Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,583
.Shida kubwa ni utayari wa wana wa Singida kusini kuongozwa ama kuwakilishwa na intellectuals kama huyu Bwana; hata hivyo nina imanai naye na namuombea kwa Mungu
Masikini Jeuri, Singida naijua, nami nimetoa angalizo kama hili
.Kifimbocheza, the guy is realy smart upstairs na amauweza wa kumiliki jukwaa ipasavyo. Jamaa ni kichwa mbaya tangu Ilboru na shria ndio mwake!.
Tatizo mimi ninaloliona ni moja tuu, awareness na misimamo ya watu wa Singida kuftokana na literacy level na poverty status.
Hili la awareness nililiona Busanda na Biharamulo, ambalo pia limekwenda sambamba na umasikini uliokithiri/topea, na hii ndio hali ya Singida. Mtu yuko tayari kuuza uhuru wake wote kwa kilo ya sukari, shibe ya pilau ya siku moja au t-shirt na kofia!.
Namuaminia Lissu ni strategist mzuri na hilo analijua, hivyo atajipanga vizuri na jimbo atalitwaa kiulaini kama kumsukuma mlevi!.
Nimekuwa nikisisitiza sana from from time to time, CCM inashinda maeneo mengi, sio tuu kutokana na weakness ya upinzani pekee, dis unity na lack of awareness, sasa hizi sehemu zenye njaa, watu wako tayari kuuza matumaini yao ya maendeleo kwa shibe ya siku moja!.
Kwa vile Lissu ni strategist, inatakiwa awareness campagn ya nchi nzima ili kuingiza wabunge wengi wa upinzani Bungeni.
Kwa mfano Mkoa wa Kilimanjaro una majimbo 9, CCM ni strong jimbo moja tuu la Rombo na majimbo mawili ya Upareni. Hivyo kama wapinzani wangeungana na kukubaliana kumsimamisha mpinzani mmoja mmoja kila jimbo, leo tungekuwa wabunge 6 wa upinzani Kilimanjaro, tamaa za wapinzani kusimamisha watu wao kila jimbo, imewafanya wakose yote na CCM kuibuka mshindi kwa kupata marginal.
Hili la kutangaza nia mapema ni zuri, kama kutatokea vyama vingine navyo eti kusimamisha wagombea wao kushindana na Lissu, huu utakuwa ni usaliti. Hii nngoma iachwe ichezwe kati ya Lissu na mgombea wa CCM!.