Tundu Lissu kupelekwa Ubelgiji (makao makuu ya Jumuiya ya Ulaya) ni mkakati, ataongea na wafadhili wetu

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
11,996
20,647
Tundu Lissu amepata fursa ya kutibiwa Ubelgiji

Ubelgiji ni eneo wanalokutana mara kwa mara viongozi wakuu wa. mataifa ya ulaya kwa vikao mbalimbali kwa kuwa Brussels ni makao makuu ya jumuiya ya ulaya,jumuiya yenye nguvu kubwa ya kiuchumi na. mfadhili mkubwa wa nchi ya Tanzania

Ni katika mji huo ndipo fitna na mipango mbalimbali husukwa na kutekelezwa

Je Lissu atashindwa kuitumia fursa hiyo kuomba kutembelewa japo na Rais wa Jumuiya hiyo na kumpa mawili matatu kuhusu hali ya demokrasia na uhuru wa kisiasa Tanzania?

Lissu atashindwa hata kukutana na Spika wa Bunge la Ulaya? Tume ya haki za binadamu ya Ulaya? au hata wabunge mbalimballi kutoka nchi za jumuiya hiyo ili awape ujumbe wakajenge hoja katika mabunge yao ili Tanzania imulikwe kimataifa na hata ikibidi iwekewe vikwazo vya usafiri kimataifa kwa, baadhi ya watu au kuzuiwa misaada?

Je hii si fursa adhimu kuijumuisha jumuiya ya kimataifa kuirudisha Tanzania katika mstari wa kidemokrasia?

Brussels na UN ni karibu sana na hata mkuu wa UN hutembelea mara kwa mara,je naye atashindwa kumuona?

Shaka Ssali atashindwa kumuhoji Tundu Lissu na kurusha kupindi kwa saa nzima kwa dunia nzima mpaka dunia ielewe?

BBC,CNN,CBN,Amnesty International,IMF,World Bank,na mengine meengi yako jirani na ubelgiji,mawaziri wakuu wa. uingereza,ujerumani pia bado wanazuru hapo,Rais wa ufaransa

what an oppurtunity! ukizingatia uwezo mkubwa alio nao wa kujenga hoja,na kama akienda na nakala za. magazeti zonazoonyesha watu wanaavyopotea na miili kuokotwa baharini,hoja yakee itanoga kabisa,anakuwa anaongea huku anaonyesha magazeti hayo na vyombo vya kimataifa vinarekodi na kwenda kurusha

ikibidi lissu aende na bango nje ya ukumbi wa bunge la jumuiya ya ulaya akiwa kwenye baskeli yake ya ugonjwa,bango hilo lielezee hali halisi ya Tanzania na aombe support ya wana demokrasia wa huko nao wabebee mabango yao,wabunge wa jumuiya ya. ulaya ambao ni wafadhili wetu wakuu wataona tu!
 
Tanzania ni Nchi huru...kuanzia 1961.
Ugua pole!!
uhuru wa bendera,lile li kipande la nguo lenye ukubwa wa khanga au kitenge

kadri Lissu anavyokwenda mbali na dodoma ndivyo anavyokuwa hatari zaidi,na. hapo anawaendesha kutoka katika hospital bed!

cha kwanza akifika ni kuziandikia barua nchi za jumuiya ya ulaya zimuongezee ulinzi mkali sana katika hospitalli atakayokuwepo yeye na familia yake,ulinzi mkali kutoka katika mashirika makubwa kabisa ya kijasusi ya nchi hizo
 
Tundu Lissu amepata fursa ya kutibibiwa Ubelgiji

Ubelgiji ni eneo wanalokutana mara kwa mara viongozi wakuu wa. mataifa ya ulaya kwa vikao mbalimbali kwa kuwa Brussels ni makao makuu ya jumuiya ya ulaya,jumuiya yenye nguvu kubwa ya kiuchumi na. mfadhili mkubwa wa nchi ya Tanzania

Ni katika mji huo ndipo fitna na mipango mbalimbali husukwa na kutekelezwa

Je Lissu atashindwa kuitumia fursa hiyo kuomba kutembelewa japo na Rais wa Jumuiya hiyo naa kumpa mawili matatu kuhusu hali ya demokrasia na uhuru wa kisiasa Tanzania?

Lissu atashindwa hata kukutana na Spika wa Bunge la Ulaya? Tume ya haki za binadamu ya Ulaya? au hata wabunge mbalimballi kutoka nchi za jumuiya hiyo ili awape ujumbe wakajenge hoja katika mabunge yao ili Tanzania imulikwe kimataifa na hata ikibidi iwekewe vikwazo vya usafiri kimataifa kwa, baadhi ya watu au kuzuiwa misaada?

Je hii si fursa adhimu kuijumuisha jumuiya ya kimataifa kuirudisha Tanzania katika mstari wa kidemokrasia?

Brussels na UN ni karibu sana na hata mkuu wa UN hutembelea mara kwa mara,je naye atashindwa kumuona?

Shaka Ssali atashindwa kumuhoji Tundu Lissu na kurusha kupindi kwa saa nzima kwa dunia nzima mpaka dunia ielewe?

BBC,CNN,CBN,Amnesty International,IMF,World Bank,na mengine meengi yako jirani na ubelgiji,mawaziri wakuu wa. uingereza,ujerumani pia bado wanazuru hapo,Rais wa ufaransa

what an oppurtnity!

ikibidi lissu aende na bango nje ya ukumbi wa bunge la jumuiya ya ulaya akiwa kwenye baskeli yake ya ugonjwa,bango hilo lielezee hali halisi ya Tanzania na aombe support ya wana demokrasia wa huko nao wabebee mabango yao,wabunge wa jumuiya ya. ulaya ambao ni wafadhili wetu wakuu wataona tu!
Akili zenu fupi kama vibamia vyenu, yaan kutwa kucha mnawaza misaada tu, wanaume wenzenu wanafanya kazi kufa kupona ili watengeneze nchi zao nyie mnashinda jf kupost ujinga. Nchi kama marekani ina maslahi makubwa sana na tz hivyo ujinga mnaouongea mnapoteza muda wenu tu, pia. So mwacheni atibiwe kwanza baba wa watu msimwongelee. Pia sio kila nchi inamitazamo ya kijinga kama hiyo ya kwenu. Na democrasia huwa ina mipaka sio kujimwaga tu kama maji.
 
Akili zenu fupi kama vibamia vyenu, yaan kutwa kucha mnawaza misaada tu, wanaume wenzenu wanafanya kazi kufa kupona ili watengeneze nchi zao nyie mnashinda jf kupost ujinga. Nchi kama marekani ina maslahi makubwa sana na tz hivyo ujinga mnaouongea mnapoteza muda wenu tu, pia. So mwacheni atibiwe kwanza baba wa watu msimwongelee. Pia sio kila nchi inamitazamo ya kijinga kama hiyo ya kwenu. Na democrasia huwa ina mipaka sio kujimwaga tu kama maji.
tatizo la Tanzania ni maji,naajua na wewe linakusumbua,ntaweka hata mate
 
SIYO RAHISI KIHIVYO kuna viongozi duniani km kagame nkuruziza museveni kabila kila siku wanatumia mabavu makubwa hawaguswi,wengne hata wanaua wapinzani wao km kagame lakini UN NA EU hata AU wapo kmya kana kwamba hawayaoni yanayotendeka.
 
SIYO RAHISI KIHIVYO kuna viongozi duniani km kagame nkuruziza museveni kabila kila siku wanatumia mabavu makubwa hawaguswi,wengne hata wanaua wapinzani wao km kagame lakini UN NA EU hata AU wapo kmya kana kwamba hawayaoni yanayotendeka.
hata bombadia ilisemwa haziwezi kukamatwa,yako wapiiiii???zitamaliza miaka kumi zinabeba vumbi badala ya abiria

subiri uone chuma chikoli moto
 
uhuru wa bendera,lile li kipande la nguo lenye ukubwa wa khanga au kitenge

kadri Lissu anavyokwenda mbali na dodoma ndivyo anavyokuwa hatari zaidi,na. hapo anawaendesha kutoka katika hospital bed!

cha kwanza akifika ni kuziandikia barua nchi za jumuiya ya ulaya zimuongezee ulinzi mkali sana katika hospitalli atakayokuwepo yeye na familia yake,ulinzi mkali kutoka katika mashirika makubwa kabisa ya kijasusi ya nchi hizo
Punguza kucheki movie.
 
Back
Top Bottom