Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,795
- 20,037
.....Mhutu anatoa macho tu
..... Hahaha
.....Mhutu anatoa macho tu
Dah... Kumbe mpo wengi, kwahiyo unaamini Tundu Lissu kazawadiwa Basi jipya aina ya Scania??, Umeiona hii story popote au kuisikia zaidi ya kutoka kwa huyu jamaa anaitwa Mmamia?, Kweli mahaba ni upofu,haya mabasi tofauti ni ipi?, Au wewe ni yule yule mleta mada kwa ID tofauti??
View attachment 1047713
Tofauti nini hapo?.., SERA MBADALA
Dah... Kumbe mpo wengi, kwahiyo unaamini Tundu Lissu kazawadiwa Basi jipya aina ya Scania??, Umeiona hii story popote au kuisikia zaidi ya kutoka kwa huyu jamaa anaitwa Mmamia?, Kweli mahaba ni upofu,haya mabasi tofauti ni ipi?, Au wewe ni yule yule mleta mada kwa ID tofauti??
View attachment 1047713
Tofauti nini hapo?.., SERA MBADALA
Tazama vizuri kama hayo magari yanafanana kabla ya kupinga kwa hoja dhaifu. Hayo magari mawili uliyoonesha hapo hayafanani hata kidogo.
Bado unatetea huu UPUMBAVU WAKO!??????
Hivi una akili kweli???
scania touring de vip bus - Пошук Google
View attachment 1046973
Hakuna Cha basi wala nini mkuu.. Full comedy za PHOTOSHOP.. ndo maana wenye akili wa CHADEMA wameuchunia huu uzi baada ya kugundua ni utoto unaoendelea... jaribu ku google Kama kwenye image chini utaona walipotoa hilo basi waka PHOTOSHOP wakamzawadia Lissu kupitia Jamii Forums...Ooh, kumbe ndivyo ilivyo!
Nitaendelea kuwaelimisha watu, ili wajue kuwa Jamii Forums imeingiliwa na mataahira design yako.Usishangae watu wanaupita Uzi kimya kimya, kabla hatujawaelewesha story ilishaanza kuvuma wakihisi ni kweli, baada ya kutupia Link wamekupuuza na uzi wako.Hushangai Uzi ndo umefika mwisho?.. Eti we taahira??Utaweka hivyo vitoi hadi karne ijayo hakuna atakaye kuelewa na uzuzu wako
In God we trust
Nitaendelea kuwaelimisha watu, ili wajue kuwa Jamii Forums imeingiliwa na mataahira design yako.Usishangae watu wanaupita Uzi kimya kimya, kabla hatujawaelewesha story ilishaanza kuvuma wakihisi ni kweli, baada ya kutupia Link wamekupuuza na uzi wako.Hushangai Uzi ndo umefika mwisho?.. Eti we taahira??
Lipo?!
Nimeuliza, lipo?Hutaki au?
In God we trust