa ubepari bourgeoisie class struggle sio umagamba au umagwanda.
Kwa watu vichwa kama wengi wa CDM walivyo, wanaweza kuchanganya Siasa na vingine vyovyote tu na mambo yakaenda.But kwa vilaza wenzako ''gamba-type'' ndo hata hiyo siasa peke yake hawaiwezi, hivyo washauri wasichanganye na vingine
 
Quadrat ndugu yangu usawa wenyewe wa kulenga kwa manati halafu nilivyo na hasira naweza kuandamana pekee yangu mpaka Ikulu nikaishia mikononi mwa wanainteragency chachu imeanza sisi tutachangia kwa mawazo.
yaani ukiona magamba wanalia hivi kuhusu maandamano ya chadema na mikutano yetu vyuoni ujue wameshikwa pabaya.Chadema kazeni buti mara kumi.juzi tumefanya maandamano shinyanga malaki ya watu walihudhuria manispaa ilitingishika,walikuwepo viongozi wa mkoa tu.Go chadema go.....
 
Kwanza maandamano yasiokuwa na tija kwa taifa! Arusha mmewaingiza wananchi barabarani wamepigwa risasi wamepoteza maisha yao wengine wamepata vilema vya maisha, eti mnadai haki, leo kikowapi? Mmefunga ndoa na CCM, wamewaoa wamewapa CDM unaibu meya mpokezane na TLP, kumbe hamna lolote uchu wa madaraka tu, na ile CD ya Lema ya mauaji ya Arusha mlisema mtapelekea OCAMPO ICC, imeishia wapi?
Watu kama Ritz1,sokomoko, MS,kishongo na wengine mimi nawapenda sana kwani jinsi wanavyokuwa anti Chadema wanachangia watu kuielewa zaidi chadema .hongereni kwa kazi nzuri ya kuipamba chadema na nawatakia kazi njema. Kazi mnayoifanya inatusaidia sana
 
Back
Top Bottom