Jasho la Damu
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 956
- 120
Nilishaandika sana hapa jamvini juu ya Muafaka wa Arusha Cdm walichemsha na mpaka leo hatukusikia tamko lolote kutoka kwa kiongozi yeyote wa juu ndani CDM hali kadhalika kulikuwa na mazungumzo ya siri kati ya Mbowe na Pinda yaliyopelekea muafaka. Cdm kama hamna majibu ya kuridhisha juu ya hili wananchi hatutawaamini tena.