kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
Yaani huku kwetu leo vijana wamegawanyika hasa wasomi!huku mitaani watu wamemwelewa sana Dkt Slaa tofauti na makamanda wanavyotuaminisha humu ndani
wasomi hawa hawa aina ya docta bana?,wanao hangaika mitaani na bahasha za kaki kutafuta ajira? au wale wanao sotea mkopo toka loan board?.