Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,174
Mgombea Urais alikiri hajui alipata kura ngapi uchaguzi uliopita kwa utetezi ya kuwa hata Tume ya uchaguzi haijabamdika matokeo ya kila jimbo kwenye tovuti yao kama sheria za uchaguzi zinavyosema.
Tunasema hii inashangaza tukizingatia baada ya uchaguzi alikuwa mstari wa mbele kutuhimiza tuandamane kupinga matokeo ya uchaguzi wa 2020 wakati yeye mwenyewe hakuwa na takwimu zozote za kumfanya akhoji uhalali wa matangazo yaliyotangazwa.
Alipaswa yeye na chama chake wawe na utaratibu wa kukusanya matokeo na fomu zake kila kituo na kufanya majumuisho yake ili kuwa na takwimu za kuwaongoza kwenye maamuzi yao.
Tunasema hii inashangaza tukizingatia baada ya uchaguzi alikuwa mstari wa mbele kutuhimiza tuandamane kupinga matokeo ya uchaguzi wa 2020 wakati yeye mwenyewe hakuwa na takwimu zozote za kumfanya akhoji uhalali wa matangazo yaliyotangazwa.
Alipaswa yeye na chama chake wawe na utaratibu wa kukusanya matokeo na fomu zake kila kituo na kufanya majumuisho yake ili kuwa na takwimu za kuwaongoza kwenye maamuzi yao.