Tundu Lissu fanya ufanyalo lakini usiwaamini sana CHADEMA

East African

JF-Expert Member
Nov 27, 2013
704
989
Nakumbuka kipindi Slaa alivyopigania Sana chadema hadi ikapanda chati Sana.

Watu walipenda CHADEMA Kwa kuwa na Imani na Slaa na sio akina Mbowe na wenzake wa Kili.

Lakini mwishowe wanaletwa mtu mwingine agombee uraisi.
Kwa hiyo na wewe kaka angu mpendwa hao watu USIWAAMINI kupita kiasi. Wanaweza kukutosa vby Sana na ukatamani Bora ufe.

Hicho chama cha wachaga huwa hao watu wanajithamini wao zaidi kuliko wewe KIASAKA wa kuja kutoka Singida.

Kaa Kwa akili huku ukijua watakutosa tu siku moja. Penda usipende.

Angalia akina Slaa, Zito, Chacha Wangwe na akina Kafulila ndio utajua na wewe you"re the next.

Kazi Kwako to take or not.

East African

Tofa
 
Kwani ukipigania chama nilazima upewe nafasi ya kugombea Urais kama ndo hivo wakina Nape wangekua waziri mkuu au makamu wa Rais
 
Ukiishiwa hoja ni bora ukakaa kimya, tena ni bora ukawa msomaji ili ujifunze kuliko kuleta matapishi haya
Huo ndio ukweli hakuna kushiwa hoja.
Mnamtunia vby kaka wa watu then mnakuja kumtukana na kutokumdhamini.
Wachaga tunawajua. Hata mkifungua duka hamuwezi kuajiri Mtu asiye mchaga hadi muende Moshi kutafuta wa huko.

Tofa
 
Reactions: UCD
Kwani ukipigania chama nilazima upewe nafasi ya kugombea uraisi.....kama ndo hivo wakina Nape wangekua waziri mkuu au makamu wa Raisi.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nn mlimtosa Slaa mkampa fisadi Lowasa mliomtangaza kiaka yote.
Sisi wananchi sio wajinga kihivyo. Kuna vitu tunapenda vibadilike ila sio huo upuuzi wenu huko Ufipa.

Tofa
 
Reactions: UCD
Sina chama hadi sasa ila najaribu kupima na kulingabisha maneno na vitendo vyenu. Sio kila mnachopinga tukubaliane na nyie. Lazima tuwapinge Kwa hoja na mnapaswa kuzikubali.

Tofa
 
Reactions: UCD
Huo ndio ukweli hakuna kushiwa hoja.
Mnamtunia vby kaka wa watu then mnakuja kumtukana na kutokumdhamini.
Wachaga tunawajua. Hata mkifungua duka hamuwezi kuajiri Mtu asiye mchaga hadi muende Moshi kutafuta wa huko.

Tofa

Kwa hao jamaa ISEMBO inamaanisha MPUMBAVU. Kwa hao jamaa Wachagga - MASEMBO (pluralis) hawakubaliki kwani kwa WINGI wanaweza hata kumsimika madarakani ISEMBO mwenzao kupitia sanduku la kura. Just imagine. Back to the point, wewe kama ISEMBO na post yako ya ki-ISEMBO hujui lolote. Mada za kikabila ni zenu MASEMBO katika karne ya 21 bado ni masembo, albeit bushmen licha ya jitihada za kuwatoa humo. You have such amazing affinity to the bush that you cant leave the bush behind you. At best, FICHA upumbavu wako, hadharani unajidhalilisha. Waambie na wenzio, upuuzi wa kufikiria ukabila muache
 
Huo ndio ukweli hakuna kushiwa hoja.
Mnamtunia vby kaka wa watu then mnakuja kumtukana na kutokumdhamini.
Wachaga tunawajua. Hata mkifungua duka hamuwezi kuajiri Mtu asiye mchaga hadi muende Moshi kutafuta wa huko.

Tofa
Mmeshindwa kumuua kwa risasi sasa mshakuwa mshauri wake! Inachekesha kweli yani ibilisi kawa mshauri wa binadamu ili aende peponi
 
Na ndio maana tunawaamvia nyie mna ukabila Sana. Masembo ndio hayo majina mnaoita watu wasio wachaga.

Tofa
 
Acha tubaki na kiasembo wetu ila tushajua malengo yenu.
Kamwe hamtaweza kudanganya watanzania wengine

Tofa
 
Reactions: UCD
Kwa nn mlimtosa Slaa mkampa fisadi Lowasa mliomtangaza kiaka yote.
Sisi wananchi sio wajinga kihivyo. Kuna vitu tunapenda vibadilike ila sio huo upuuzi wenu huko Ufipa.

Tofa
Kwa hiyo Lowassa Ni mchaga? Wewe Ni MPUMBA.VU WA WAPUMBA.VU kwa sababu unataka kutumia Udini ili kuhalalisha Hoja yako. Slaa hakuwa na makubaliano na Chadema kuwa lazima agombee tena 2015, HAKUFUKUZWA, aliondoka mwenyewe, hao unaowatukana na uchaga wao ndio hao waliokijenga Chama na kumpa kila aliekuja fursa ya Kugombea. Slaa alitokea CCM akapewa nafasi Chadema akagombea Ubunge na baadae Urais, alipopewa alikuwa Mchaga? Kama iliwezekana Slaa kupewa hizo fursa, iweje iwe nongwa kwa Lowassa? Narudia Tena kusema kwamba, WEWE NI MPUMBA.VU, acha kuleta UKABILA!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa taarifa yako ni kuwa huwa wanapewa kama kanya boya then baadae unapigwa chini.
Lakini kumbuka kuwa ushauri huu ni wa TUNDU LISU so yeye mwenyewe ni Mtu mzima atachagua kusuka au kunyoa.
Kwisha

Tofa
 
You"re not analytical enough to anakuse this issue.

Tofa
 
Tundu Lisu ni mmoja ya watu walioshiriki kikamilifu kumuondoa zito chadema, kuchukua pesa ya maMvi yeye na DJ kumkaribisha maMvi agombee urais, kumtimua Dr slaa Chadema. Yanayo mkuta Lisu kwasasa unaweza kuta ni Karma.Tusuburi tuone mwishoe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akae akijua wahuni sio watu
 
hapo pana tatizo hata utukane vipi. sie tutaendelea kuwatukana kwenye sanduku la kura
 
Achana na Tundu Lissu wewe,muuaji mkubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…