Well, seeing nothing is seeing something.Wewe unaonaje?
In God we trust
Well, seeing nothing is seeing something.Wewe unaonaje?
In God we trust
.......Unataka ajinyonge huyo
In God we trust
Mnapozindua vyerehani4 kuwa ni kiwanda kumbe ndiyo level yenu ya upumbavu!Tatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
Ha ha ha haaaMnapozindua vyerehani4 kuwa ni kiwanda kumbe ndiyo level yenu ya upumbavu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi jamii forum mnauwakika na hii taarifa au mnafanya upendeleo.Nyie huwa ampendi taarifa za kuediting.Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
Mkuu ukijpatia kamashine kako kuchomelea vyuma basi wewe nenda uhuru na mzarendo utangaze umefungua kiwandaMnapozindua vyerehani4 kuwa ni kiwanda kumbe ndiyo level yenu ya upumbavu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado unatetea huu UPUMBAVU WAKO!??????
Hivi una akili kweli???
scania touring de vip bus - Пошук Google
View attachment 1046973
Sio vituko, bali ina wafia vyama🙉🙉Hii nchi ina vituko!
Nakubaliana na angalizo lako!Sio vituko, bali ina wafia vyama🙉🙉
Hata ukimuuliza leo hatakosa jibu
Mjinga chadema! Nisawa na kununua gari nakwenda kupanga nyumba.CCM inachukua kodi zetu na kununua wapinzani chadema inachangiwa na watanzania kununua vitendea kazi.nani mjinga CCM au chadema?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia ww kupofu unayeona maendeleo hayana chama . unamaanisha na dreamliner air Tz ni photo shoot?Acha ushamba ww....be real
Hili lazima litakuwa Korona. TL ni sehemu ya Corona Covid-19. Nilipogundua alitaka Watanzania tupigane na tubaguane ili iwe Rahisi kwa Wafadhili wake kunufaika na rasilimali nyingi zilizopo Tanzania, niliisha muona ni moja ya epidemic disease hatari kuliko hata Covid-19.Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust