Elections 2010 Tundu Lissu Kuwania Ubunge Singida Kusini - Mashariki

Shida kubwa ni utayari wa wana wa Singida kusini kuongozwa ama kuwakilishwa na intellectuals kama huyu Bwana; hata hivyo nina imanai naye na namuombea kwa Mungu
.

Masikini Jeuri, Singida naijua, nami nimetoa angalizo kama hili

Kifimbocheza, the guy is realy smart upstairs na amauweza wa kumiliki jukwaa ipasavyo. Jamaa ni kichwa mbaya tangu Ilboru na shria ndio mwake!.

Tatizo mimi ninaloliona ni moja tuu, awareness na misimamo ya watu wa Singida kuftokana na literacy level na poverty status.

Hili la awareness nililiona Busanda na Biharamulo, ambalo pia limekwenda sambamba na umasikini uliokithiri/topea, na hii ndio hali ya Singida. Mtu yuko tayari kuuza uhuru wake wote kwa kilo ya sukari, shibe ya pilau ya siku moja au t-shirt na kofia!.

Namuaminia Lissu ni strategist mzuri na hilo analijua, hivyo atajipanga vizuri na jimbo atalitwaa kiulaini kama kumsukuma mlevi!.
.

Nimekuwa nikisisitiza sana from from time to time, CCM inashinda maeneo mengi, sio tuu kutokana na weakness ya upinzani pekee, dis unity na lack of awareness, sasa hizi sehemu zenye njaa, watu wako tayari kuuza matumaini yao ya maendeleo kwa shibe ya siku moja!.

Kwa vile Lissu ni strategist, inatakiwa awareness campagn ya nchi nzima ili kuingiza wabunge wengi wa upinzani Bungeni.

Kwa mfano Mkoa wa Kilimanjaro una majimbo 9, CCM ni strong jimbo moja tuu la Rombo na majimbo mawili ya Upareni. Hivyo kama wapinzani wangeungana na kukubaliana kumsimamisha mpinzani mmoja mmoja kila jimbo, leo tungekuwa wabunge 6 wa upinzani Kilimanjaro, tamaa za wapinzani kusimamisha watu wao kila jimbo, imewafanya wakose yote na CCM kuibuka mshindi kwa kupata marginal.

Hili la kutangaza nia mapema ni zuri, kama kutatokea vyama vingine navyo eti kusimamisha wagombea wao kushindana na Lissu, huu utakuwa ni usaliti. Hii nngoma iachwe ichezwe kati ya Lissu na mgombea wa CCM!.
 
Unaugomvi naye? Mbowe na Makamba nani Kilaza!! bwa bwa bwa bwa bwah

Makamba might be worse but Mbowe is not serious either.. CHADEMA inatakiwa kuwa na kina Lissu 20 then watakuwa na capacity ya kuform government.. Mimi siongei kichama hapa, unaleta upuuzi wa ushabiki kama vile ni Simba na Yanga kumbe taifa, ndio shida ya Mitanzania, ushabiki na ndio mtakufa maskini.. Mimi sina shida so joke is on you.fooooooooooooL
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom