Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,396
Aongee tu asichoke kuongea maana akiacha kuongea sijui nani ataweza kuongea.Jumanne, February 5, 2018 saa 9:00 hadi 10:30 asubuhi, Mbunge Tundu Lissu atakua na maongezi na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha George Washington kilichopo makao makuu ya Marekani, Washington D.C.
Topic ya maongezi ni "Tanzania's Democratic Challenge”
Mwenzako anatumia nguvu nyingi kujaribu kuepuka viporo vya kesi dhidi yake vinavyomsubiri Kisutu. Hatokusikia.
'Performance'....?Na White House ataenda lini?
Maana tumeambiwa kaalikwa na POTUS baada ya ile ‘performance’ yake mwenye BBC’s HARDtalk.
Wewe poyoyo kweli lissu ameanza kupambana na kesi hata hujazaliwa sembuse hizo kesi uchwaraMwenzako anatumia nguvu nyingi kujaribu kuepuka viporo vya kesi dhidi yake vinavyomsubiri Kisutu. Hatokusikia.
Kwa sababu unajua kingereza. Lumumba wamekupa mkataba. Isije ikawa 7000/2400=???Na White House ataenda lini?
Maana tumeambiwa kaalikwa na POTUS baada ya ile ‘performance’ yake mwenye BBC’s HARDtalk.
Mwambie jiwe atoke naye akaongee na wanaume wa ukweli sio kila siku anahutubia kisukuma tbc na kutisha wanyonge tuNa White House ataenda lini?
Maana tumeambiwa kaalikwa na POTUS baada ya ile ‘performance’ yake mwenye BBC’s HARDtalk.
Mkuu,nikumbushe kirefu cha POTUS,nakumbuka niliisoma kwenye Sociolinguistics nikiwa mwaka wa pili!Na White House ataenda lini?
Maana tumeambiwa kaalikwa na POTUS baada ya ile ‘performance’ yake mwenye BBC’s HARDtalk.
Risasi 16 kwenye mwili akapona? Na operations sijui zaidi ya 20!Nani asiyetaka kuuona huo muujiza?Kwa Risasi alizopigwa kukaa kimya ni unafiki wa kiwango cha juu ndio maana wengi wanataka kumuona huyo mwanasiasa aliepona kuuawa...
This is the only naked truth,thanks Mr!Kakugawa wewe na nani?
The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Hivi kwanini mnapenda sana matusi ninyi watu wa Lissu na Jiwe?Endelea kuwa falla tu wakati nchi yako ikiendelea kuporwa na hawa mabeberu na ukidhani tunajenga reli kumbe vitukuu vyako vitakufa kwa utapia mlo maana nchi itakuwa inatawaliwa na wale walioikopesha madeni ya kujenga reli hiyo
Toa majibu nani aliyemchapa lisasi siyo kubwabwaja. Yaani mnamchapa lisasi halafu mumnyamazishe tena ebo! Angekufa je!Mzungu... aisee kwenye Inshu za kumwendekeza MZUNGU Mie sijawahi kuwa muumini wa Hilo! Siasa ni Akili safi ya kuinasa mioyo ya watu wako Sio kulalamika Kwa Watu ambao Hao Ndio wameunda siraha dhaifu za Uoga hizi ambazo waafrika tunauana kama Kuku..!
Aisee, michango yako mingi ni ya ovyo kiasi kwamba Ina akisi jina lako. Kilangila.Hakuna utumbo wowote nilioandika hapa.
Mkuu audiences yake ndiyo hii hapa JF kazi kutukana na kusifia ndiyo maana hawafiki mbali. Ukiwa ma audience ya akili za kina Salary Slip na Lizabon unajidanganya sababu kazi kukusifu. Na wengine tukikosoa tunatukanwa inategemea unakosoa upande gani. Wote mabingwa wa matusiMa-genius wa WU hawawezi kumwacha bila maswali. Awamu hii ajifunze ku-appreciate positives za Jiwe na kutumia mbinu za kidiplomasia kuzifuta kwa kigezo cha demokrasia na ukandamizaji.
Akielekea kuwa negative tu bila angalau kutaja zile positive za jiwe, siyo utamaduni wa wazungu. Wazungu hata ukiandika sentensi moja mbovu atakusifu kwanza kwa kujaribu kuandika, kisha ataku-challenge huo ubovu wako wa kuelewa lugha.
Ni lazima tujifunze kutumia right approach ya kuongea kutokana na audience.Tofauti na huku Tanzania ambabo hata kuonekana karibu na mtu utashambuliwa kwa maneno ya hovyo hovyo mpaka ukimbie.
Sasa mbona unayemsifia kaenda kuripoti kwa hao mabeberu. Upo upande gani mkuu sikuelewi naona kama umechanganyikiwa. Huko kwako saa ngapi kwangu ni saa saba na dk 20Endelea kuwa falla tu wakati nchi yako ikiendelea kuporwa na hawa mabeberu na ukidhani tunajenga reli kumbe vitukuu vyako vitakufa kwa utapia mlo maana nchi itakuwa inatawaliwa na wale walioikopesha madeni ya kujenga reli hiyo
Nyumbani kumenoga etiNaona amekuwa Vasco Dagama wa kipindi hiki.
'arudi nyumbani kumenoga!
Jumanne, February 5, 2019 saa 9:00 hadi 10:30 asubuhi, Mbunge Tundu Lissu atakua na maongezi na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha George Washington kilichopo makao makuu ya Marekani, Washington D.C.
Topic ya maongezi ni "Tanzania's Democratic Challenge”
Naskia ataongeaa kwa muda wa dakika 115 kisha ataokea maswali na kuyajibu. Tutapona kweli?My take its for Tindu to calm down heal well and come home THANK GOD FOR RECOVERY na kuendelea kuwatumikia wananchi badala ya midahalo hiyo against our and his Government kama ni cost za matibabu can be refunded kwa kukaa round table sio kwa kashfa mitandaoni….
MY HUBLE ADVICE TO THE LEARNED PERSON..Tindu Lissu