Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864

In God we trust
Hivi jamii forum mnauwakika na hii taarifa au mnafanya upendeleo.Nyie huwa ampendi taarifa za kuediting.
 
Hivi jamii forum mnauwakika na hii taarifa au mnafanya upendeleo.Nyie huwa ampendi taarifa za kuediting.
Vipi bado hujajinyonga kwa mh Lissu kupatiwa basi la kuimarisha chama pendwa chadema?
FB_IMG_1552389461882.jpeg


In God we trust
 
Kamanda Mmawia tunaomba mrejesho kuhusu hili basi mbona hatulioni mitaani likifanya shughuli za kuimarisha chama?
 
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864

In God we trust
Hili lazima litakuwa Korona. TL ni sehemu ya Corona Covid-19. Nilipogundua alitaka Watanzania tupigane na tubaguane ili iwe Rahisi kwa Wafadhili wake kunufaika na rasilimali nyingi zilizopo Tanzania, niliisha muona ni moja ya epidemic disease hatari kuliko hata Covid-19.
 
Zawadi apewe lisu harafu gari liandikwe chadema!
Chadema ushamba utaisha lini? Sasa bus litawasaidia nini!
Mwezenu ccm katoa hela za mwenge ziende kwa corona nyie hata ofisi hamna! Unaonyesha basi, nisawa nakuoa huna shuka wala kitanda.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom