Tundu Lissu mbioni kutoa kitabu

Tundu Lissu mbioni kutoa kitabu

Uzuri siandiki uchochezi, chuki na fitina. Ninaandika kwa faida ya wote wenye mahitaji kwenye tasnia

Nay, maandiko ya kupongeza, kutetea, kusifu na kutukuza. Kila mmoja wetu anayo haki ya kikatiba kufanya apendavyo ili mradi havunji sheria za nchi. Mahakama zipo kwa ajili hiyo. Methinks kwa hatua hii ya demokrasia tuliyofikia, kamwe haitawekana watu kuwa na mawazo yaliyofanana; mwenye kudhani tunahitaji hali hiyo ili kupata maendeleo ya haraka zaidi kwa hakika anayo matatizo makubwa sana ya kisaikolojia.
 
Natamani kiwe kimetoka, naomba nifahamishwe kama naweza kulipia in advance
 
Thamani ya Kitabu cha Lissu hata ikiwa zaidi kwa ya $2,000 kitapata soko kubwa duniani maana ni zaidi ya vivutio tulivyobarikiwa Tanzania. Ni cha muhimu pia kwa vizazi vyetu.

Yule mtoto alijibu kwenye mtihani wake wa National Kati ya hazing Tatu za Tanzania mojawapo alijibu Tundu Lissu... Na shauri pia aingizwe kwenye hicho Kitabu maana alikuwa na maono
 
Kesha umizwa Huyo, mdomo umeponza kichwa, acha ajifariji na kitabu, ila akumbuke pia ngawira za Lowassa alizogawana na kina Mbowe zilivyomuharibia maisha Dr Slaa.

Malipo ni hapa duniani
Mbwa jike wewe!!
 
Hi i
Mwanasiasa mashuhuri zaidi Afrika Mashariki Tundu Antipas Lissu anajiandaa kuandika kitabu chake kitakachosambazwa duniani kote.

Lissu ambaye ni Rais wa chama cha Wanasheria Tanganyika TLS anatarajiwa kuelezea maisha yake kwa ujumla na hasa jaribio lililopangwa na kushindwa la kuondoa Uhai wake Septemba 7.

Kiongozi huyo ambaye pia ni Mwanasheria mkuu wa Chadema anatarajiwa katika kitabu hicho kueleza uvunjifu wa haki za binadamu na ukandamizaji wa Uhuru wa kutoa maoni.

Kiongozi huyo mwenye nyadhifa kadhaa ikiwemo mbunge wa Singida Mashariki na Mnadhimu mkuu wa upinzani alipatwa na madhila ya kupigwa risasi hadharani mchana kweupe huku mpaka leo ikiwa hakuna yeyote aliyekamatwa kuhusika na tukio hilo.

Kitabu hicho cha Tundu Lissu kinatarajiwa kutafsiriwa kwa lugha kadhaa ili iwe rahisi kusambazwa duniani kote na kiwafikie watu wengi zaidi.
Hivi Mmoja wa wasomi wakubwa nchi hii, na duniani kwa ujumla, Mtukufu DR.John Pombe Joseph Magufuli, Rais wa Marais Afrika na Dunia, anaweza kuandika kitabu? au amewahi kuandika?
 
Kitafungiwa sababu za uchochezi. Akitaka kiuze mhariri mkuu awe ndugu Haraka Haraka wa Lumumba.
Karne kufungia kitabu ni uchizi mkubwa. Watu watapata hata PDF mitandaoni. Kufungia kunaongeza hamasa ya kukitafuta na kusoma
 
Kuandika katibu kuna taratibu zake, mlengwa mkuu ni publisher si mwandishi. Ukijaza matusi kitakosa soko na publisher atakikataa. Ukijaza uongo au hisia publisher atashitakiwa kwa uchochezi au kukashifu watu; hatokubali. Kitabu huuzwa na publisher na ni mali ya publisher, matusi hayatasaidia. Kama CHADEMA wanataka kuandika kitabu cha matusi kujifurahisha nafsi zao, iyabidi publisher akubali kula hasara, hatokubali.
Una akili kweli wewe ndugu? Unajua maana ya matusi au unajisemea tu? Lissu anaweza kupoteza muda wake aandike matusi? Atakuwa anamtusi nani labda? Wazazi wake ama ndugu zake?
 
Karne kufungia kitabu ni uchizi mkubwa. Watu watapata hata PDF mitandaoni. Kufungia kunaongeza hamasa ya kukitafuta na kusoma
Asante sana umewajibu vyema.Wala hakitachapwa hapa nchini kwa Taarifa chache walau nilizo nazo
 
Mbwa jike wewe!!
Vumilieni moani ya wengine
Mimi nikianza kama Wewe, utajificha uvunguni, na mwisho watanipiga ban, huko sitaki tena, nmechoka kupigwa ban, nakuacha kama ulivyo
 
Siwezi nunua kitabu cha mtu unpatriotic. Siwezi nunua kitabu cha mtu Wa ndimi mbili.
Lowasa fisadi, na kugeuka kuja kumtetea eti sio fisadi.
Siwezi nunua wala kumshauri mtu kununua kitabu cha mnafiki.
 
Uzuri siandiki uchochezi, chuki na fitina. Ninaandika kwa faida ya wote wenye mahitaji kwenye tasnia

Kapuku wewe umewahi kuandika nini?! Mbona hukuwai kusema umeandika chochote hadi uliposikia TL anatoa kitabu?? Usidhani kila mtu ni shoga kama ******
 
Siwezi nunua kitabu cha mtu unpatriotic. Siwezi nunua kitabu cha mtu Wa ndimi mbili.
Lowasa fisadi, na kugeuka kuja kumtetea eti sio fisadi.
Siwezi nunua wala kumshauri mtu kununua kitabu cha mnafiki.
Kujenga airport chato ndo patriotism? We kabinti sijui kichwani ukoje
 
Labda aandike kuhusu maisha yake binafi. Lakini kwenye Tasnia ya Sheria hawezi, sijawahi ona andiko la Lissu zaidi ya vijarida alivyoshirikishwa na wenye uwezo wao. Hata mini ninamshinda.
Una wivu wa kike!!
 
Nakisubiri kwa hamu sana hicho kitabu. Nitakinunua kwa gharama yoyote
 
Kujenga airport chato ndo patriotism? We kabinti sijui kichwani ukoje
Mimi dume la mbegu na sitaki mashoga. Twende kwenye hoja.
Chato wanaishi wana wa nchi gani. Kwanini dar kuwe na airport isiwepo chato, kwanini iwepo kilimanjaro, songwe, isiwepo chato, kwanini bandari kubwa iwepo Bagamoyo karibu na ya dar, chato kusijengwe airport.
Acheni wivu na kasumba manyumbu.
Kitabu cha Lisu sitakisoma wala kushauri mtu kukisoma.
 
Back
Top Bottom