Hakika"Ni kheri Slaa ashinde Urais kuliko Tundu Lissu kuingia bungeni"
Mzee Wa Msoga.
Mwelezeni kibaraka akaripoti kwa mabwenyenye aliowaahidi migodi ya madini akipata uongozi kwamba haiwezekani 🐒Ameandika Tundu Lissu kwenye Mtandao wa X
Serikali ya SSH leo imevunja makazi ya Wamasai wa Sanya Station, karibu & airport ya KIA. Lengo ni kukabidhi eneo lao kwa kampuni ya Oman Airports ya Oman. Kauza bandari & misitu yetu; anafukuza Wamasai Ngorongoro; sasa anagawa & viwanja vya ndege. Bado mnasema 'Kazi Iendelee'?
View attachment 2983748
Tundu Lissu ni mtu muhimu sana hapa nchini. Usikute hata ndani ya CCM kuna watu hawafurahii yanayotendeka kipindi awamu hii ila hawana pakusemea. Hizi nondo za Lissu wanazifurahia kiaiana.Hakika
Huoni hapo ni Mbugani?Ameandika Tundu Lissu kwenye Mtandao wa X
Serikali ya SSH leo imevunja makazi ya Wamasai wa Sanya Station, karibu & airport ya KIA. Lengo ni kukabidhi eneo lao kwa kampuni ya Oman Airports ya Oman. Kauza bandari & misitu yetu; anafukuza Wamasai Ngorongoro; sasa anagawa & viwanja vya ndege. Bado mnasema 'Kazi Iendelee'?
View attachment 2983748
Na wengine ndio wanamvujishia haya yoteTundu Lissu ni mtu muhimu sana hapa nchini. Usikute hata ndani ya CCM kuna watu hawafurahii yanayotendeka kipindi awamu hii ila hawana pakusemea. Hizi nondo za Lissu wanazifurahia kiaiana.
Ni Yeye yuko Chama gani? 🐼Na wengine ndio wanamvujishia haya yote
Ole sendeka Ndio Msemaji wa MasaiGo! Go! Go! Go Lissu!
Sauti ya Lissu ni sauti ya MUNGU.
Hawakutarajia kama wamasai watapata msemaji na mpaza sauti.
Tunasema Sasa basi imetosha.
Kila ubaya utalipwaDhaaaaa sema kama kuna kiongoz alie onea wananchi WA walalahoi na wasio jiweza bas n huyu awaamu ya 6
Sio poah kabisa mwanamke katili Sana
Swali lako ni la kijingaNi Yeye yuko Chama gani? 🐼
Wajinga ni wale wanaojiita wapinzani huku Maisha yao yanaendeshwa kwa Ruzuku ya Serikali ya CCM!Swali lako ni la kijinga