Mkaanzishe nchi yenu,siyo hiiMwache atuuze. kama inakuuma hama nchi
Mkaanzishe nchi yenu,siyo hiiMwache atuuze. kama inakuuma hama nchi
Slaa anatakiwa kuja kuomba msamaha kwa usaliti ule.Ulishiriki kumsaliti Mzee Slaa,kwa kuungana na wenye tamaa kina Mbowe, mkanunuliwa na Lowassa ili mumpe nafasi ya kugombea Urais,mkamtupa kapuni mzee Slaa ambaye alishiriki kukipa umaarufu na ndiye alikuwa chachu kwa CHADEMA kuwa chama chenye nguvu,halafu leo unataka uchaguliwe Urais mtu usiye na msimamo, mwenye tamaa na uroho wa madaraka. Kuna kila dalili utauza nchi, wenye akili hatukupi kura ng'o.
Kwanza chunguza utagundua hivi sasa umebaki peke yako, walafi wenzio kina Mbowe wapo kimya wanakuangalia kama cenema.
Dhambi ya usaliti itaendelea kukutafuna.
Ukisoma hii comment hajatajwa polepole,bali msaliti Lissu.Kwa hoja ya polepole anzisha yako.Vipi polepole aliyetusaliti kwenye katiba ya wanachi sasa hataki kuyasikia aliyoyasema je naye tumuweke kundi lipi?
Slaa anasalitiwa na hawara yake,Ulishiriki kumsaliti Mzee Slaa,kwa kuungana na wenye tamaa kina Mbowe, mkanunuliwa na Lowassa ili mumpe nafasi ya kugombea Urais,mkamtupa kapuni mzee Slaa ambaye alishiriki kukipa umaarufu na ndiye alikuwa chachu kwa CHADEMA kuwa chama chenye nguvu,halafu leo unataka uchaguliwe Urais mtu usiye na msimamo, mwenye tamaa na uroho wa madaraka. Kuna kila dalili utauza nchi, wenye akili hatukupi kura ng'o.
Kwanza chunguza utagundua hivi sasa umebaki peke yako, walafi wenzio kina Mbowe wapo kimya wanakuangalia kama cenema.
Dhambi ya usaliti itaendelea kukutafuna.
Kwahiyo cctv camera walinzi waliondoshwa ni chadema ili apigwe risasi?Ni kama nyie mlivyoshindwa kumlleta dereva wake ahojiwe kuhusu lile tukio la kutengenezwa pale Dodoma.Mmezoea Kutengeneza filamu.Ile ya Mbowe kupigwa mmeuza sh ngapi au mmepata viewer wangapi
Mtatumwa sana. Waliokutangulia hawajakupa mrejesho? Huwezi kujipaka kinyesi ukapita katikati ya watu wakakuvumilia, watakutoa baruti.Ulishiriki kumsaliti Mzee Slaa,kwa kuungana na wenye tamaa kina Mbowe, mkanunuliwa na Lowassa ili mumpe nafasi ya kugombea Urais,mkamtupa kapuni mzee Slaa ambaye alishiriki kukipa umaarufu na ndiye alikuwa chachu kwa CHADEMA kuwa chama chenye nguvu,halafu leo unataka uchaguliwe Urais mtu usiye na msimamo, mwenye tamaa na uroho wa madaraka. Kuna kila dalili utauza nchi, wenye akili hatukupi kura ng'o.
Kwanza chunguza utagundua hivi sasa umebaki peke yako, walafi wenzio kina Mbowe wapo kimya wanakuangalia kama cenema.
Dhambi ya usaliti itaendelea kukutafuna.
CCTV camera zinaonyesha alipigwa risasi na mtu aliyekuwepo naye ndani ya gari yake.Hebu wewe kanusha kwa ushahidi usiokuwa na ShakaKwahiyo cctv camera walinzi waliondoshwa ni chadema ili apigwe risasi?
Hivi wewe una maisha gani mbwa wewe
Hivi wewe una maisha gani mbwa wewe
Hizo ndio sera zenu CCM? Kwa kweli mnatia huruma sana.Ulishiriki kumsaliti Mzee Slaa,kwa kuungana na wenye tamaa kina Mbowe, mkanunuliwa na Lowassa ili mumpe nafasi ya kugombea Urais,mkamtupa kapuni mzee Slaa ambaye alishiriki kukipa umaarufu na ndiye alikuwa chachu kwa CHADEMA kuwa chama chenye nguvu,halafu leo unataka uchaguliwe Urais mtu usiye na msimamo, mwenye tamaa na uroho wa madaraka. Kuna kila dalili utauza nchi, wenye akili hatukupi kura ng'o.
Kwanza chunguza utagundua hivi sasa umebaki peke yako, walafi wenzio kina Mbowe wapo kimya wanakuangalia kama cenema.
Dhambi ya usaliti itaendelea kukutafuna.
Sasahivi anakula yeye na genge lake la akina bashite, walamba makalio na KUPAYUKA hovyo hovyo mnaambulia elfu saba saba. Inasikitisha sana kuwa na akili ya namna hii.JPM anawanyoosha wote waliokuwa wanakula keki ya taifa peke yao bila kufanya kazi. Safi sana.
Alipigwa na mtu aliyekuwa naye ndani ya gari?CCTV camera zinaonyesha alipigwa risasi na mtu aliyekuwepo naye ndani ya gari yake.Hebu wewe kanusha kwa ushahidi usiokuwa na Shaka
Huyo aliyekula hela ya Lowasa.Kati ya Lissu na Dr .mihogo nani amesaliti mageuzi .
Na mimi niliongeza list ya wasaliti pia huoni suala la Mkurugenzi wa Tume kumnadi mgombea wa CCM hadharani ni usaliti ?Ukisoma hii comment hajatajwa polepole,bali msaliti Lissu.Kwa hoja ya polepole anzisha yako.