Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,786
- 13,142
Kumpa kura yako jiwe ni kujidhalilisha utu wakoUmesahau viongozi wako wa chama walivyotimka bungeni ila chadema matapeli sana, eti wakasubiri hadi posho ikaingia ndio wakakumbuka kuna corona
John Pombe Magufuli unayedai hajui kizungu ndio rais wako hutaki hama Nchi au kuwa rais wewe teheteheee
Kizungu kimekuingizia sh ngapi leo
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app