Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,513
- 220,212
Huna ujualo, Mtu mliyemtandika risasi zaidi ya 40 mkamvua Ubunge na kumnyima stahili zake ndio umtamkie huo utopolo! utakuwa ama huna akili au umelogwaWajinga ni wale wanaojiita wapinzani huku Maisha yao yanaendeshwa kwa Ruzuku ya Serikali ya CCM!