Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,575
- 12,368
Baba Bashite hataruhusu kiuzwe
Kwasababu bwana ya mama ndio kafanya hivyoKesha umizwa Huyo, mdomo umeponza kichwa, acha ajifariji na kitabu, ila akumbuke pia ngawira za Lowassa alizogawana na kina Mbowe zilivyomuharibia maisha Dr Slaa.
Malipo ni hapa duniani
Hainikatishi tamaa kuwa na mtizamo tofauti nanyiKwasababu bwana ya mama ndio kafanya hivyo
Swissme
Kujigamba kote huko unaweza ukute unaandika vitabu vya mapenzi.Uzuri siandiki uchochezi, chuki na fitina. Ninaandika kwa faida ya wote wenye mahitaji kwenye tasnia
Kuandika katibu kuna taratibu zake, mlengwa mkuu ni publisher si mwandishi. Ukijaza matusi kitakosa soko na publisher atakikataa. Ukijaza uongo au hisia publisher atashitakiwa kwa uchochezi au kukashifu watu; hatokubali. Kitabu huuzwa na publisher na ni mali ya publisher, matusi hayatasaidia. Kama CHADEMA wanataka kuandika kitabu cha matusi kujifurahisha nafsi zao, iyabidi publisher akubali kula hasara, hatokubali.Mwanasiasa mashuhuri zaidi Afrika Mashariki Tundu Antipas Lissu anajiandaa kuandika kitabu chake kitakachosambazwa duniani kote.
Lissu ambaye ni Rais wa chama cha Wanasheria Tanganyika TLS anatarajiwa kuelezea maisha yake kwa ujumla na hasa jaribio lililopangwa na kushindwa la kuondoa Uhai wake Septemba 7.
Kiongozi huyo ambaye pia ni Mwanasheria mkuu wa Chadema anatarajiwa katika kitabu hicho kueleza uvunjifu wa haki za binadamu na ukandamizaji wa Uhuru wa kutoa maoni.
Kiongozi huyo mwenye nyadhifa kadhaa ikiwemo mbunge wa Singida Mashariki na Mnadhimu mkuu wa upinzani alipatwa na madhila ya kupigwa risasi hadharani mchana kweupe huku mpaka leo ikiwa hakuna yeyote aliyekamatwa kuhusika na tukio hilo.
Kitabu hicho cha Tundu Lissu kinatarajiwa kutafsiriwa kwa lugha kadhaa ili iwe rahisi kusambazwa duniani kote na kiwafikie watu wengi zaidi.
Tena hii habari itafanya ofisi zisikalike Magogoni kwa hofu!Bwana fulani atatamani kisiuzwe hapa nchini.
Kitabu sio wimbo, hata wakifungia kitasambazwa tuu, wakibana ndani kitaenda njeKitafungiwa sababu za uchochezi. Akitaka kiuze mhariri mkuu awe ndugu Haraka Haraka wa Lumumba.
Unamshinda? Acha viroja weye! Hebu badili id uweke verified name halafu uone kitakachokupata. Hakuna jiwe litakaloachwa kugeuzwa kwa kupekuliwa na wanaokufahamu. Na ndipo utakapomaizi, weye una uzito gani!Labda aandike kuhusu maisha yake binafi. Lakini kwenye Tasnia ya Sheria hawezi, sijawahi ona andiko la Lissu zaidi ya vijarida alivyoshirikishwa na wenye uwezo wao. Hata mini ninamshinda.
Tutasambaza hata kikibaniwa, lazima kisambae na tutakipata tuuSidhani kama hicho kitabu kitakubaliwa kusambazwa hapa Tanzania.
ExactlyHapo atakuwa amefanya kitu cha maana sana. na tanzania inabidi ifahamike kimaandishi kwamba ni nchi ya namna gani.
ExactlyHapo atakuwa amefanya kitu cha maana sana. na tanzania inabidi ifahamike kimaandishi kwamba ni nchi ya namna gani.
Watu wachache wanasoma vitabu Sikh hizi! Mwambie abuni njia nyingine ya kufikisha ujumbe huo. Na pia dunia nyingine haina interest na matatizo ya waafrika. Pia kama kitakuwa na chembe za uchochezi, kitapigwa marufuku Tanzania na nchi rafiki wetu.Mwanasiasa mashuhuri zaidi Afrika Mashariki Tundu Antipas Lissu anajiandaa kuandika kitabu chake kitakachosambazwa duniani kote.
Lissu ambaye ni Rais wa chama cha Wanasheria Tanganyika TLS anatarajiwa kuelezea maisha yake kwa ujumla na hasa jaribio lililopangwa na kushindwa la kuondoa Uhai wake Septemba 7.
Kiongozi huyo ambaye pia ni Mwanasheria mkuu wa Chadema anatarajiwa katika kitabu hicho kueleza uvunjifu wa haki za binadamu na ukandamizaji wa Uhuru wa kutoa maoni.
Kiongozi huyo mwenye nyadhifa kadhaa ikiwemo mbunge wa Singida Mashariki na Mnadhimu mkuu wa upinzani alipatwa na madhila ya kupigwa risasi hadharani mchana kweupe huku mpaka leo ikiwa hakuna yeyote aliyekamatwa kuhusika na tukio hilo.
Kitabu hicho cha Tundu Lissu kinatarajiwa kutafsiriwa kwa lugha kadhaa ili iwe rahisi kusambazwa duniani kote na kiwafikie watu wengi zaidi.
Acha mawazo ya kukwama kabla ya kutenda.Watu wachache wanasoma vitabu Sikh hizi! Mwambie abuni njia nyingine ya kufikisha ujumbe huo. Na pia dunia nyingine haina interest na matatizo ya waafrika. Pia kama kitakuwa na chembe za uchochezi, kitapigwa marufuku Tanzania na nchi rafiki wetu.
Ndio nani huyo??Mwanasiasa mashuhuri zaidi Afrika Mashariki Tundu Antipas Lissu anajiandaa kuandika kitabu chake kitakachosambazwa duniani kote.
Lissu ambaye ni Rais wa chama cha Wanasheria Tanganyika TLS anatarajiwa kuelezea maisha yake kwa ujumla na hasa jaribio lililopangwa na kushindwa la kuondoa Uhai wake Septemba 7.
Kiongozi huyo ambaye pia ni Mwanasheria mkuu wa Chadema anatarajiwa katika kitabu hicho kueleza uvunjifu wa haki za binadamu na ukandamizaji wa Uhuru wa kutoa maoni.
Kiongozi huyo mwenye nyadhifa kadhaa ikiwemo mbunge wa Singida Mashariki na Mnadhimu mkuu wa upinzani alipatwa na madhila ya kupigwa risasi hadharani mchana kweupe huku mpaka leo ikiwa hakuna yeyote aliyekamatwa kuhusika na tukio hilo.
Kitabu hicho cha Tundu Lissu kinatarajiwa kutafsiriwa kwa lugha kadhaa ili iwe rahisi kusambazwa duniani kote na kiwafikie watu wengi zaidi.