Tundu Lissu, Mtema ndani ya UDOM

Tundu Lissu, Mtema ndani ya UDOM

Lissu anaongea: anasema ataongea juu ya majukumu ya vijana na ukombozi. Anatoa mfano wa Mao (China) kama kiongozi wa mapambano ya ukombozi. Countries want independence, Nations want liberation, people want revolution.
 
Imekuaje tena mwanzo wamehamasisha siasa kwa sana! leo acheni siasa someni kwa bidii!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1 hopeless politicians!
 
Lissu: Taifa linahitaji national liberation kumiliki maliasili zetu. NMB, NBC,Migodi, inaonekana kama ya w/tz lakini wamiliki halisi ni wageni. Viongozi wetu wamegeuka vibarakb wa wazungu. Hata samaki walio eneo la bahari ya Hindi sasa wanamilikiwa na kuvuliwa na wazungu.
 
Linco ukitanguliza umasikini kwenye harakati kamwe hutakujafanikiwa refer to syria&yemen any time ni revolution.
 
Wajibu wa vijana ktk mapambano ya ukombozi: mjue adui pamoja na washirika wake. Elewa jinsi tunavyonyonywa, "look beyond what can be seen by a naked eye". Jukumu la pili ni kujitoa. Vijana ndio huenda vitani na kubeba jukumu kubwa zaidi.
 
Jukumu la tatu ni kuyaishi mapinduzi. Kwa ujumla anaongelea mchango wa Fidel Castro na Che G uavara ktk mapambano ya ukombozi, kudai haki bila kuchoka siku zote.
 
Jukumu la tatu ni kuyaishi mapinduzi. Kwa ujumla anaongelea mchango wa Fidel Castro na Che G uavara ktk mapambano ya ukombozi, kudai haki bila kuchoka siku zote.



Vijana... Vijana.... Asanteni sana kama wanavyuo mtakuwa na mwamko wa namna hii taifa hili litafika tu! LISU I SALUTE YOU BRO! mwendo huohuo hakuna kulala

thanks kwa kutuhabarisha maana sisi tulio nje ya nchi tunapata taabu sana kuwasiliana na familia zetu... kisa umeme hakuna wameshindwa kuchaji simu!!!!! WATOENI HAO WALAFI...
 
The youth must provide the leadership in liberation struggle-ndivyo anamalizia Tundu Lissu.
 
Vijana... Vijana.... Asanteni sana kama wanavyuo mtakuwa na mwamko wa namna hii taifa hili litafika tu! LISU I SALUTE YOU BRO! mwendo huohuo hakuna kulalathanks kwa kutuhabarisha maana sisi tulio nje ya nchi tunapata taabu sana kuwasiliana na familia zetu... kisa umeme hakuna wameshindwa kuchaji simu!!!!! WATOENI HAO WALAFI...
Rudi nyumbani tusaidiane kuwatoa,USIJITENGE NASI!
 
Walishamaliza mitihani hawa wanafunzi? Umasikini+ Shule+Siasa=Kutangatanga. Waacheni vijana wasome kwanza?

Acha uzoba,kama ulibahatika kusoma ulikua unasoma mda wote wewe?
au hata shule hujui ni nini?
nyie ndo mnasoma kujibu mtihani tu na ukimaliza shule ulichosomea
huwezi kukifanyia kazi maana huna past paper huko mtaani
 
Jukumu la tatu ni kuyaishi mapinduzi. Kwa ujumla anaongelea mchango wa Fidel Castro na Che G uavara ktk mapambano ya ukombozi, kudai haki bila kuchoka siku zote.
 
Wajibu wa vijana ktk mapambano ya ukombozi: mjue adui pamoja na washirika wake. Elewa jinsi tunavyonyonywa, "look beyond what can be seen by a naked eye". Jukumu la pili ni kujitoa. Vijana ndio huenda vitani na kubeba jukumu kubwa zaidi.
 
Acha uzoba,kama ulibahatika kusoma ulikua unasoma mda wote wewe?
au hata shule hujui ni nini?
nyie ndo mnasoma kujibu mtihani tu na ukimaliza shule ulichosomea
huwezi kukifanyia kazi maana huna past paper huko mtaani

Speaker heshima mbele. Naona masilahi ya kisiasa nayo yako mbele kwako? Wewe wakati unasoma ulikuwa uletewa vituko vya kisiasa kama hivi?
 
changanya elimu na siasa unatoka sifuri kichwani.

chadema waacheni vijana wasome shule. ni uchuro wanafunzi kuwa wanachama wa vyama vya siasa.

chuoni mahali pa kusoma siasa za dunia ukomunist ujamaa ubepari bourgeoisie class struggle sio umagamba au umagwanda.
 
Walishamaliza mitihani hawa wanafunzi? Umasikini+ Shule+Siasa=Kutangatanga. Waacheni vijana wasome kwanza?

shule bila siasa haiendi bwana mdogo. siasa ndiyo huamua mfumo wa elimu uisemayo uweje, hivyo ni muhimu kujua siasa inakwendaje na kuweza kuwashauli wanasiasa kama wasomi. sawa bwana mdogo???????.
 
changanya elimu na siasa unatoka sifuri kichwani.

chadema waacheni vijana wasome shule. ni uchuro wanafunzi kuwa wanachama wa vyama vya siasa.

chuoni mahali pa kusoma siasa za dunia ukomunist ujamaa ubepari bourgeoisie class struggle sio umagamba au umagwanda.
Sio kweli usiwadanganye watu,kama wewe umelidhika na maisha ya kwenu masaki wakati watoto wa wakulima wanateseka kaa kimya wasiliana na mdogo wako aliyeko marekani anayesoma kwa wizi wa kodi za watanzania,shule hujasoma peke yako tumesoma na tumepata upper second za law UDSM na sasa tumepata uwakili na siasa tulikuwa tukishiriki na haki zetu zilipovunjwa tuliweka migomo hadi kurudishwa nyumbani but still tuliperform vizuri sana,na vilele political science inafundishwa vyuoni ya nini kama hutaki mtu afanye siasa,kiongozi wa nchi ni nani pamoja na viongozi wengine,katiba yanini imeletwa kwa wananchi wachangie,kwa hiyo juwa siasa ni part ya maisha ya mwanadamu,BE SMART MY FRIEND,OUR FUTURE IS STLL IN OUR HANDS,AND KNOW THAT CCM THEY HAVE KILL OUR PAST AND THEIR NOW BUSY DESTROYING OUR FUTURE,BUT WE TRUST FREEDOM IS COMING.
 
changanya elimu na siasa unatoka sifuri kichwani.chadema waacheni vijana wasome shule. ni uchuro wanafunzi kuwa wanachama wa vyama vya siasa.chuoni mahali pa kusoma siasa za dunia ukomunist ujamaa ubepari bourgeoisie class struggle sio umagamba au umagwanda.
hujui uandikalo siasa ndo inaamua mfumo wa elimu ktk nchi ,nenda W.elimu wakuambie jinsi siasa ilivyo na athari ktk elimu ya taifa
 
siasa na shule ni kitu kimoja. huwezi kutenganisha vitu hivi. shuleni wanafunzi hujifunza siasa kupitia somo la civics. hivyo sijambo la kushangaza kwa udom kwenda kusikiliza siasa. sawa dogo?
 
changanya elimu na siasa unatoka sifuri kichwani.chadema waacheni vijana wasome shule. ni uchuro wanafunzi kuwa wanachama wa vyama vya siasa.chuoni mahali pa kusoma siasa za dunia ukomunist ujamaa ubepari bourgeoisie class struggle sio umagamba au umagwanda.
somo la siasa sijuwi kama lilisha tolewa mashuleni
 
Back
Top Bottom