Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,984
- 221,533
Huna ujualo, Mtu mliyemtandika risasi zaidi ya 40 mkamvua Ubunge na kumnyima stahili zake ndio umtamkie huo utopolo! utakuwa ama huna akili au umelogwaWajinga ni wale wanaojiita wapinzani huku Maisha yao yanaendeshwa kwa Ruzuku ya Serikali ya CCM!
Hata Harrison alipata misukosuko na yule pale anadundaHuna ujualo, Mtu mliyemtandika risasi zaidi ya 40 mkamvua Ubunge na kumnyima stahili zake ndio umtamkie huo utopolo! utakuwa ama huna akili au umelogwa
Katoka kuwa mwanasiasa na mwanasheria mpaka kuwa mchochezi."Ni kheri Slaa ashinde Urais kuliko Tundu Lissu kuingia bungeni"
Mzee Wa Msoga.
Tundu Aeleze Jamii Sera za Chama Chake!Go! Go! Go! Go Lissu!
Sauti ya Lissu ni sauti ya MUNGU.
Hawakutarajia kama wamasai watapata msemaji na mpaza sauti.
Tunasema Sasa basi imetosha.
Haupo kwenye kusema mitano tena?Dhaaaaa sema kama kuna kiongoz alie onea wananchi WA walalahoi na wasio jiweza bas n huyu awaamu ya 6
Sio poah kabisa mwanamke katili Sana
Sasa kama wamelipwa compensation kuna shida?Ameandika Tundu Lissu kwenye Mtandao wa X
Serikali ya SSH leo imevunja makazi ya Wamasai wa Sanya Station, karibu & airport ya KIA. Lengo ni kukabidhi eneo lao kwa kampuni ya Oman Airports ya Oman. Kauza bandari & misitu yetu; anafukuza Wamasai Ngorongoro; sasa anagawa & viwanja vya ndege. Bado mnasema 'Kazi Iendelee'?
View attachment 2983748
Uchochezi si kosa la jinai hapa Tanzania? Kwa hiyo mchochezi anaachwa tu azurule mtaani? Unaamanisha mamlaka za Tanzania ni dhaifu?Katoka kuwa mwanasiasa na mwanasheria mpaka kuwa mchochezi.
Mwanasiasa kweli hata akiona kasoro sehemu basi haropoki kama yeye.
Tulikuonea huruma sana ulipochakazwa risasi wakati wa Magufuli lakini huenda tukafika pahala tukasema ilikuwa hukumu ya mdomo wako.
Kawa Kigogo sasa πNa wengine ndio wanamvujishia haya yote
Mbona wewe chawa sugu ndiyo kibaraka Og?!mwelezeni kibaraka akaripoti kwa mabwenyenye aliowaahidi migodi ya madini akipata uongozi kwamba haiwezekani π
Edward Lowassa alikuwa Kigogo mmasai na hakuwahi kuwa na uchungu kwa wamasai waliotoroka umasaini na kuanza kujifanyia makazi popote pale.Serikali ya SSH leo imevunja makazi ya Wamasai
mwelezeni tu ukweli huyo kibaraka πMbona wewe chawa sugu ndiyo kibaraka Og?!
Kwahyo sheikh bora tuwape waarabu au sio yakhe!?πmwelezeni kibaraka akaripoti kwa mabwenyenye aliowaahidi migodi ya madini akipata uongozi kwamba haiwezekani π
Kitanda usichokilalia hujui kunguni wake! Ungelijua na kuvaa viatu vya wenzetu jamii ya wamasai magumu na manyanyaso wanayopitia ungekaa kimya tu! By the way nenda kakojoe ukalale.Tundu Aeleze Jamii Sera za Chama Chake!
Yaani upinzani ni kuripoti vitu pety pety kama hivi?
Ongea Sera za Chama Chako kuhusu Bandari na Mambo mengine yanayohusu Uchumi na jinsi utakavyojitofautisha na Sera za CCM!
Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
Watanzania wana tunaLEVEL ndogo sana ya kufikiri!Kaka nnauhakiaka hujatoka nje ya mipaka ya Tanzania!!!Maana nnauhakika hata kama huna elimu basi kutembelea walau nchi moja au mbili zinazotuzunguka ungetanua wigo wa uelewa wako!Umeandika opKatoka kuwa mwanasiasa na mwanasheria mpaka kuwa mchochezi.
Mwanasiasa kweli hata akiona kasoro sehemu basi haropoki kama yeye.
Tulikuonea huruma sana ulipochakazwa risasi wakati wa Magufuli lakini huenda tukafika pahala tukasema ilikuwa hukumu ya mdomo wako.
huwez kumuelewa wew,watu mpaka wanajikusanya Dodoma kujaribu kupangua hoja unadhan ni mchezo ati!!!Dhulma mbaya watanzania wapate haki
Ila tundu lisu anavyotengeza hoja toka nianze kumjua kwa hili anavyozungumzia muungano juu ya Wamasai amepuyanga kishenzi
Kaamua kuleta fitna na tayari keshafunga virago arudi Belgium.Watanzania wana tunaLEVEL ndogo sana ya kufikiri!Kaka nnauhakiaka hujatoka nje ya mipaka ya Tanzania!!!Maana nnauhakika hata kama huna elimu basi kutembelea walau nchi moja au mbili zinazotuzunguka ungetanua wigo wa uelewa wako!Umeandika op