Tindo
Platinum Member
- Sep 28, 2011
- 69,594
- 123,098
Uzuri siandiki uchochezi, chuki na fitina. Ninaandika kwa faida ya wote wenye mahitaji kwenye tasnia
Sema ulichoandika. Sana sana utakuwa umeandika mambo ya kujipendekeza.
Uzuri siandiki uchochezi, chuki na fitina. Ninaandika kwa faida ya wote wenye mahitaji kwenye tasnia
Hili jamaa ni ngeseMwanamke gani we unakua na roho ya kipaka hivyo
Impotent mind unawezakuandika nn wew.Labda mipasho ya kusifia tuUzuri siandiki uchochezi, chuki na fitina. Ninaandika kwa faida ya wote wenye mahitaji kwenye tasnia
Ni kweli KamandaMkuu wangu Molemo Hata kiuzwe bei gani kinanunulika tu
Hujitambui pole sanaKesha umizwa Huyo, mdomo umeponza kichwa, acha ajifariji na kitabu, ila akumbuke pia ngawira za Lowassa alizogawana na kina Mbowe zilivyomuharibia maisha Dr Slaa.
Malipo ni hapa duniani
Hata kitabu cha "Uongozi wetu na Hatma ya Tanzania" Mwl Nyerere, alienda kukichapia huko Zimbabwe (1995) na kilipo fika Tanzania pale airport Dar, nakala elfu 10 ziliisha ndani ya nusu Saa....Sidhani kama hicho kitabu kitakubaliwa kusambazwa hapa Tanzania.
Nakuonea huruma sanaUzuri siandiki uchochezi, chuki na fitina. Ninaandika kwa faida ya wote wenye mahitaji kwenye tasnia
Nakuonea huruma sanaUzuri siandiki uchochezi, chuki na fitina. Ninaandika kwa faida ya wote wenye mahitaji kwenye tasnia
Kila MTU mwenye akili timamu hakubali kufa kabla ya kuandika kitabuMwanasiasa mashuhuri zaidi Afrika Mashariki Tundu Antipas Lissu anajiandaa kuandika kitabu chake kitakachosambazwa duniani kote.
Lissu ambaye ni Rais wa chama cha Wanasheria Tanganyika TLS anatarajiwa kuelezea maisha yake kwa ujumla na hasa jaribio lililopangwa na kushindwa la kuondoa Uhai wake Septemba 7.
Kiongozi huyo ambaye pia ni Mwanasheria mkuu wa Chadema anatarajiwa katika kitabu hicho kueleza uvunjifu wa haki za binadamu na ukandamizaji wa Uhuru wa kutoa maoni.
Kiongozi huyo mwenye nyadhifa kadhaa ikiwemo mbunge wa Singida Mashariki na Mnadhimu mkuu wa upinzani alipatwa na madhila ya kupigwa risasi hadharani mchana kweupe huku mpaka leo ikiwa hakuna yeyote aliyekamatwa kuhusika na tukio hilo.
Kitabu hicho cha Tundu Lissu kinatarajiwa kutafsiriwa kwa lugha kadhaa ili iwe rahisi kusambazwa duniani kote na kiwafikie watu wengi zaidi.
Hata kitabu cha "Uongozi wetu na Hatma ya Tanzania" Mwl Nyerere, alienda kukichapia huko Zimbabwe (1995) na kilipo fika Tanzania pale airport Dar, nakala elfu 10 ziliisha ndani ya nusu Saa....
Lissu anaweza kukichapa nchi yoyote ile Duniani na kikafika hapa TZ na kuuzwa kwa wahitaji..... japo kitapigwa marufuku na wahusika chini ya vitisho vya Sirro-IGP, lakini kitauzwa!!!!
Binafsi ni lazima nipate nakala yangu kwa bei yoyote ile.....
Naomba nakala 100 za mwanzo bila kujali bei yake .Mkuu wangu Molemo Hata kiuzwe bei gani kinanunulika tu
Elewa mada kabla ya kuchangiaLabda aandike kuhusu maisha yake binafi. Lakini kwenye Tasnia ya Sheria hawezi, sijawahi ona andiko la Lissu zaidi ya vijarida alivyoshirikishwa na wenye uwezo wao. Hata mini ninamshinda.
Ila kusema kitasambazwa/kununuliwa kote duniani mmmmm. Tanzania inatosha; na ndiyo iwe target kiandikwe kwa KiswahiliMwanasiasa mashuhuri zaidi Afrika Mashariki Tundu Antipas Lissu anajiandaa kuandika kitabu chake kitakachosambazwa duniani kote.
Lissu ambaye ni Rais wa chama cha Wanasheria Tanganyika TLS anatarajiwa kuelezea maisha yake kwa ujumla na hasa jaribio lililopangwa na kushindwa la kuondoa Uhai wake Septemba 7.
Kiongozi huyo ambaye pia ni Mwanasheria mkuu wa Chadema anatarajiwa katika kitabu hicho kueleza uvunjifu wa haki za binadamu na ukandamizaji wa Uhuru wa kutoa maoni.
Kiongozi huyo mwenye nyadhifa kadhaa ikiwemo mbunge wa Singida Mashariki na Mnadhimu mkuu wa upinzani alipatwa na madhila ya kupigwa risasi hadharani mchana kweupe huku mpaka leo ikiwa hakuna yeyote aliyekamatwa kuhusika na tukio hilo.
Kitabu hicho cha Tundu Lissu kinatarajiwa kutafsiriwa kwa lugha kadhaa ili iwe rahisi kusambazwa duniani kote na kiwafikie watu wengi zaidi.
Hata mimi naliona hilo, sema kama kitakuwa kwa soko la kimataifa tutakinunua nje.Sidhani kama hicho kitabu kitakubaliwa kusambazwa hapa Tanzania.