East African
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 704
- 989
Nakumbuka kipindi Slaa alivyopigania Sana chadema hadi ikapanda chati Sana.
Watu walipenda CHADEMA Kwa kuwa na Imani na Slaa na sio akina Mbowe na wenzake wa Kili.
Lakini mwishowe wanaletwa mtu mwingine agombee uraisi.
Kwa hiyo na wewe kaka angu mpendwa hao watu USIWAAMINI kupita kiasi. Wanaweza kukutosa vby Sana na ukatamani Bora ufe.
Hicho chama cha wachaga huwa hao watu wanajithamini wao zaidi kuliko wewe KIASAKA wa kuja kutoka Singida.
Kaa Kwa akili huku ukijua watakutosa tu siku moja. Penda usipende.
Angalia akina Slaa, Zito, Chacha Wangwe na akina Kafulila ndio utajua na wewe you"re the next.
Kazi Kwako to take or not.
East African
Tofa
Watu walipenda CHADEMA Kwa kuwa na Imani na Slaa na sio akina Mbowe na wenzake wa Kili.
Lakini mwishowe wanaletwa mtu mwingine agombee uraisi.
Kwa hiyo na wewe kaka angu mpendwa hao watu USIWAAMINI kupita kiasi. Wanaweza kukutosa vby Sana na ukatamani Bora ufe.
Hicho chama cha wachaga huwa hao watu wanajithamini wao zaidi kuliko wewe KIASAKA wa kuja kutoka Singida.
Kaa Kwa akili huku ukijua watakutosa tu siku moja. Penda usipende.
Angalia akina Slaa, Zito, Chacha Wangwe na akina Kafulila ndio utajua na wewe you"re the next.
Kazi Kwako to take or not.
East African
Tofa